Skip to main content

HABARI NJEMA SANA KWA WANAWAKE WASIO NA ASHKHI YA TENDO LA NDOA

Wanawake  wengi  nchini  na  duniani  kwa  ujumla  wanasumbuliwa  na  tatizo  la kukosa  hamu  ya  kufanya  tendo  la  ndoa  ( LACK  OF  LIBIDO ) pamoja  na  tatizo  la  kutofika  kileleni.  Inasadikiwa  kuwa, katika  kila  wanawake  kumi, angalau  wanne  kati  yao  wanasumbuliwa  na  tatizo  la kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa  na  kutofika  kileleni  wakati  wa  tendo.

  SABABU  ZA  WANAWAKE  KUKOSA  HAMU  YA  TENDO  LA  NDOA.

Sababu  zinazo  changia  tatizo  hili  zimegawanyika  katika  makundi  makuu  mawili :  (  A  )  Sababu  za  Kisaikolojia { Psychological )  na  (  B  )  Sababu  za  Kimwili  {  Physical  }


A.  SABABU  ZA    KIMWILI  "  PHYSICAL"


1.  Anaemia  (   ugonjwa  huu  ni  very  common  kwa  wanawake  kwa  sababu  ya  kupoteza  madini   ya  chuma  wakati  wa   hedhi  )

2. Ulevi  Kupita  kiasi  (  Alcoholism  )
3. Utumiaji  wa  Dawa   Za  Kulevya  ( Kama  Vile  bangi  n.k  )
4. Magonjwa  makubwa  kama  vile  kisukari.

(  Sababu  zipo  nyingi  sana, hizi  ni  baadhi  tu  )

B :  SABABU  ZA  KISAIKOLOJIA  " PSYCHOLOGICAL "

1. Depression  
2. Stress  and  overwork
3Anxiety  "  Woga"
4. Kunyanyaswa  kijinsia  ama  kubakwa  wakati  wa  utotoni
5   Kuwa  katika  matatizo  makubwa  na  mpenzi  wako.
6. Kuishi  katika  mazingira  magumu  mfano  kushare  nyumba  ama  chumba  na  wazazi  wako, wakwe  zako  ama  watoto  wako.

HIZI  NI  BAADHI  YA  SABABU  ZINAZO  WAFANYA  WANAWAKE  WENGI  LEO  HII  KUKOSA  HAMU  YA  KUFANYA   TENDO  LA  NDOA NA  KUTOFURAHIA  TENDO HILO
.
Hata  hivyo  sababu  hizi  hazimuhusu  kila  mwanamke, wanawake  wengine  wanasumbuliwa  na  tatizo  hilo  tangu  walipo  vunja  ungo.

KUSHINDWA  KUFIKA  KILELENI  KWA  WANAWAKE :  Hali  hii  husababishwa  na  sababu   nyingi  za  kimwili  na  kisaikolojia  kama  vile  kuwa  na  msongo  wa  mawazo, presha,woga, wasiwasi  wa  tendo  la  ndoa  ,kubakwa ama  kudhalilishwa  wakati  wa  utotoni, na/ama  kufanya  tendo  hilo  na  mwanaume  mwenye  uwezo  mdogo  wa  kiufundi.

ASHKHI:  Ni  dawa  itakao  kuengezea  askhkhi  ya  kufanya  tendo  la   ndoa  pamoja  na  kukuwezesha  kufika  kileleni  mara nyingi " multiple  orgasms ". Dawa  hii  imewasaidia  maelfu  ya  wanawake  walio  itumia  na  sasa  wanafurahia  tendo  la  ndoa.  Ewe  mwanamke  unayesumbuliwa  na  tatizo  hili, usiendelee  kusumbuka,  na  tatizo  hili. Fika  katika  ofisi  za  Neema  Herbalist  zilizopo  katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU  au  tupigie  simu  0767010756  au  0766538384.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA