Skip to main content

JE KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TATIZO LA UPARA KICHWANI NA TABIA YA KUJICHUA KWA WAVULANA ?

 



 

Katika  miaka  ya  hivi  karibuni  idadi  ya  vijana  wadogo  wenye  vipara  imekuwa  kubwa  kuliko  ilivyo  kuwa  hapo  zamani. 

Miaka  ya  90  kurudi  nyuma  ilikuwa  ukimuoa  mtu  ana  upara  kichwani  basi  pasi  na  shaka  yoyote  mtu  huyo  alikuwa  ni  mtu  mzima  at least  kuanzia  miaka  hamsini  na  kuendelea. 

 

Kama  angekuwa  kijana  sana  basi  at  least  angekuwa  kwenye  miaka  arobaini  mwishoni  yani  anaitafuta  miaka  hamsini.  Ilikuwa  ni  nadra  sana  kumuona  kijana  ana  upara.

Miaka  hiyo  ya  zamani  dhana  ya  mtu  kuwa  na  upara  ilihusishwa  na  uzee ndio  maana  kipindi  hicho  ulisikia  watu  wakiitwa  Mzee  Kipara  nakadhalika. Ilikuwa  ni  nadra  sana  kumkuta  kijana  mdogo  akiwa  na  upara.

 

Lakini  hali  imekuwa  tofauti  sana  katika  miaka  ya  hivi  karibuni.  Siku  hizi  kumekuwa  na  vijana  wadogo  sana  ambao  wana  vipara.  Siku  hizi  limekuwa  jambo  la  kawaida  kumkuta  kijana  mwenye  umri  wa  miaka  22  au  26  akiwa  na  upara  tofauti  na  ilivyo  kuwa  zamani.

Hata  vijana  wenyewe  wahanga  wa  tatizo  la  upara  wanajua  kwamba  upara  anapaswa  kuwa  nao  mtu  mzima.  Ndio  maana  upara  huwafanya  vijana  hao  kutokuwa  comforatable  kwa  sababu  una wafanya  waonekane  kama  wazee  na  kwa  kijana  mwenye  umri  wa  miaka  26  jambo  ambalo  hatotaka  kulisikia  ni  kuona  watu  wakimdhania  kuwa  yeye  ni  mzee,

“ Mkuu nashindwa  hata  kuvaa  suti  kwa  sababu  huwezi  kuvaa  suti na  kofia na  mimi  sitaki  kuonekana  kwa  watu  kama  nina  kipara”  alisema  kijana  mmoja  mkaazi  wa  jijini  Dar  Es  Salaam  mwenye  umri wa  miaka 24  ambaye  ana  changamoto  ya  kuwa  na  upara.

 

JE  KUNA  UHUSIANO  WOWOTE  KATI  YA  UPARA  NA  TABIA  YA  KUJICHUA  ?

Hakuna  utafiti  wowote  wa  kisayansi  unao  thibitisha  kuwepo  kwa  uhusiano  kati  ya  punyeto  na  upara.

Isipokuwa  baadhi  ya  wataalamu  wana toa  hoja  kwamba  manii  za  kiume  zina  kiwango  kikubwa  sana  cha  protini.  Protini hiyo  ni  muhimu  sana katika  ukuaji  wa  nywele. Mtu  anae  piga  punyeto  hufanya  hivyo  mara  nyingi  sana  na  kila  wakati  na  hivyo  kupoteza  kiwango  kikubwa   sana cha  protini  ambacho  kingeweza  kutumika  katika  kurutubisha  mfumo  mzima  wa  ukuaji  wa  nywele.

Vile  vile   upigaji  punyeto  huathiri  uzalishwaji  wa  homoni  zijulikanazo  kitaalamu  kama  HGH  ambazo  huzalishwa  kwenye  ini  na  ambazo  uhusika  na  ukuaji  wa  maumbile  na  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa  mwanadamu  kama  vile  maumbile  ya  kiume  nadhalika. Ndio  maana  wanaume  walio  piga  masturbation  kwa  muda mrefu  maumbile  yao  ya  kiume  husinyaa na  hushindwa  kukua  kama  inavyo  takiwa.

Kama  nilivyo sema  hapo  juu  mpaka sasa  hakuna  utafiti  wowote  wa  kisayansi  unao  thibitisha  kuwepo  kwa  link  kati  ya  masturbation  na  upara.

Lakini  hata  hivyo  lazima  tujiulize  swali, JE  INAWEZEKANA   WAZUNGU  WANAJUA  KWAMBA  KUNA  UHUSIANO  KATI  YA  MASTURBATION NA  UPARA  LAKINI  WAMEAMUA  KUFICHA  UKWELI  HUO  KWA  SABABU  MAALUMU ?

Jibu  linaweza  kuwa  NDIO  au  HAPANA.  Hapana  kwa  sababu  hatuna  uhakika    kama wazungu  wanaujua  ukweli  huu  lakini  wameuficha  na  NDIO  kwa  sababu  inawezekana  kweli  wazungu  wakawa  wanaujua  ukweli  lakini wame  uficha  kwa  sababu  maalumu.

JE  KAMA  JIBU  NI  UKWELI, NINI  INAWEZA  KUWA  SABABU  YA WAZUNGU  KUUFICHA  UKWELI  HUU ?

Kuna  taarifa  zisizo  rasmi  kwamba  lipo  kundi  la  wazungu   ambao wana  agenda  ya  kupunguza  idadi  ya  watu  duniani  ama  kudhibiti  ongezeko  la  idadi  ya  watu  duniani.  Inawezekana  masturbation  ikawa  ni  moja  kati  ya  nyenzo  ambazo  zinawasaidia  kutimiza  lengo  lao. Endapo  watasema  masturbation  inasababisha  upara, kutakuwa  na  kundi  kubwa  la  vijana  wa  kiume  ambao  watafanya  kadri  iwezekanavyo  waachane  kabisa  na  masturbation  ili  kuondokana  na  uwezekano  wa  kupatwa  na  kipara  na  kwa  wale  ambao hawajaanza  kabisa kufanya  masturbation  basi  kutokujaribu  kabisa  jambo  ambalo  litakuwa  tishio kwa  agenda  hiyo  ya  kupunguza na  kudhibiti  idadi ya  watu  duniani.  Imagine  kama  mamilioni  ya  wanaume  duniani  ambao  wanafanya  masturbation  kama  wangefanya  tendo  hilo  na  wanawake  ni  watoto wangapi  wangezaliwa?  Ina  fikirisha.

Jambo  lingine  linalo  fikirisha  katika  hili  ni  kwamba  pamoja  na  kwamba  masturbation  ina  madhara  makubwa  sana  kwa  mwanaume  anae  jihusisha  nayo  lakini  wataalamu  wazungu  wamekuwa  waki  I promote  masturbation  kwa  kusema  kwamba  haina  madhara  yoyote  yale

 

JE  WEWE  KIJANA  WA  KIUME  AMBAE  UMEJIHUSISHA  NA  MASTURBATION  KWA  MIAKA  NENDA  MIAKA  RUDI, UNAKUBALIANA  NA  HOJA  HIYO  YA  WAZUNGU  KWAMBA  MASTURBATION  HAINA  MADHARA?  MAJIBU  UNAYO  WEWE  MWENYEWE.

 

Inawezekana kukawa  na  uhusiano  kati  ya  masturbation  na  upara  kwa  sababu  idadi  kubwa  ya  vijana  wenye  upara  wana sema  wamewahi  kujihusisha  na  masturbation  kwa  muda  mrefu.

LAKINI  SWALI  JINGINE  LA  KUJIULIZA  NI  JE?  KAMA  MASTURBATION NDIO  SABABU  YA  KUWA  NA  UPARA  MBONA  VIJANA  WANAO  FANYA  MASTURBATION  NI  WENGI  NA  SIO  WOTE  WANA  VIPARA ? MBONA  KUNA  VIJANA  WENGI  TU  WAMEFANYA  MASTURBATION  MUDA  MREFU  LAKINI  HAWANA  VIPARA ?

Kwa  mtazamo  wangu  nafikiri  sababu  inaweza  kuwa   ni  VINASABA.   Tatizo  la  upara  kwa  kiasi  kikubwa  linasababishwa  na  vinasaba.  Umerithi  vinasaba  kutoka  kwa  baba  ako au  babu  yako au  babu  wa  babu  yako  au  pengine  hata  kutoka  kwa  babu  yako  wa  kumi  ambae  hata  babu  yako  mzazi  hakuwahi  kumuona.

Imekuwa  rahisi  kwako  wewe  kijana  unae  jihusisha  na  punyeto  ambae  una  vinasaba  vya  upara  kupatwa  na  upara  kwa sababu  una  vinasaba  vya  upara  ndani  yako  na  kama  tulivyo  ona  hapo  juu  punyeto  inaweza  kuwa  na  madhara  katika  suala  zima  la  uoati  wa  nywele.

Kijana  mwenzako  anae  jihusisha  na  punyeto  kama  wewe  lakini  hana  vinasaba  vya  upara  imekuwa  ngumu  kwake  kupatwa  na  upara  kwa  sababu hana  vinasaba  vya  upara.

YANI  NI  SAWA  NA  KUSEMA  KWANINI  WATU  WASIO  NA  SHIDA  YA  SUKARI  YA KUPANDA   WANATUMIA  VYAKULA  VYA  WANGA  NA  HAWAPATI  MADHARA  YOYOTE  LAKINI  WEWE  MWENYE  KUSUMBULIWA  NA  TATIZO  LA  SUKARI  YA KUPANDA UKITUMIA  VYAKULA  VYA  WANGA  UNAPATA  MADHARA?  Jibu  ni  kwa  sababu  wewe  tayari  una  tatizo  la  sukari  ya  kupanda , mtu  mwenye  sukari  ya  kupanda  hatakiwi  kutumiwa  kiwango  kikubwa  cha  vyakula  vya  wanga  kwa  sababu  utakuwa  na  madhara  kwake  lakini  mtu  asie  na tatizo  la  sukari  ya  kupanda  anaweza  kutumia  vyakula  hivyo  na  asipate  madhara  unayo weza  kuyapata wewe  mwenye  tatizo.

 

LAKINI  HATA  HIVYO  KUWA  NA  VINASABA  VYA  UPARA  SIO  TIKETI  YA  KUKUFANYA  UPATWE  NA  UPARA  UKIWA  KATIKA  UMRI  WA  MIAKA  20.

Hata  kama  upara  wako  ni  wa  kurithi  ilipaswa  angalau  nywele  zako  zianze  kunyonyoka  pindi  utakapo  fikisha  umri  wa  miaka  55 -60  na  kuendelea. Ndivyo  tulivyo  ona  zamani. Mtu  ndio  amerithi  upara  kwa  baba  ake  lakini  ujana  wake  wote  anauishi  akiwa  na  nywele  zake.  Ila  anapo ingia  umri  wa  utu  uzima  sasa  ndio  kipara  kinaanza  kuonekana.

 

Inawezekana  kabisa  punyeto  ikawa  ndio  imechochea  ama  kuharakisha  wewe  upate  upara  mapema  kabla  ya  wakati  wake.  Pengine  kama  usinge  jihusisha  na  punyeto  ungekuja  kupata  upara  ukiwa  na  umri  wa  miaka  58  na kuendelea,

Tunayo  mifano  mingi  ya  watu  wenye  shida  ya  upara  wa  utotoni  ambao  tumepata  kuwahudumia.  Unakuta  kijana  ana  umri  wa  miaka  26. Baba  yake  mzazi  ambaye  anaitafuta  miaka  80  ana  upara.   Kaka zake  wakubwa  watatu, mmoja  ana  miaka  43  mwingine  45 na  mwingine  48    hawana  hata  dalili  za  kuwa  na  upara, lakini  yeye  kijana  wa  miaka  26  ana  upara  mkubwa  umeanza  kukomaa kabisa.  Unaweza kusema  kwamba  sababu  inaweza  kuwa  kijana  huyo  kujihusisha  na  punyeto  kwa  muda  mrefu.

 

JE  IPO  TIBA  YA  UPARA  ?

Ndio  zipo  dawa  mbalimbali  za  mimea  ambazo  hutibu  na  kudhibiti  tatizo  la  upara .  Upo  mmea  mmoja  unamea  mwituni.  Mmea  huo  una  faida  nyingi  sana  katika  afya  ya  binadamu.  Mizizi  ya  mmea  huo  ikisagwa , unga  wake  hutibu  na  kudhibiti   kwa  kiasi  kikubwa  sana    tatizo  la  mafuta  kwenye  moyo  na  tatizo  la  moyo  kuwa  mkubwa. Huondoa  kabisa  mafuta  kwenye  moyo  na  kutibu  kabisa  tatizo  la  moyo  kuwa  mkubwa.,  Majani  ya  mmea  huo yakikaushwa  na  kusagwa  hutibu  na  kudhibiti  kabisa  tatizo  la  upara na  uwalaza.

 

MAKALA  HAYA  YAMEANDALIWA  NA  DUKA  LA  KUUZA  DAWA  ZA  ASILI  NA  MIMEA  LA  NEEMA  HERBALIST.  TUNAPATIKANA  UBUNGO  JIJINI  DAR  ES  SALAAM  NYUMA  YA  JENGO  LA  UBUNGO  PLAZA . KARIBU  NA  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING .

WASILIANA  NASI  KUPITIA  SIMU  NAMBA  0766  53  83  84.

Comments

  1. Nitaipataje dawa kamili ya kukuza uume na ni kwa beigani niko dsm kigamboni.?

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA