Skip to main content

DUNIANI HAKUNA MWEMBAMBA


Image result for asali  ya  tende  neema  herbalist

Je  umekonda  na  kudhoofu  mwili  wako  kwa  sababu  ya  kuugua  maradhi  mbalimbali  au  kwa  sababu  ya  msongo  wa mawazo  ?
Unataka  kurejesha   mwili  na  afya  yako  katika  hali  yake  ya  awali ?  Kama  jibu  lako  ni  NDIO  basi  HII  NI HABARI  NJEMA  SANA  KWAKO. 
Tunayo  DAWA  LISHE  YA  ASILI  ambayo  inasaidia  kurejesha   afya  na  mwili  wa  mtu  alie  dhoofu    kwa sababu  ya kuugua  magonjwa  na  maradhi  mbalimbali  au  kwa  sababu  ya  msongo  wa  mawazo.
Dawa  hii  ya  asili  itarejesha  afya  na  mwili  wako  ndani  ya  muda  wa  siku  thelathini.

Na  kama  wewe  ni   MWEMBAMBA   na  unataka   KUONGEZA  MWILI  na  KUNENEPA  basi  DAWA  LISHE  hii ndio  JAWABU  LAKO.  Dawa  hii  itafanya  mwili  wako  uongezeke  na  kunenepa  ndani  ya  siku  thelathini.
Ni  dawa  ya  asili  kabisa ( pure  herbal ) isiyo  na  kemikali  yoyote  ya  viwandani  na  inapatikana  kwa  gharama  utakayo weza  kuimudu.
Kupata  dawa  hii  fika  katika  duka  la  NEEMA  HERBALIST  linalo patikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA  jirani na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL   HOUSING.
Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba    0766  53  83  84    au  0693 00 51 89.
Kwa  wateja  wasio  na  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu, tunayo  huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  popote  walipo ndani  ya  jiji  la  DAR  ES  SALAAM.
Na kwa  taarifa  zaidi kuhusu  dawa  mbalimbali za  asili  pamoja   na huduma  zetu  kwa ujumla  , tutembelee  kupitia  blogu yetu:

Comments

  1. Ni ya maji Au niya unga Ya koroga kwenye Uji, je nishingapi

    ReplyDelete
  2. Ni ya maji Au niya unga Ya koroga kwenye Uji, je nishingapi

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA