Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2017

UONGO AU KWELI ?

Mdau  anauliza  kama  dhana  hii  ni uongo  au  kweli.  Asilimia kubwa wanawake ni waaminifu sana kwenye ndoa zao na kama ukikuta mwanamke ameanza kuchepuka bac ujue kajifunza toka kwa mume wake UONGO AU UKWELI..? MAKALA   NYINGINEZO 1.    JINSI   KISUKARI   KINAVYO   SABABISHA   MARADHI   YA   NGUVU   ZA   KIUME http://neemaherbalist. blogspot.com/2015/07/jitibu- kisukari-presha-shinikizo-la. html 2.    JINSI   KITAMBI   KINAVYO PATIKANA   NA   JINSI   UNAVYO WEZA   KUKIONDOA   KWA   TIBA   ASILIA http://neemaherbalist. blogspot.com/2015/06/fahamu- jinsi-kitambi-kinavyo- patikana.html 3.    JINSI   PUNYETO   INAVYO   SABABISHA   TATIZO   LA   UKOSEFU   NA   UPUNGUFU   WA   NGUVU   ZA   KIUME https://neemaherbalist. blogspot.com/2015/08/fahamu- uhusiano-uliopo-kati-ya- punyeto.html?showComment= 1499882198438 4.    IJUE   SAYANSI   YA   NGUVU   ZA     KIUME http://neemaherbalist. blogspot.com/2015/07/uhusi

WIFE MATERIAL KAENDA KUMSALIMIA MAMA MKWE

SIJUI NIJIITE MKE AU MCHEPUKO ?

Naomba nipostie Kwa wamama naomba ushaur wao..naongopa kuposti mwenyewe nisije vamiwa na mawifi.... Nina Mme wangu sijui nimwite tu Mme sababu nimesha zaa nae na pia katoa mahar kwetu nusu bado hajamaliza... Ni mwaka wa tatu sasa naishi nae... Wakati wanatoa mahar Walisema ndoa mwez wa nne mwakani.. Nilikiwa na ujauzito nikajifungua mwez wa tatu ndoa ikasemekana mwez wa nane na mahar kumaliziwa na wazazi kualikwa Nyumbani kwa mwanaume maana ndoa   haiwez kufanyika bila wazazi kualikwa.... Mwez wa tano Mme kaachishwa kazi kwahiyo wazazi wa mwanaume wakasema ndoa haiwezi kuwepo tens hadi mwanao asimame tena..huo ulikuwa Ni mwaka wa kwanza kwenye ndoa...wa pili ukapita hivyo hivyo mwanaume hana kazi familia naisimamia mm kwa kila kitu... Sasa huu mwaka wa tatu nikamkomalia baba watoto nikamwambia anataka ndoa hata mahar tumesamehe msipeleke.. Akawapingia wazazi kuwaambia.. Chakushangaza alichoniambia ni kwamba wazazi wake wamesema Nyumbani kwao hapako vzr kupo

RAFIKI YANGU ALINICHUKULIA MPENZI. JE NA MI MI NIMCHUKULIE MCHUMBA ? SOMA KISACHOTE UTOE USHAURI.

  Ficha jina Lang mpenwa. Wamama mkuje mnisaidie ushaur.  Nina rafk angu wakike tunapendana sana tokea tupo sekondar nilivo faulu kuingia masomo ya 4m 5 nilimwacha rafk ang kijijin yy hakufanikiwa kuendelea ila nilimshaur askate tamaa alinisaidia kwenye shida nilimsaidia kwenye shida nilimtambulisha kwa mpenz wang.  Nilienda masomon mawasiliano hayakuwe kulingana na mazingila ya shule.  Tulivo funga nilikuwa tiar nmewamis sana rafk ang na mpenz wang niliwachukulia zawad  wot e wawil rafk ang wa kike na mpenz wang ila nilivo fka kijijin mambo nilikuta yameenda mlama nikakuta rafk ang anatembea na mpenz wang jaman skuamin niliumia nlmfata rafk angu ili kumuuliza vzr ukwel alinijibu vibaya sana alinitukana wakat huo mpenz wang nae nilimfata akaniambia alimwekea mitego Ming akajikuta ametegeka.  Aliniomba msamaha huyo mpenz wang hata skutaka tena kujiingiza kwenye mahusiano niliumia niliumia sana Nilimuomba sana Mung alinisaidia nilimaliza masomo vzr had ya chuo.