Skip to main content

WANAUME WALIO KATIKA KUNDI HILI, HAWAWEZI KUFANYA PUNYETO.SOMA HADI MWISHO UJUE SABABU NI NINI ?

Neema  Herbalist    &  Nutrtional  Foods  Clinic


Pamoja  na  kwamba, asilimia  kubwa  ya  wanaume, hudhaniwa  ama  kuchukuliwa  kuwa  wamewahi  kufanya punyeto   wakati  fulani  katika  historia  ya  maisha  yao, lakini  lipo  kundi  la  wanaume  ambao  hawawezi  kufanya  kabisa  punyeto.
Kwa  mujibu  wa  uzoefu   wetu, wanaume  walio  katika  kundi  hili ni  wanaume  marijali.
Wanaume   marijali , hawawezi  kufanya  punyeto  sio  kwa   sababu  hawajui  jinsi  punyeto  inavyo fanyika, laah!   

Wala  si  kwa  sababu  labda wana  uwezo   mkubwa  wa  kujizuia  kufanya  punyeto , Hapana..    
Mwanaume  rijali  hawezi kufanya  punyeto  kwa  sababu  ambazo  zipo  nje  ya  uwezo  wake.. Sababu  ambazo  hawezi  ku zi  control  kwa  namna  yoyote  ile hata  kama  yeye  mwenyewe  anatamani  kufanya  punyeto

Ni   nini  Sababu zipi  hizo ?

Kabla sijaeleza sababu  zinazo  wazuia  wanaume  marijali  kushindwa  kufanya  punyeto  kabisa, ni  vema  na  haki, nikitoa definition  ya  mwanaume  rijali.

Mwanaume  Rijali  ni  Nani  ?
Mwanaume  rijali  ni  mwanaume  ambaye  hana  tatizo  la  ukosefu  na/au upungufu  wa nguvu  za  kiume.

Kwanini  Mwanaume  Rijali  Hawezi  Kufanya  Punyeto  ?
Mwanaume  rijali  hawezi  kabisa  kufanya  punyeto.  Sababu  ni kama  ifuatavyo :

1.   MUDA  ANAO  UTUMIA  KUFIKA  KILELENI

Kwa  kawaida  mwanaume  rijali  anaweza  kutumia  kati ya  dakika   thelathini  hadi  arobaini  na  tano  kufika  kileleni  kwa tendo  la  kwanza.  Wakati mwingine  huweza  kutumia  hata  lisaa  limoja.

Muda  anao tumia  mwanaume rijali  kufika  kileleni  unamzuia  vipi  kufanya  punyeto ?

Kwa  kawaida  mwanaume  anaye  fanya  punyeto, huwa  anatumia  muda  mchache  sana kukamilisha  tendo la  punyeto  kama  vile  vile  anavyo tumia  kukamilisha  anapokuwa  anafanya  tendo  la  ndoa  na  mwanamke.

Kwa  wastani  mwanaume  anaye  jihusisha  na  punyeto  anaweza  kutumia  dakika  moja  hadi tatu  kukamilisha  tendo la  punyeto. 

Hii  ndio  sababu  inayo  wafanya  wanaume  wanao  jihusisha  na  punyeto  kuwa  na  uwezo  wa  kufanya  punyeto mara  kwa  mara  (  mara  4  hadi  7  kwa siku  ) kwa  sababu  ni tendo  wanalo weza  kulifanya  kwa  muda  mfupi sana  na  wanaweza  kulifanya  katika  mazingira  yoyote  yale.

Inakuwaje  kwa  mwanaume  rijali  ?

Mwanaume  rijali  hata  kama  akiwa  anataka  kufanya  punyeto, atashindwa  kwa  sababu  ya  factor  ya  muda  anao  utumia  kufika  kileleni.

