Skip to main content

JINSI MBUZI ANAVYO TUMIKA KATIKA TIBA DHIDI YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.


Image result for maziwa ya mbuzi
Mbuzi  wa  maziwa. Maziwa  ya  mbuzi  yana  faida  nyingi  sana  katika  afya  ya  mwanadamu kwa  ujumla. Maji  kati ya  kazi  za  maziwa  ya  mbuzi  ni  pamoja  na kutumika  kama  lishe  maalumu kwa  wanaume  wenye  tatizo la  ukosefu na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Wanyama  na  ndege  au bidhaa ama  vitu  vitukanavyo nao  huweza  kutumika  katika  tiba dhidi  ya magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kifaa. 

Image result for mbuzi  beberu images
Mbuzi  Dume  aliye  komaa.  Nyama, korodani  na  dhakari  zinazo  faa  kutumika  kama  lishe  maalumnu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu na  upungufu  za  kiume vinatakiwa  kutokana  na  mbuzi  beberu  aliye  komaa  kama  huyu.
Mfano  nyama  ya bata  iliyo chemshwa  bila  kutiwa  chumvi  hutumika  katika  tiba  ya  kuongeza  sperm count  huku  mayai  ya  kuku wa  kienyeji  yakitumika  katika  tiba  dhidi ya  vidonda  vya  tumbo.
Katika   makala  ya  leo  tutatazama  namna  mnyama mbuzi  anavyo  tumika  katika  tiba  asilia  ya  tatizo  la  ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Image result for asali ya tende images neema herbalist
Asali  ya  Tende

Mbuzi  jike  na dume  kwa pamoja  wanaweza  kutumika  katika  tiba  dhidi  ya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume kwa  namna  tofauti  tofauti.
Image result for cardamom powder images

Image result for cardamom powder images
Hiriki  ya  unga  ( Hiriki  iliyo  sagwa  )
Wanyama  hawa  hawatumiki kama  tiba  persee  ila  wanatumika  kama  lishe  maalumu  kwa   watu wanao  tumia  tiba  asilia za  tatizo  la  nguvu  za  kiume .
Matumizi  ya  mnyama  huyu  si  tu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu  na  ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, bali  hata  kwa  wanaume  ambao  hawana  tatizo  hilo  lakini  wanataka  kuzitunza,kuzilinda  na / ama  kuziimarisha  nguvu  zao.
JINSI  MBUZI  WANAVYO  TUMIKA  KATIKA  TIBA  YA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA/ AMA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mbuzi  anaweza   kutumika  kama  sehemu  ya  tiba  -lishe  ama  lishe  maalumu  kwa  wanaume  wanao  sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  /ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  kwa  kufuata  utaratibu  ufuatao

A.   MBUZI  JIKE

Mahitaji
1.    Lita moja  ya maziwa  ya  mbuzi
2.     Punje kumi  na nne  za  tende  au vijiko  vikubwa  vinne  vya  asali  ya  tende
3.    Kijiko  kimoja  kikubwa  cha unga  wa  hiriki (Unga  wa  hiriki  unapatikana  kwa  kusaga  hiriki. Kwa  lugha  nyingine, unga wa  hiriki  ni  hiriki  iliyo  sagwa )
4.      Vijiko  viwili  vidogo  vya  dawa  asilia  ya  Jiko.
5.    Kikombe  cha  maji ya  moto au vuguvugu  chenye  ujazo  wa  mills  250.

Matayarisho
1.     Changanya  lita  moja  ya  maziwa fresh ya  mbuzi  na  punje  kumi na  nne  za  tende au  changanya  hiyo lita  moja  ya  maziwa  fresh  ya  mbuzi  na vijiko  vikubwa  vinne  vya  asali  ya  tende.  Tia  kwenye  chupa  au chombo  chochote  kisafi na  salama  na  ambacho  unaweza  kukitumia  kuhifadhia, kisha  koroga  na  uhifadhi  ndani  ya  friji  halafu  acha  mchanganyiko  wako usiku kucha.

2.    Ikifika  asubuhi, changanya  mchanganyiko huu na  kijiko kimoja  kikubwa  cha  hiriki  iliyo  sagwa, vijiko  vitatu  vya  dawa  ya  jiko  iliyo  katika  mfumo  wa  unga unga  kisha  koroga  halafu  gawanya  dawa yako katika   portion mbili  zenye  ujazo  sawa.


MATUMIZI
Tumia  kunywa  lishe hii  mara  mbili kwa  siku  asubuhi  na  usiku na utafanya  hivyo  mara  moja  kwa  wiki  kwa  wiki  nne  mfululizo. Hapa  maana  yake  ndani  ya mwezi mmoja, utatakiwa  kuwa umetumia  lishe  hii  mara  nne  tu.

JAMBO  LA  KUZINGATIA
 Lishe  hii  inaenda  sambamba na  matumizi  ya  dawa  asilia  ya  jiko.  Unashauriwa  kutumia  lishe  hii katika  kipindi  ambacho  unatumia  jiko  pia. Ingawa  lishe  hii  utakuwa ukiitumia  mara  moja kwa  wiki kwa muda  wa  wiki  nne, dawa  ya  jiko  utatakiwa  kuitumia  mara  mbili  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku thelathini.
B: MBUZI  DUME
Sehemu  ya  mbuzi  dume  inayo  tumika  katika  tiba  dhidi  ya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  ni  KORODANI, NYAMA (HUSUSANI NYAMA  YA MBAVU  AU SHINGO )  pamoja na  DHAKARI.

MAHITAJI
i.                   Korodani  za  mbuzi zilizo 
ii.                 Pink  salt  ( Chumvi  ya  pink  ) kijiko kidogo kimoja
iii.              Dawa  ya  jiko ( Eidha  iliyo  sagwa  katika  unga  au  iliyo katika  mfumo  wa  mizizi  )
iv.              Sufuria  lenye  uwezo  wa kubeba  kuanzia  lita tatu  za  maji  na  kuendelea
v.                 Maji  lita  moja  na  nusu



MATAYARISHO

i.                   Chukua  korodani  za  mbuzi kisha  tia  kwenye  sufuria
ii.                 Ongeza  maji  lita  moja  na  nusu
iii.              Ongeza  pink salt  kijiko  kidogo kimoja
iv.              Ongeza  vijiko  vitatu  vidogo vya  dawa  ya  jiko  iliyo katika  mfumo  wa  unga  au  kipande  kimoja cha mzizi  wa  jiko.
v.                 Chemsha  mchanganyiko  wako  hadi  utokote.
vi.              Ipua, chuja  makapi  weka  pembeni  ubaki  na  supu  yako.
MATUMIZI   
Tumia  kunywa  supu  yako  hii  mara  moja tu.
JAMBO  LA  KUZINGATIA
 Lishe  hii  inaenda  sambamba na  matumizi  ya  dawa  asilia  ya  jiko.  Unashauriwa  kutumia  lishe  hii katika  kipindi  ambacho  unatumia  jiko  pia. Ingawa  lishe  hii  utakuwa ukiitumia  mara  moja kwa  wiki kwa muda  wa  wiki  nne, dawa  ya  jiko  utatakiwa  kuitumia  mara  mbili  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku thelathini.
Ama  kwa  upande  wa  DHAKARI  ya mbuzi, jinsi  inavyo  tumika  kama  lishe  maalumu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu  na upungufu  wa  nguvu  za  kiume , matayarisho  yake  yapo  kama  ifuatavyo :

i.                   Dhakari  za  mbuzi  kuanzia  tatu hadi  tano  ambazo  zimenyonyolewa  tayari( Hizi  unaweza  kuzipata  ukienda  machinjioni )
ii.                 Pink  salt  nusu kijiko  kidogo
iii.              Vijiko  vudogo  viwili  vya  dawa  ya  jiko  iliyo katika  unga.
JINSI   YA  KUTAYARISHA
Kausha  dhakari  zako  kwenye mwanga  wa  jua.  Zikisha  kauka, zisage  hadi zisagike  kisha  changanya  na  nusu kijiko  cha  pink salt,  na  vijiko  viwili  vidogo  vya  daw  ya jiko  iliyo  katika  ungaunga  kisha  tumia  kulamba  mchanganyiko  wako . Utakuwa  unafanya  hivyo  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni. Utafanya  hivyo  hadi  mchanganyiko  wako  utakapo kamilika.

NYAMA  YA  BEBERU ( NYAMA  YA  MBUZI  DUME )  KAMA  LISHE  MAALUMU KWA  WANAUME  WENYE  TATIZO  LA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
 Jinsi  ya  kutumia  nyama  ya  beberu la  mbuzi  kama  lishe  maalumu  kwa  mwanaume  mwenye  tatizo  la  ukosefu na / ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, fuata  maelekezo  yafuatayo :
Mahitaji
i.                   Nyama  ya  beberu  iliyo chomwa, kiasi  cha  nusu  kilo au  kilo moja  kulingana  na  uwezo  wako  wa  kula.
ii.                 Nusu  lita  ya  asali ya  tende  au  robo kilo  ya  tende
iii.              Pink salt  kijiko  kidogo kimoja
iv.              Vijiko  vidogo  vitatu  vya  dawa  ya  jiko.
MATAYARISHO
Changanya  kijiko kimoja  kidogo  cha  pink salt kwenye nusu lita  ya asali ya  tende kisha  ongeza  ndani  yake  vijiko vidogo  vitatu  vya  dawa  ya  jiko  halafu koroga  hadi  vichangamane.

MATUMIZI
Chukua  kipande  cha  nyama  yako  ya  mbuzi, chovya  kwenye  mchanganyiko  wako  kisha  kula  hadi  utakapo  maliza  vipande  vyako  vyote  vya  nyama. Utafanya  hivyo mara  moja  tu inatosha  sana.

AU  KAMA  HAUNA  ASALI YA  TENDE
Changanya  pink  salt  na  dawa  ya  jiko, halafu  chukua  kipande  chako cha  nyama, chovya  kwenye  mchanganyiko  wa  jiko  na  pink  salt halafu  kula  pamoja  na punje moja ya tende(Naposema  punje  simaanishi  mbegu, namaanisha ile sehemu ya tende  inayo  faa kuliwa  )
Utafanya  hivyo  hadi kiasi chote  cha  tende  kitakapo  isha. Na  utafanya  hivyo  mara  moja tu.

JIANDAE  KUSOMA  MAKALA  NYINGINGE  KUHUSU  AINA  MBALIMBALI  ZA  LISHE  MAALUMU  KWA  WANAUME  WENYE  TATIZO LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

MAKALA  HAYA  YAMEANDALIWA  NA  DUKA  LA  NEEMA HERBALIST LILILOPO  UBUNGO  JIJINI  DAR  ES  SALAAM, JIRANI  NA  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  NYUMA  YA  JENGO  LA  UBUNGO  PLAZA.
WASILIANA   NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0766  53 83 84.

NA  KWA  HABARI  NA  MAKALA  MBALIMBALI  KUHUSU  TIBA  ASILIA. TUTEMBELEE  KILA  SIKU  KUPITIA  BLOGU YETU : www.neemaherbalist.blogspot.com

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA