Skip to main content

Posts

Showing posts from February, 2022

JE KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TATIZO LA UPARA KICHWANI NA TABIA YA KUJICHUA KWA WAVULANA ?

    Katika   miaka   ya   hivi   karibuni   idadi   ya   vijana   wadogo   wenye   vipara   imekuwa   kubwa   kuliko   ilivyo   kuwa   hapo   zamani.   Miaka   ya   90   kurudi   nyuma   ilikuwa   ukimuoa   mtu   ana   upara   kichwani   basi   pasi   na   shaka   yoyote   mtu   huyo   alikuwa   ni   mtu   mzima   at least   kuanzia   miaka   hamsini   na   kuendelea.     Kama   angekuwa   kijana   sana   basi   at   least   angekuwa   kwenye   miaka   arobaini   mwishoni   yani   anaitafuta   miaka   hamsini.   Ilikuwa   ni   nadra   sana   kumuona   kijana   ana   upara. Miaka   hiyo   ya   zamani   dhana   ya   mtu   kuwa   na   upara   ilihusishwa   na   uzee ndio   maana   kipindi   hicho   ulisikia   watu   wakiitwa   Mzee   Kipara   nakadhalika. Ilikuwa   ni   nadra   sana   kumkuta   kijana   mdogo   akiwa   na   upara.   Lakini   hali   imekuwa   tofauti   sana   katika   miaka   ya   hivi   karibuni.   Siku   hizi   kumekuwa   na   vijana   wadogo   sana   amb