Mwanaume  hawezi  kufanya  tendo  moja  la  punyeto  kwa  muda  wa  dakika  30 ,  45  au lisaa  lizima  kwa  sababu    zifuatazo  :

1.   MAZINGIRA  YA  KUFANYA  PUNYETO  KWA  MUDA  WA  DAKIKA  30 , 45  AU LISAA  LIMOJA   HAYATA  MRUHUSU KUFANYA  HIVYO :
Uzoefu  unaonyesha  kuwa  wanaume  wanao  fanya  punyeto  hufanya  punyeto   katika  mazingira  yafuatayo :

Moja  :  Chooni  au  bafuni  wakati  wa  kuoga  asubuhi  au  usiku.
Huwezi  kukaa  chooni  kwa  muda  wa  dakika  30  au  45  ukifanya  punyeto.
Harufu au mazingira  ya  chooni  hayata ruhusu  ukae  mahali humo  kwa  muda  wote  huo lakini  pili  kama  unaishi kwenye  nyumba  ya  kupanga, mazingira  hayawezi  kuruhusu  ukae  chooni  muda  wote  huo, bila  ya  kupata  ama  kusababisha  bugudha  kutoka  kwa  wapangaji  wenza. 

Mlango  wa  chooni  utakuwa  unagongwa  mara  kwa mara  watu  wakitaka  kutumia  choo  kujisaidia na  hivyo  automatically  kukufanya  ushindwe  kupata  muda  wa  kufanya  punyeto.
Kama  unafanyia  bafuni pia bado  litakuwa  ni  tatizo  kwa  sababu  huwezi  kukaa  bafuni  kwa  dakika  30  au 45  ukifanya  punyeto.

Huo  ni muda  mwingi  sana  kwa  mwanaume  kukaa  bafuni.

Kama hiyo  haitoshi, bafu zetu  za  uswahilini hazina  mazingira  rafiki  ya  kumfanya  mtu  aweze  kukaa  humo kwa  muda  wa  dakika  30  au 45 au  60 . 

Ili aweze  kumudu  dakika  zote  hizo  thelathini  itambidi  amudu  kusimama  kwa  dakika zote  hizo  30 au 45  au  lisaa  lizima  akifanya  punyeto  jambo  ambalo  ni  gumu  sana.

Na  kama  unaishi  kwenye  nyumba  ya  kupanga  basi  hali  itakuwa   ngumu  zaidi  kwa  sababu  huwezi kukaa  bafuni  kwa muda  wa  dakika  zote  hizo 30, 45  au  lisaa  zima  ukifanya  punyeto  bila  wapangaji  wenzako  kutaka  kutumia  bafu  hiyo  pia .
Ukijaribu  kufanya  hivyo itakuwa  kituko  kwa  sababu, harakati  za  kuoga  zitakuwa  hazisikiki  na  wewe  utakuwa  kimya  ukishughulika  na  punyeto.

Jambo  hili litawafanya  wapangaji  wenzako  watake  kujua  kulikoni  unakaa  bafuni  muda  wote  huo huku  na  wao wakihitaji  kutumia  bafu  hiyo  hiyo.

KWA  WANAUME  WALIO  OA  HALI  HUWA  NGUMU  ZAIDI :

Wapo  wanaume  ambao  pamoja  na  kuwa  katika  ndoa  lakini  bado  hufanya  punyeto.  

Mwanaume  alie  katika  kundi  hili  anaweza  kumuacha  mke  wake  ndani  amelala   au  hata  akiwa macho  na  kwenda  kufanya  punyeto  bafuni  au  chooni  na  kisha  kurudi  kuendelea  kulala.
Au  anaweza  kumvizia  mke  wake  akiwa  amelala  na  kufanya  punyeto  hapo  hapo  kitandani  kisha  kukojoa  manii  kwenye  gazeti  au  kitambaa  cha  kufutia  makamasi.

KUMUACHA  MKE  AKIWA  NDANI  NA  KWENDA  KUPIGA  PUNYETO  BAFUNI  AU  CHOONI.
Jambo  hili  litakuwa  gumu  sana  kwa  sababu, kama  mwanaume  alie katika  ndoa  ambayo  ipo  committed  hawezi  hawezi  kumuaga  mkewe  anaenda  chooni  au  bafuni  halafu  akakaa  huko  kwa  lisaa  lizima.  
Ni  jambo  linalo weza  kuleta  fikra  za  uwalakini kwa  upande  wa  mke na  hakuna  kitu  ambacho  mwanaume  ana  jitaidi  kuki avoid  kama  hicho.
Tofauti  na  mwanaume  anaye  jihusisha  na  punyeto, anaweza  kukurupuka  na  kwenda  zake  chooni  au  bafuni    dakika  zake  mbili  ameshamaliza  habari  yake  then  anarudi  kitandani  kwa  mkewe  bila  wasiwasi  wala  bila  mkewe  kuhisi  chochote kile, kwa  sababu  itaonekana  kama  alienda  chooni  tu  au  bafuni.

KUMVIZIA  MKE  AKIWA  AMESINZIA  KISHA  KUFANYA  PUNYETO  KITANDANI  NA  KUMWAGA  MANII  KWENYE    GAZETI  AU  KITAMBAA  CHA  KUFUTIA  MAKAMASI.
Hili  nalo  litakuwa  suala gumu  sana  kwa  mwanaume  rijali  kwa  sababu , ni  jambo gumu  sana  kufanya  punyeto  kwa  muda  wa  lisaa  lizima   bila  mke  wako  kushtuka  na  kukuuliza  unafanya nini.
Hali  ni  tofauti  kwa  mwanaume  anaye  jihusisha  na  punyeto.
 Anaweza  kufanya  jambo  hili  kwa  haraka  sana  kwa  sababu  anaweza  kutumia  muda  mfupi  sana  kufika  kileleni.

SABABU   YA  PILI  NI  MARA  ANAZO RUDIA  KUFANYA  TENDO  LA  NDOA
Kwa kawaida  mwanaume  rijali  huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  bila  kuchoka  kuanzia  mara tatu na  zaidi  kila  anapo  fanya  tendo  la  ndoa   na  katika  kukamilisha  kila  tendo, huweza  kutumia  dakika  30, 45, au  lisaa  limoja na  interval  ya  tendo  huweza  kuwa  ya  muda  mfupi  kuanzia dakika  10  hadi  15.

Katika  mazingira  kama  haya, huyu mwanaume  ataweza  vipi  kufanya  hiyo  punyeto ?

Kwa  sababu  nilizo  zieleza  hapo  juu, Ni  vigumu  sana  kwa  mwanaume  huyu  kuweza  kufanya   punyeto  kwa  sababu  mazingira  ya  kufanya  hiyo  punyeto  hayawezi  kumruhusu .

ITAENDELEA   KESHO


KWA   WAATHIRIKA   WA   PUNYETO

Kama  wewe  ni mwanaume  ambae  umeathirika  na  upigaji wa  punyeto  kwa  muda mrefu, kiasi  kwamba  maumbile  yako  yamedumaa, sinyaa, legea , nywea  na  kurudi  ndani  kiasi cha  kuyafanya  yaonekane  kama  ya  mtoto  mdogo, usikate  tamaa  kwani  bado  unayo  nafasi  kutibiwa  tatizo  lako  na  kupona  kabisa

SOMA  MAELEO  HAYA  HAPA  CHINI :



JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA NA  KURUDI  NDANI  KWA  MAUMBILE  YA  KIUME PAMOJA  NA  TIBA  DHIDI  YA MAUMBILE  YA  KIUME  YALIYO  DUMAA NA KUSINYAA  KWA  SABABU  YA  PUNYETO.

Kudumaa , kusinyaa  na  kunywea  au kurudi ndani  kwa  uume  ni tatizo  linalo  wakabili wanaume  wengi  duniani.

Dalili  za  tatizo  hili  ni  pamoja  na  kuwa na  maumbile madogo sana yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuyafanya  yaonekane  kama  ya  mtoto  mdogo.

VYANZO  VYA  TATIZO  LA  KUDUMAA  NA  KUSINYAA  KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.
Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, tatizo la  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya kiume  huchangiwa na  mambo mengi.


Baadhi  ya  mambo  hayo  ni  pamoja na  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu,  kuugua  chango  la  kiume,  kuugua  ngiri,  kuwa  na  uzito & unene  ulio pitiliza, kufanyiwa  upasuaji  wa  tezi  dume , uzee  na  kuugua  maradhi  yasababishayo  kupinda  kwa  uume.
Katika  makala  haya , tutaangazia  namna  suala  la  upigaji  punyeto  linavyo  sababisha  kudumaa  na  kusinyaa  kwa  maumbile  ya  kiume.



