Skip to main content

SLIMMING JUICY YA KUKATA KITAMBI.



SLIMMING  JUICY   YA  KUKATA  TUMBO (  KITAMBI  ).





Wapendwa  wateja  wetu, tunapenda  kuwaatarifu  kuwa     tumewaletea dawa  nyingine  safi  ya  kukata  tumbo  (  kitambi )..Kama  kawaida  yetu  dawa  zetu zote   ni  za  asili  na  hazina  madhara  yoyote  kwa  mtumiaji  .Maelezo  zaidi  kuhusu  dawa  hii  yapo  kama  yanavyo  someka  hapo  chini.KARIBUNI  SANA.
NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC
 ni  wauzaji  wa  dawa
 safi  za  asili  za  kutibu  magonjwa  mbalimbali. Tunapenda
kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  sasa    tunayo  dawa  nyingine  safi
 sana  ya  kutibu  tatizo  la  kitambi.  Ni  dawa  ya  asili (  iko
processed ), ipo  katika  liquid  form, ina ladha  nzuri   na  inakata
 tumbo (  kitambi  )  ndani  ya  siku  thelathini. Ipo  katika  ujazo
mkubwa, unaweza kuendelea  kuitumia  hata  mara  baada  ya  muda  wa
dozi  kuisha, pia  dawa  hii   haina  effect  ya kukufanya  uende
chooni  mara  kwa  mara. Imewasaidia  watu  wengi  na  imetjibitishwa
kwa  matumizi  ya  binadamu.
Ewe  kaka, ewe  dada, usiendelee  kuadhirika  na  huo  ugonjwa  wa
kitambi  unao  kusumbua, wakati  tiba   yake  ipo. Wasiliana  nasi
kwa  simu

0767010756 AU 0753644583 AU 0657743183 AU 0682862744  . Kwa  maelezo
  au  fika  katika  ofisi  zetu
zilizopo  katika  eneo  la  Changanyikeni  karibu  na  Chuo  Cha
Takwimu.
KARIBUNI  SANA.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA