Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2017

MMEA WA MMOYOMOYO KATIKA TIBA NA KINGA DHIDI YA MARADHI YA MOYO

Mamilioni  ya  watu  duniani  wanasumbuliwa  na  maradhi  mbalimbali  ya  moyo.  Inapotajwa  maradhi  ya  moyo  maana  yake  ni  uwepo  wa  hitilafu  mbalimbali  ndani ya  moyo  au  zinazo  husiana  na  moyo  ambazo  husababisha  moyo  kutokufanya  kazi  sawa  sawa.   Kupanuka  kwa  moyo  , mapigo  ya  moyo  kwenda  kasi  na  shinikizo  kuu la  damu    ni  miongoni  mwa  maradhi  yanayo  tajwa  na  wataalamu  wa  afya  kama  maradhi  ya  moyo. Katika   tiba  asilia,  mmea  wa   Mmoyomoyo  unatajwa  kuwa  na  uwezo mkubwa  wa  kudhibiti  na  kupambana  na  maradhi  mbalimbali  yanayo husiana  na   moyo .   Watu   wanao  tumia  mmea  wa   Mmoyomoyo  katika  kupambana  na  maradhi  mbalimbali  ya  moyo  hupata nafuu  kubwa. Mbali  na  kusaidia  katika  kutibu  maradhi  mbalimbali  ya  moyo, mmea  wa  Mmoyomoyo  unatumika  zaidi  katika  kinga  dhidi  ya  maradhi  mbalimbali  ya  moyo. Matumizi  mabaya  ya  chakula, hasa  hasa  utumiaji  wa vyakula  vya  mafuta ,