Skip to main content

Posts

Showing posts from May, 2018

FAIDA ZA KIAFYA ZA CHIWA SEEDS

Chiwa   Seeds   zinatajwa   kuwa   na   umuhimu   mkubwa   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Tafiti   mbalimbali   za   kisayansi   zinaeleza kuwa Chiwa   ni   mmea   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Baadhi  ya  faida  za  Chiwa  Seeds  ni   pamoja    na : 1.     Husaidia  kuimarisha  afya  ya  moyo 2.     Husaidia kudhibiti  kiwango  cha  sukari  kwenye  damu 3.     Husaidia  kuupa  mwili  nguvu 4.     Husaidia  kuimarisha  mifupa 5.     Husaidia  kulainisha  ngozi  na  kupunguza  dalili  za  uzee 6.     Husaidia  kuimarisha  mfumo  wa  mmen’genyo  wa  chakula 7.     Husaidia  kuzuia  utengenezaji  wa  seli za  saratani  ya  matiti  na  saratani  ya  shingo  ya  kizazi Zao  hili  kwa sasa  linalimwa  nchini  Tanzania  kama  inavyo  onekana  pichani  juu  zao  la  Chiwa  likiwa  katika  hatua  mbalimbali.  Photo Credit  to  Serious Peasant

IMARISHA AFYA YA UBONGO YA MTOTO WAKO KWA KUTUMIA MMEA WA CHIWA SEED

IMARISHA   AFYA   YA   UBONGO   YA   MTOTO   WAKO   KWA   KUTUMIA   MMEA   WA   CHIWA   SEED Chiwa seed   ni   mmea   ulio fanyiwa   tafiti   nyingi   za   kisayansi   na   kuthibitika   kuwa na   umuhimu   mkubwa   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mbegu   hizi   zinatajwa   kuwa   na   msaada   mkubwa   sana   kwa   watu   wenye   kusumbuliwa   na   magonjwa   &   matatizo   mbalimbali   ya   kiafya. Chia  Seed  zikiwa  shambani. Photo  Credit to JF Moja   kati   ya   faida   muhimu   za   mbegu   za   Chiwa   Seed   ni   kutumika   katika   kuimarisha   afya   ya   ubongo   wa   watoto. Tafiti   mbalimbali   za   kitaalamu   zinaeleza   kuwa, Chia   Seeds   zina   kiwango   kikubwa   cha   Omega 3 na   Omega   6   Fatty   Acids   ambazo   ni   muhimu   sana   katika   kusaidia   Ubongo   kutengeneza   seli   zake . Virutubisho   hivi   vinatajwa   kuwa   muhimu   sana   kwa   watoto   na   Chia   unatajwa   kama   mmea   pekee wenye virutubisho   hiv

Wanaume wenye wanawake wanene huishi maisha marefu, yenye furaha

Watalaam wa masuala ya utafiti wamekuwa wakijita kufanya tafiti mbalimbali Duniani kote leo  May 18, 2018  nakusogezea utafaiti unaosema Wanaume ambao wana wachumba wanene huishi maisha marefu na  yenye furaha ikilinganishwa na wale wembamba. Hii ni kulingana na utafiti uliofanywa na  Dr. Filemon Alvarado  na  Dr. Edwagardo Morales  katika chuo kikuu kimoja nchini Mexico.  Aidha utafiti huo umeonesha kuwa wanawake wanene huwa wana ujasiri na mara nyingi hawakasiriki upesi. Musyoka John  ambaye ana mke  ‘mwembamba’  ameeleza kuwa mara nyingi mkewe humhangaisha na hawana uhusiano mzuri katika ndoa yao. Ameeleza kuwa mkewe anapoamua kufanya jambo ama kukataa, kamwe hawezi kugeuza msimamo wake.                CREDIT  :  MILLARD  AYO  BLOG

DUNIANI HAKUNA MWEMBAMBA

Je  umekonda  na  kudhoofu  mw ili  wako  kwa  sababu  ya  ku ugua  maradhi  mbalimbali  au   kwa  sababu  ya  msongo  wa m awazo  ? Unataka  kurejesha   mwili  na   afya  yako  katika  hali  ya ke  ya  awali ?  Kama  jibu  lako  ni  NDIO   basi  HII  NI HABARI  NJEMA   SANA  KWAKO.  Tunayo  DAWA  LISHE  YA  ASILI   ambayo  inasaidia  kurejesha    afya  na  mwili  wa  mtu  a lie  dhoofu    kwa sababu  ya kuugua  magonjwa  n a  maradhi  mbalimbali  au  kw a  sababu  ya  msongo  wa  maw azo. Dawa  hii  ya  asili  itarejes ha  afya  na  mwili  wako  nda ni  ya  muda  wa  siku  thelat hini. Na  kama  wewe  ni   MWEMBAMBA    na  unataka   KUONGEZA  MWI LI  na  KUNENEPA  basi  DAWA   LISHE  hii ndio  JAWABU  LAKO.  Dawa  hii   itafanya  mwili  wako  uonge zeke  na  kunenepa  ndani  ya   siku  thelathini. Ni  dawa  ya  asili  kabisa (  pure  herbal  ) isiyo  na  kemikali  yoyote  y a  viwandani  na  inapatikana   kwa  gharama  utakayo weza  kuimudu. Kupata  dawa  hii  fik