Skip to main content

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi


Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .

 Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekondari  za  bweni  za  wavulana  tu ), kujiepusha  na  hatari  ya  kupata  maambukizi  ya  v.v.u  nakadhalika

                                    ATHARI  ZA  PUNYETO    KWA  WAVULANA.

Punyeto  ina  athari  nyingi  na  kubwa  sana  kwa  wanaume  wanao  jihusisha  nayo, lakini  kwa  leo, tutaangalia  athari  moja  kubwa  kati  ya  nyingi. Athari  hii  si  nyingine  bali  na 
 KUUA  NGUVU  ZA  KIUME.  Mwanaume  anayepiga  punyeto  hutumia  nguvu  nyingi  kuibana  mishipa  inayo  fanya  uume  usimame. Mwisho  wa  siku  uume  hulegea  na  kusinyaa, na  kukosa  nguvu  kabisa  na  hatimaye  mhusika  kuwa  khanithi. Uchunguzi  unaoonyesha, kuna  idadi  kubwa  sana  ya  wanaume  wanao  sumbuliwa  na  tatizo  la  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  kama  matokeo  ya  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu. Athari  za  mwanaume  kutokuwa  na  nguvu  za  kiume, nadhani  zinajulikana, ila  kwa  faida  ya  wote  tutazizungumzia  kwa  kina  siku  za  mbele, lakini  kwa  ufupi  ni  aibu  kubwa  sana   kwa  mwanaume  kukubali  kuua  ufanisi  wa  uume  wake  kwa  sababu  ya  kupiga  punyeto.

MUNGU  HAPENDI  PUNYETO  :  (
 MIONGONI  MWA  WANANZUONI  WA  MASOMO  YA  BIBLIA  DHAMBI  YA  KUPIGA  PUNYETO  HUJULIKANA  KAMA  ONANISM  )

Kwa  mujibu  wa  maandiko  matakatifu, upigaji  punyeto  ni  moja  kati  ya  matendo  yanayo  muudhi  Mwenyezi  Mungu, kwa  sababu  yanapigana  na  utaratibu  aliouweka . Kwenye   kitabu  cha  MWANZO  38:9, Onan  mwana  wa  Yuda  aliagizwa  na  baba  yake  ( Yuda )  kwenda  kumjua  mke  wa  kaka  yake  ( Onan )  ili  aweze  kumzalia  watoto.   (  Kwa  mujibu  wa  mila  na  desturi  za  kiyahudi  wakati  huo, kaka  anapofariki  bila  kucaha  mtoto, ndugu  wa  kiume  wa  marehemu  hutakiwa  kwenda  kumuoa   mjane  aliye  achwa  na  kaka  yake, na  watoto  watakao  zaliwa  watabeba  jina  la  marehemu  kaka  yake..., aina  hii    ya  ndoa  hujulikana  kama   LEVIRATE  MARRIAGE  )Biblia  inasema, Onan  hakutaka  kumpa  mimba  mjane  wa  kaka  yake  ilihali  akijua  watoto  watakao  zaliwa  hawatakuwa  warithi  wake, hivyo  basi  kila  mara  alipokutana  kimwili  na  mjane  wa  kaka  yake, alimwaga  mbegu  zake  pembeni. Biblia  inasema  katika   kitabu  kile  cha  Mwanzo  38: 10  " 
 



" Alicho  kifanya  kilikuwa  ni    chukizo  kubwa  mbele  za  Mwenyezi  Mungu  hivyo  Mwenyezi  Mungu  akampa  adhabu  ya  kifo! " 


Umeona!  Kumbe  basi  adhabu  ya  kiroho  ya  tendo  la  masturbation  ni  “umauti!”. Umauti  huo  unaweza  usiwe  kama  ulio  mpata  Onan, ila  unaweza  kuja  katika  sura  tofauti. Mfano  kufa  kwa  nguvu  za  kiume, ni   adhabu  tosha  sana    kwa  mwanaume    yoyote  yule  duniani  na  inaweza  kuwa  kali  kuliko  hata  ile  aliyopewa  Onan.



DAWA    YA  ASILI  NA  YA  UHAKIKA  YA   KUKUFANYA  UACHE  KUFANYA  PUNYETO.



Uzoefu  unaonyesha, mtu  anayepiga  punyeto, hata  kama  ameathiriwa  na  tatizo  la  punyeto  kwa  kiwango  gani, endapo  atafanikiwa  kutopiga  punyeto  kwa  muda  wa  siku  arobaini  mfululizo, mtu  huyo  hatopiga  tena  punyeto  katika  siku  zote  za  maisha  yake  kwani  tayari  mtu  huyo  atakuwa  amerudia  katika  hali  yake  ya  kuto  kuwa  addicted  tena  na  upigaji  punyeto, na  atalichukia  kabisa  hata  jina  la  tendo  hilo  achilia  mbali  tendo  lenyewe.



UFANYE  NINI  ILI  USIPIGE  PUNYETO  KWA  MUDA  WA  SIKU  AROBAINI MFULULIZO!

Sio  rahisi  kwa  mtu  aliyekuwa  addicted  na  punyeto  kustahimili  kujizuia  kupiga  punyeto   kwa  muda  wa  siku  arobaini  mfululizo. Anaweza  kujizuia  kupiga  punyeto  kwa  siku  mbili  lakini  baada  ya  hapo  ataendelea  tena  na  mchezo  wako.



ATUMIE  DAWA  IPI?



PILIPILI

Pilipili  inayo  hitajika  hapa  ni  yoyote  ile  ili  mradi  iwe  kali  sana,  (  Ila  inayo  pendekezwa  ni  pilipili  mbuzi  ama  pilipili  kichaa, pilipili  hoho  haihusiki  hapa  ).



MATUMIZI



Kwanza  kabla  ya  kujua  matumizi  ni  vyema  ukatambua  muda  ambao  huwa  unapiga  punyeto  (  Mara  nyingi  huwa  ni  asubuhi  baada  ya  kuamka,wakati  wa  kuoga  ama  usiku  kabla  ya  kulala  ).

Chukua  pilipili  zako, zipasulie  kwenye   viganja  vya  vidole  vyako  na  kujipakaza  katika  viganja  vya  vidole  vyako.  Unaweza   kutumia  pili  moja  kwa  kila  kiganja, na  kwa  kila  muda  ambao  huwa  unapiga  punyeto  lakini   unaruhusiwa  kujipakaza  zaidi  ya  pilipili  moja.

Ukishajipaka  pilipili  kwenye  viganja  vya  vidole  vyako, moja  kwa  moja  unakuwa  umekwisha  jilazimisha  kutokufanya  punyeto, kwa  sababu  ukipiga  punyeto  kwa  viganja  ambavyo  vina  pilipili  utawashwa  sana  wala  hautaweza  kufurahia  tendo  hilo.



JAMBO  LA  KUZINGATIA  : Hakikisha  unakuwa  na  walau  pilipili mbili  mpaka  nne  kila  unapokuwa   katika  maeneo  ambayo  yanaweza  kukuchochea  kufanya  punyeto.



UFANISI  WA DAWA  HII : Dawa  hii  inawafaa  wale  tu  ambao  wamedhamiria  kutoka  mioyoni  mwao  kuacha   kufanya  punyeto. Kwa  wale  ambao  hawajadhamiria  haitaweza  kuwasaidia. 


MWISHO,TUNAWATAKIA  KILA  LA  HERI  WATU  WOTE  WATAKAO  AMUA  KUJARIBU  KUTUMIA  NJIA  HII  KUACHANA  NA   SUALA  LA  UPIGAJI  PUNYETO. TUTAFURAHI  SANA ENDAPO  MTATUPA    FEEDBACK  BAADA  YA  HIZO  SIKU  AROBAINI  TANGU  MUANZE  KUFANYA  ZOEZI  HILI. MUNGU AWAPE  NGUVU  NA  AWABARIKI. 


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Upigaji  punyeto  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Idadi  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, tatizo  lao  limesababishwa  na  suala  la  upigaji  wa  punyeto.
Ukitaka  kufahamu  jinsi  suala  la  upigaji  wa  punyeto  linavyo  sababisha  tatizo la  ukosefu  na  upungufu  wa nguvu , tembelea  link hii  hapa  chini:


TIBA  ASILIA  YA  NGUVU  ZA  KIUME  KWA  MWANAUME  ALIYE ATHIRIKA  NA  PUNYETO


Dawa  asilia  iitwayo  JIKO, ni  dawa  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la UKOSEFU na  UPUNGUFU  wa  NGUVU ZA KIUME .

Dawa  hii  ni  ya asili  kabisa  na  IMETHIBITISHWA   na  MKEMIA  MKUU  WA  SERIKALI.

Dawa  hii  inatokana  na  mimea  iliyo  kwenye  orodha  ya  mimea  inayo  tambuliwa  na  Shirika  la  Afya  Duniani  ( W.H.O)

Dawa  hii  hutumika  pamoja  na  lishe  maalumu  inayo  tokana  na  mimea iliyo fanyiwa  tafiti  na kuthibitishwa  kisayansi.

JINSI  DAWA ASILIA  YA   JIKO  INAVYO  TIBU  NA KUPONYESHA  KABISA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

Dawa  asilia  ya  JIKO, hutumika pamoja  na  lishe maalumu  kwa  ajili  ya kutibu  tatizo  la  ukosefu na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
Jiko  pamoja  na  lishe  yake  maalumu, hufanya  mambo  yafuatayo :


1. Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.
2.  Inasaidia  kusafisha  mishipa  na  misuli   ya  kwenye uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza kasi  ya  msukumo  wa  damu kwenye mishipa  ya    uume.

3. Husaidia  kuongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo(pressure)  wa damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu thabiti.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba na kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu kwenye  
mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo la  ndoa  na matokeo  yake  kukupa  uwezo wa  kufanya  tendo  
la  ndoa  kwa  muda  mrefu
               ( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati wa tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na msongo  wa  mawazo

7.  Hurejesha,kuimarisha  na  kuboresha ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi bila  kuchoka.

9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10.            Husaidia kuurudisha  nje  uume ulioingia ndani.
. 11.Husaidia  kutibu  sideeffects  za  punyeto na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali   (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za kiume.

12.                Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.


13.  Husaidia  kuimarisha  mzunguko  wa  damu mwilini

14.  Husaidia  kutibu  maradhi  ya  moyo

15.      Husaidia  kuondoa  sumu  mwilini

16. Tiba  hii  ina   faida  kubwa
sana  kwa wagonjwa  wa  kisukari,kwani
husaidia  katika kusawazisha  kiwango  cha  
sukari  katika  damu.
17. Tiba  hii husaidia  kutia  nguvu  kwenye mishipa mwilini.
       18.   Husaidia  kuondoa  uchafu tumboni
19.          Husaidia kutibu  matatizo  katika  figo.
20.         Husaidia  kuimarishana na   kuongeza  homoni  za kiume.
21.   Husaidia  kudhibiti  kiwango  cha sukari  katika  damu
22.             Husaidia  kuzuia  kusanyiko la chembe  sahani,zinazo  sababisha  kuganda  kwa  damu.
23.      Husaidia  kupunguza  kolestrol  na mafuta  yasiyo faa  mwilini
24.        Husaidia  kushusha  vizuri  kiwango cha  shinikizo  la  damu
25. Tiba hii  husaidia kutanuka  kwa mishipa  ya  damu.
26.  Husaidia  kuondoa  sumu  mwilini
27.Husaidia  kuweka  mlinganyo  sawa  wa  Homoni
28.  Tiba  hii         Husaidia  kutibu shinikizo  la  damu
29.Tiba  hii  husaidia  kuimarisha  msukumo  wa  damu mwilini
30.     Husaidia  kutibu  matatizo  ya  moyo
31.           Husaidia  kutibu  matatizo ya  ubongo
32.    Husaidia  kuboresha  utendaji  kazi  wa ini
33.      Husaidia  kuondoa sumu mwilini
34.  Husaidia  kutibu  tatizo  la  presha
35. Husaidia       kuongeza  stamina  mwilini
36.   Husawazisha  kiasi  cha acid aina  ya  Uric katika  damu
37. Husaidia   kuimarisha  mishipa  ya  damu
38. Husaidia kupunguza  kiasi  cha  mafuta  kwenye ini
39.Husaidia      kuzuia  magonjwa  ya  moyo  na  kiharusi
40. Husaidia   kumarisha  mishipa  ya  ubongo
BEI  YA  DAWA:  Dozi  ya  dawa  ya  JIKO inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)


MAHALI  TUNAPOPATIKANA :
Dozi  ya  dawa ya JIKO, inatolewa  na  duka  la dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST   NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  laUBUNGO   jirani  na   SHULE  YA MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

        WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA 

                           0766  53  83  84.

Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, endelea  kutembelea:

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA