Skip to main content

MMEA WA MMOYOMOYO KATIKA TIBA NA KINGA DHIDI YA MARADHI YA MOYO



Mamilioni  ya  watu  duniani  wanasumbuliwa  na  maradhi  mbalimbali  ya  moyo.
 Inapotajwa  maradhi  ya  moyo  maana  yake  ni  uwepo  wa  hitilafu  mbalimbali  ndani ya  moyo  au  zinazo  husiana  na  moyo  ambazo  husababisha  moyo  kutokufanya  kazi  sawa  sawa. 

 Kupanuka  kwa  moyo  , mapigo  ya  moyo  kwenda  kasi  na  shinikizo  kuu la  damu    ni  miongoni  mwa  maradhi  yanayo  tajwa  na  wataalamu  wa  afya  kama  maradhi  ya  moyo.

Katika   tiba  asilia,  mmea  wa   Mmoyomoyo  unatajwa  kuwa  na  uwezo mkubwa  wa  kudhibiti  na  kupambana  na  maradhi  mbalimbali  yanayo husiana  na   moyo .  
Watu   wanao  tumia  mmea  wa   Mmoyomoyo  katika  kupambana  na  maradhi  mbalimbali  ya  moyo  hupata nafuu  kubwa.

Mbali  na  kusaidia  katika  kutibu  maradhi  mbalimbali  ya  moyo, mmea  wa  Mmoyomoyo  unatumika  zaidi  katika  kinga  dhidi  ya  maradhi  mbalimbali  ya  moyo.

Matumizi  mabaya  ya  chakula, hasa  hasa  utumiaji  wa vyakula  vya  mafuta , vyakula  vyenye sukari, ulevi kupita  kiasi  pamoja  na  kutokufanya  mazoezi  ya  mwili  ( Physical  Exercises ) ni miongoni  mwa  mambo  yanayo  weza  kumuweka  mtu  katika  hatari kuu  ya  kupatwa  na  magonjwa  ya moyo.


Matumizi  ya  mara  kwa  mara  ya  mmea  wa   Mmoyomoyo  yanaweza   kupunguza  hatari  ya  kupatwa  na  maradhi  ya  moyo.
Mmea  huu  pia  unatumika  katika     kuondoa  na   kudhibiti  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini.

Makala  haya  yamekuja  kwenu  kwa  hisani  ya  NEEMA  HERBALIST. Duka  la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapatikana  jijini  DAR  ES SALAAM, katika  eneo  la UBUNGO  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONA  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.  
Tunapatikana  kwa  simu  namba  0766  53  83 84
Na  kwa  makala  kuhusu  tiba  asilia  ya  magonjwa  mbalimbali, tembelea   blogu yetu kila  siku :




Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA