Skip to main content

Posts

Showing posts from November, 2016

KAMA UNA MOYO MDOGO, USIMUULIZE MKE WAKO SWALI KAMA HILI. MIMI NILIMUULIZA, ILA MAJIBU ALIYO NIPA, NAJUTA KWANINI NILIMUULIZA.

Mimi  ni  mwanaume  mwenye  umri  wa  miaka  45. Nipo kwenye  ndoa  kwa  miaka  14  sasa. Mke  wangu  ana  miaka  38. Mtaani  kwetu  kuna  kijana  mmoja  ambaye  kwa  kumkadiria, umri  wake  ni  kati  ya  miaka  25  na  28  hivi. Kijana  huyu  ana  sifa moja hapo  mtaani. Wanawake  mbalimbali  wakiwemo  wake  za  watu  wamekuwa wakimpigania  na kumgombania  na  inasemekana   huwa  wanamhonga  sana. Wiki  tatu  zilizo pita,  mwanaume  mmoja ambae  anaishi  kwenye  nyumba  moja  ya  kupanga  na  huyo  kijana alimfukuza  mke  wake, kwa  kosa  la  kumpa  chakula  huyo  kijana.  Habari  zilizo  enea  mtaani  kwetu  ni  kwamba,  mume  wa  mwanamke  huyo  alimfuma  mke  wake  akiwa  anampatia  kijana  huyo  plate  yenye  wali  nyama , jambo  ambalo  mume  hakulielewa  kabisa, ikizingatiwa  sifa  mbaya  aliyo  nayo  kijana  huyo ya kutembea  na  wake  za  watu. Ulitokea  ugomvi  mkubwa sana  kati  ya  mume  na  mke ambao  uliishia  kwa  mke  kufurushiwa  virago  vyake.

NIMEKAA KWENYE NDOA KWA MIAKA KUMI BILA KUPATA MTOTO NDIO MAANA NIMEIBA MTOTO WA MWANAMKE MWENZANGU.

Jeshi  la  polisi  nchini  Nigeria, katika  jimbo  la  Akwa  Ibom, linamshikilia mwanamama  Peace  Chukwuemeka  kwa  kosa  la  kumuiba  mtoto  mwenye  umri  wa  mwezi  mmoja  kutoka  kwa  mama  yake  mzazi. Akihojiwa  na  polisi, mwanamama  huyo  alinukuliwa  akisema “  Nimekuwa  katika ndoa  kwa  muda  wa  miaka  kumi  bila  kupata mtoto. Nilichukua  uamuzi  wa  kumuiba  mtoto  huyo  ili  na  mimi  niwe  na  mtoto  wangu mwenyewe  na hivyo  kuepuka  manyanyaso  kutoka  kwa  mama  yangu  na  mume wangu.” Akielezea  jinsi  alivyo fanikiwa  kumuiba  mtoto  huyo  kutoka  kwa  mama  yake, Peace  alisema : “ Sikumewekea  dawa  wala  kitu  chochote, nilimkuta  mama  wa  mtoto  akiwa amesinzia  hivyo  nikatumia  fursa  hiyo  kumuiba  mtoto  na  kumpeleka  kijijini  kwa  mama  yangu lakini  mama  angu  alikataa  kumpokea, hivyo  nikaamua  kurudi  hapa  mjini, ambapo  mama  wa  mtoto  aliposikia  uwepo wangu  akaanza  kuniuliza  kuhusu  mtoto  na  kwenda  kutoa  taarifa  po

MADAKTARI NCHINI BURUNDI, WATAHADHARISHA KUHUSU KUONGEZEKA KWA IDADI YA MIMBA ZA WANAFUNZI.

  Utafiti  ulio fanywa  na  Wizara  ya  Afya  nchini  Burundi, umegundua  kuwa kuna  idadi  kubwa  sana ya  wanafunzi  wanao  pata  mimba  wakiwa  shuleni  huko  nchini  Burundi. Utafiti  huo  unaonyesha    kuwa iadadi  ya  wanafunzi  wanao pata  mimba  nchini  Burundi, imeongezeka  kutoka  877  mwaka 2009  hadi  2424  mwaka  2015  na  inaendelea  kuongezeka  hata  zaidi  mwaka 2016. CHANZO:  VYOMBO   MBALIMBALI  VYA  HABARI  NCHINI  BURUNDI.

SAFARI YA NDUGU DAVID TEMBA, KUONDOA KITAMBI, KUPUNGUZA UNENE & UZITO YAANZA RASMI .

DAVID  V. TEMBA, ambae  anapunguza  unene , na kitambi  kwa  kutumia  dawa  za  asili  na  lishe  maalumu  kutoka NEEMA HERBALIST. Hatimaye  safari ya  kupunguza  uzito, kitambi  na  unene  ya  Ndugu  David  Temba  wa  Kimara  jijini  Dar  Es   Salaam, imeanza  rasmi  Alhamisi  ya  leo, tarehe 10 NOVEMBA 2016 . Ndugu  David  Temba  ( 32)  mwenye  uzito  wa  Kilo  ( 108 kg ), ana ondoa kitambi, kupunguza  uzito  unene  na  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini  kwa  kutumia  dawa  za  asili  na  lishe  maalumu  kutoka  NEEMA  HERBALIST, duka  la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili  na  lishe  maalumu, linalo  patikana  UBUNGO  jijini  Dar  Es  Salaam, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.   Kushuhudia  jinsi  DAVID  TEMBA, atakavyo  kuwa  akipunguza  uzito, unene  na  kitambi  kwa  kutumia  dawa  za  asili  na  lishe  maalumu  kutoka  NEEMA  HERBALIST, tembelea  kila  siku  hapa  hapa  www.neemaherbalist.com

DADS FEEDING THEIR BABIES

LINDA IKEJI: MWANAUME ATAKAE NIOA MIMI NI LAZIMA AWE ANAJIWEZA KITANDANI

  Linda   Ikeji, ni blogger   maarufu   nchini   Nigeria   ambae   amepata amepata   mafanikio   maubwa   kupitia   tasnia   ya ku – blog.   Akifanya   mahojiano   na   jarida   moja   nchini   Nigeria, mwanadada   Linda   Ikeji mwenye   umri   wa   miaka 36   amesema   kuwa, bado   yupo   single   lakini   hayupo   tayari   kuolewa   na   mwanaume   asie   na   sifa   anazo   zihitaji. Alipoulizwa   sifa   za mwanaume   anaye   taka   awe   mume   wake   Linda, alikunukuliwa   akisema “    Mwanaume   ninae   taka   anione   ni   lazima   awe   anajiweza   kitandani, na   pili asiwe   masikini. Mamia   ya   wanaume   wanajitokeza   kutaka   kunioa   kila   siku, laini   Honestly   siwezi   kuolewa   na   mwanaume   ambaye   hajiwezi   kitandani, na asie   na   mafanikio   katika   maisha “ CHANZO ;   VYOMBO   MBALIMBALI   VYA   HABARI   NCHINI   NIGERIA. HABARI   HII   IMELETWA KWENU   NA  NEEMA  HERBALIST  BLOG, KWA  UDHAMINI  MKUBWA  WA   NE