Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2016

DAWA ASILIA ZINAZO TIBU TATIZO LA KUTOKWA NA KINYAMA AMA UVIMBE KWENYE SEHEMU YA HAJA KUBWA.

Kutokwa  na  kinyama  ama  uvimbe  kwenye sehemu  ya  haja  kubwa  ni  tatizo  linalo  wakabili  maelfu ya watu  duniani. Tatizo  hujulikana  kwa  Kiswahili  kama  Bwaziri,  katika  lugha  ya kisukuma  na  kinyamwezi  huitwa  “Man’gondi” na  katika  lugha  ya  kiingereza  hujulikana  kama  Hemorrhoids. Mti  wa  ufwambo Tunda  la  mti  wa  ufwambo. AINA  ZA  BAWAZIRI : Kwa mujibu  wa  tafiti mbalimbali  za  kitaalamu, zipo  bawaziri  za  aina  mbili, bawaziri  ya  ndani  na  bawaziri  ya  nje. Kwa  kawaida  mtu  huweza  kuwa  na  moja  wapo kati  ya  aina  hizo   na  wakati  mwingine, mtu  mmoja  anaweza  kuwa  na  bawaziri  za  aina  zote  mbili  kwa  wakati  mmoja. NINI  HUSABABISHA  BAWAZIRI ? Ufwambo  ambao  bado  haujaivisha matunda Ufwambo  Mpaka   sasa  wataalamu  bado  hawaja  baini  chanzo  halisi  cha  tatizo  la  bawaziri. Hata  hivyo  tafiti  mbalimbali za  kitaalamu  zinabainisha  mambo  kadhaa  yanayo  changia  kutokea  kwa

MTI WA UPUPU HUTUMIKA KATIKA TIBA YA TATIZO LA NGIRI KWA WANAUME

Ngiri   ama   hernia   ni   tatizo   linalo   wakabili   wanaume   wengi   duniani. Moja   kati   ya   dalili   kuu   za   tatizo   la   ngiri   ni   pamoja   na   kusinyaa   kwa   korodani   moja   au   zote, kusinyaa   kwa   maumbile   ya   kiume. Kama   ilivyo   kwa   magonjwa   mengine   mengi, tatizo   la   ngiri   linaweza   kutibika   kwa   kutumia   dawa   mbalimbali   za   asili. Ganda  la  tunda  la  upupu. Ndani  yake  zinakaa  mbegu  saba. Ipo   miti   mingi   sana   inayo   weza   kutumika   kama   tiba   ya   tatizo la   ngiri. Katika   makala   haya, nitaelezea   kuhusu   miti kumi  ambayo imefanyiwa  utafiti  wa  kisayansi na  kuthibitika kuwa  na  uwezo  wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ngiri. Kati  ya  miti  hiyo, umo pia  mti  wa  upupu  ambao  unajulikana  sana  kwa  sifa  yake  ya  kuwasha  sana. Miti  hiyo  ni  kama  ifuatavyo : Upupu. 1.     MULIWANIFWENGI :    Mti  wa  Muliwanifwengi hapa  ukiwa  umetoa