Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2014

MWANAMKE ALIYEKUWA AKIJIHUSISHA NA MAPENZI YA JINSIA MOJA, ATOA USHUHUDA MZITO KANISANI!

Maria, mwanadada  aliyekuwa  akijihusisha  na  mapenzi  ya  jinsia   moja. Siku   ya   Jumapili   ya   tarehe   23   Machi   2014, kanisa la   The Synagogue   Church Of   All   Nations   ( SCOAN )   lilishuhudia   shuhuda kutoka   kwa   wanadada   wawil   ambao  walikuwa  wakijihusisha   na   mapenzi   ya   jinsia   moja   ambao   walikiri   kuingiwa   na    mapepo   wachafu   ambao   walikuwa   wakiwasukuma   kujihusisha   kimapenzi   na   wanawake   wenzao. Maria Terese George   kutoka   Delta State, Nigeria   alieleza   mbele   ya   makutano   walio   kutanika   kanisani   hapo   kwamba, umasikini   uliokithiri   katika    familia   yake   ulimsukuma   kwenda   kuomba   msaada   kwa   mwanamke   mmoja   wa   makamo. Mwanamke   huyo   aliahidi   kumsaidia   mwanadada   Maria. Ambacho   Maria   hakukifahamu   ni   kwamba, mwnanamke   huyo   alikuwa   anajihusisha   na   mapenzi   na   jinsia     moja   na   alitumia   suala   la   kumpa   msaada   kama   gia   ya

NANI ALIMUUA CHIEF MKWAWA?

    MWALIMU :  Ni   nani  aliye  muua  Chief  Mkwawa?          DENTI  1 :  Sio mimi!                  . DENTI  2  ;   Wala  sihusiki! DENTI  3  :  Kwanza  mi  jana  sikuja  shule. Mwalimu  alivyo  ona  wanafunzi  wote  majuha, akaamua  kumwita  mkuu  wa  shule  aje awaulize  tena. MWALIMU  MKUU : Nyie  watoto  semeni  nani  kamuua  Chief  Mkwawa ? WANAFUNZI  WOTE  : Mwalimu  hatujui  na  wala  hatuhusiki! MWALIMU  MKUU  AKAMUITA  MWALIMU  WA  SOMO  PEMBENI  NA  KUMUULIZA. Mwl Mkuu  :  UNA UHAKIKA  MUUAJI  YUPO  DARASA  HILI  KWELI ? Mwalimu  akabaki  hoi!

NAFASI ZA KAZI YA UALIMU

Shule  ya  Sekondari  Bravo yenye  namba  za  usajili  S.2394  iliyopo  Ifakara  , Morogoro  inatangaza  nafasi za  kazi  ya  kufundisha  masomo  yafuatayo : 1.             Physics/Mathematics 2.           Book-keeping/Commerce 3.           English/Kiswahili 4.           Biology/Chemistry. SIFA  ZA  MWOMBAJI: 1.             Awe  na  Stashahada  au  Shahada  ya  Ualimu. 2.           Awe   na  uzoefu  usio pungua  miaka  mitatu. 3.           Awe  na  uwezo  wa  kutumia  kompyuta. MSHAHARA : Mshahara  mzuri  pamoja  na  marupurupu  utatolewa. JINSI  YA  KUTUMA  MAOMBI. Tuma  maombi  yako  kwenda  kwa ; Mkuu wa Shule, Shule  Ya  Sekondari  Bravo, S.L.P  238, Ifakara, Morogoro. Namba  za  Simu : ·        0784-364850 ·        0757070915 ·        0713788033. Mwisho  wa  kupokea  maombi  ni  tarehe  10/04/2014. Usaili  utafanyika  tarehe  12/04/2014  shuleni  Bravo, Ifakara, Morogoro.