NINI  HUSABABISHA  UUME  KUSINYAA,KUDUMAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUUFANYA  UONEKANE  KAMA  WA  MTOTO ?

Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kisayansi, Sababu  kubwa   inayo  sababisha  kudumaa, kusinyaa  na  kurudi  ndani    kwa  uume  ni kupungua  ama  kukosekana kabisa   kwa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu  kama  HGH  ambazo  pamoja  na  mambo mengine , zina  husika  na  kuchochea  ukuaji  wa  seli zinazo  husika na  ukuaji  wa  misuli ya  uume na  uume  kwa ujumla.

MAMBO  YANAYO  SABABISHA  KUPUNGUA  AMA  KUKOSEKANA  KWA  HOMONI  ZINAZO  SAIDIA  KUCHOCHEA  UKUAJI  WA  MISULI  YA  UUME.

Kwa  mujibu  wa  tafiti za  kitaalamu, mambo  yanayo  sababisha  kupungua  na/ ama  kukosekana  kwa  homoni zinazo  saidia kuchochea  ukuaji  wa  misuli ya  uume ni  pamoja  na :
1.   Kujengeka kwa  mafuta kwenye  mishipa  ya ateri ipitishayo  damu kwenda  kwenye  misuli ya  uume  na  hivyo  kuzuia kutiririka  kwa  damu kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.
2.    Kujengeka  kwa  tishu zisizo  vutika ndani ya  mishipa  ya  ateri. Tishu  hizi  huzuia  mishipa ya  ateri kupanuka  na hivyo  kushindwa kuongezeka ukubwa.

KWANINI  PUNYETO HUSABABISHA  UUME KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI  NDANI KIASI CHA  KUONEKANA  KAMA  UUME  WA  MTOTO  MDOGO ?

Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.

Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uzalishaji  wa homoni muhimu  zinazo  husika  na ukuaji wa misuli ya  uume, na hatimaye  hufanya  uume  wa  mhusika  kudumaa, kusinyaa, kunywea  na  kurudi ndani  kiasi  cha  kuufanya  uonekane  kama wa  mtoto.

 Homoni  hizo hujulikana  kama  HGH  na  huzalishwa  kwenye  ini.



Sababu nyingine   inayo  tajwa  na  wataalamu  ni kwamba, mtu  anaye fanya punyeto   hutumia  akili,  nguvu na  nishati  nyingi sana, jambo ambalo  huathiri utendaji  wa  ogani  nyingine  muhimu  katika  mwili , likiwemo  ini.

Ini  linapo kosa  nishati   ya kutosha  hushindwa  kufanya kazi  zake  vizuri  na  moja  kati  ya  kazi kubwa  za  ini  ni  pamoja  na  uzalishaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu kama  HGH  ambazo  kama  ilivyo andikwa  hapo juu, zinahusika na  kuchochea  ukuaji  wa  sehemu mbalimbali  katika  mwili  wa  mwanadamu  ikiwemo   misuli  ya  uume.

Mbali na  kuathiri  utendaji  wa  ogani  nyingine  mwilini, upigaji  punyeto  husababisha  athari nyingine  kwenye  mwili wa  mwanadamu  kama  vile uchovu  sugu  wa mwili  pamoja na kunyonyoka kwa  nywele.

Athari nyingine  za  upigaji punyeto  ni  pamoja  na  kupoteza  kumbukumbu, kuwahi  kufika  kileleni  ambako  husababishwa  na  kulegea  kwa  mishipa  ya  ateri, kushindwa  kurudia  tendo  la  ndoa, kukosa  hamu  ya  tendo  la  ndoa, uume  kusimama  katika  hali  ya  ulegelege,   maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa  husuani  wakati  wa  kurudia  tendo  la pili na    mara  baada  ya  tendo  la  ndoa  la  kwanza.

KWANINI   WATU WENGI  WANAO  JIHUSISHA  NA  UPIGAJI  PUNYETO  WANA  MAUMBILE  MADOGO  YA  KIUME YALIYO  DUMAA, SINYAA  NA  KURUDI NDANI.

Uzeofu  unaonyesha  kuwa,  asilimia  kubwa  ya  wanaume  ambao  wamewahi  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, wanakabiliwa  na  tatizo  la kuwa  na  maumbile  ya  kiume yaliyo dumaa, sinyaa  na  kurudi ndani.

SABABU  KUBWA   NI  HII  HAPA
Sababu  kubwa  ni kwamba   vijana wengi  wa  kiume, huanza  kujihusisha  na  punyeto   wakiwa  na  miaka  kumi  na sita , kumi na  saba  au  chini  ya  hapo.
Hiki ni  kipindi  ambacho  vijana  hawa  ndio  wanakuwa  wamebalehe.
Na kwa mujibu  wa  tafiti  za kisayansi, katika  kipindi  hiki cha  balehe  ndio  kipindi  ambacho  homoni za  HGH  ambazo huhusika   ukuaji  wa  sehemu  mbalimbali  za  mwili  ikiwemo  maumbile ya  kiume, huzalishwa  kwa wingi.
Kama  tulivyo ona  hapo  juu, upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa   homoni  hizo.
Mwisho wa  siku  maumbile  ya  kiume  ya  wahusika, hushinda  kukua  na  kuishia  kudumaa na  kusinyaa.
Na  hii ndio  sababu  kubwa  wanaume  wanao  kabiliwa  na  tatizo  hili  husalia  kuwa  na  maumbile yenye  ukubwa  ule  ule  wakati wa  kubalehe.

NINI  TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  KUDUMAA, KUSINYAA  NA  KURUDI NDANI KWA  MAUMBILE  YA  KIUME.

Kama uume wako  umedumaa, umesinyaa, umelegea, umenywea  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ulifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  na  unataka  kuondokana  na  hali  hiyo.
HII  NI HABARI NJEMA  SANA  KWAKO! 

Ipo  DAWA  YA  ASILI  ambayo  HUTIBU  na  KUPONYESHA  KABISA  tatizo la  KUDUMAA, KUSINYAA, KUNYWEA  NA  KURUDI NDANI  KWA MAUMBILE  YA  KIUME.
Ni  dawa  ya  asili  kabisa  isiyo  na  kemikali  yoyote ya  kiwandani  ambayo  hutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la kudumaa  na  kusinyaa  kwa  uume  ndani ya siku thelathini.

JINSI   YANAVYO   TUMIKA
Dawa  hii  ya  asili  hutumika  kwa  kuchua  uume. Na hutumika  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni kwa  muda  wa  siku  thelathini.


MAMBO   YANAYO FANYWA  NA  DAWA  HII YA  ASILI.

Dawa  hii  ya  asili  husaidia  katika  mambo  yafuatayo :
1.    Kuimarisha  na  kuipa  nguvu mishipa  iliyo legea kwa  sababu  ya  punyeto
2.   Hunenepesha  uume  ulio sinyaa  kwa  sababu  ya  punyeto
3.   Hurefusha  uume  ulio dumaa  na  kurudi ndani  kwa  sababu  ya  punyeto.
4.   Huimarisha  na  kuongeza  nguvu  za  kiume
5.   Hukupa  uwezo wa  kurudia tendo  bila  kuchoka
6.   Hukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu.
7.   Husaidia  kuongeza  na  kuimarisha  nguvu  na  nishati ya  misuli ya  uume.

JINSI YA  KUPATA  DAWA  HII

Kupata  dawa  hii, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST  lililopo  UBUNGO  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  PLAZA  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  muda  wa  kufika  ofisini kwetu, tunayo huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ndani ya  jiji la  Dar  Es Salaam  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )
Kwa wateja  wetu waliopo  nje  ya mkoa  wa Dar  Es  Salaam na  Zanzibar, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus  na boti.

WASILIANA NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84
Na kufahamu  kuhusu  tiba  asilia ya  magonjwa  na  matatizo mbalimbali  ya  kiafya, tutembelee  kila  siku :





Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA