Skip to main content

MGUNGA CHUMA: MTI UNAO TUMIKA KATIKA TIBA YA MAGONJWA MENGI.

Tanzania  imebarikiwa  kuwa  na  miti mbalimbali, inayo  tumika katika  tiba  ya  magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya.

Image result for Acacia nilotica Lam images
Mgunga  Chuma, ni  miongoni  mwa  miti  mingi  yenye  faida  kubwa  za  kitabibu, ambayo  inapatikana  nchini  Tanzania.
Mizizi, majani, mbegu, matunda, utomvu  hadi  magamba  ya  mti  huu, hutumika  katika  tiba  ya  magonjwa  mbambaimbali  yanayo  msumbua  mwanadamu.
Yafuatayo  ni  baadhi  ya  magonjwa  ambayo  huweza  kutibiwa  kwa  kutumia  mti  wa  Mgunga  Chuma.

Utomvu  wa Mgunga  Chuma una  tumika  katika  tiba  mbalimbali, kama  vile kulainisha  ngozi  pamoja  na  kuondoa  uwasho kwenye  ngozi


1.     Mgunga  chuma   hutumika  katika  tiba  dhidi  ya  saratani  za  aina  mbalimbali.
2.     Hutumika  katika  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  kuvimba  kwa masikio, macho na  korodani.
3.     Mgunga  Chuma  hutumika  katika  tiba  dhidi ya  kifua  kikuu
4.     Hutumika  katika  tiba  ya  kuimarisha  mfumo  wa  utendaji  wa  ini  pamoja  na  magonjwa  yote  ya  ini.
5.     Majani  ya  MGUNGA  CHUMA  hutumika  katika   kutibu  na  kuponyesha kabisa   magonjwa   na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya kama  vile;  kuharisha, vidonda vya tumbo, kupoteza  kumbukumbu , kifafa cha  kawaida, kifafa  cha  mimba, pumu, kiharusi, kansa, bakteria  nakadhalika.
Magonjwa  mengine  yanayo  tibiwa  na  Mgunga  Chuma, ni  pamoja  na  :
6.     Kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  Pumu
7.     Hutumika  kusafisha  ini na  kutibu  magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  katika  ini.
8.     Hutumika  katika  tiba  dhidi  ya  magonjwa  mbalimbali  ya  ngozi
9.     Hutumika  kulainisha  ngozi  na  kuifanya  kuwa  nyororo
10.                        Husaidia  kutibu  homa  na  malaria  sugu
11.                        Hutumika  kusafisha  damu  na  kusawazisha  kiwango  cha  sukari  mwilini.
12.                        Husaidia  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  mzio  pamoja  na  pumu sugu.
13.                        Husaidia  kuzuia  bateria  kwenye  ngozi
14.                        Hutibu  tatizo  la  fangasi  wa  miguuni
15.                        Husaidia  kuondoa  sumu  mwlini
16.                        Husaidia  kupoza na  kuondoa  muwasho  wa  kwenye  ngozi  hata  kama  ngozi  yako  imepakwa  na  upupu.
17.                        Husaidia  kutibu  kidonda  kibichi  na  kuzuia  damu  kuendelea  kumwagika
18.                        Kuongeza  kinga  ya  mwili
19.                        Kutibu  tatizo  la  presha  na  kisukari
20.                        Kutibu  tatizo  la  lehemu  mbaya  mwilini
21.                        Kutibu  magonjwa  mbalimbali  ya  figo
22.                        Kutibu  vidonda  vya  tumbo
23.                        Kutibu  tatizo  la  uvimbe  wa  tumboni
24.                        Husaidia  kurutubisha  mayai  ya  uzazi
25.                        Husaidia  kusafisha  mirija  na  mfuko  wa  uzazi
26.                        Husaidia  kuzuia  tatizo  la  kuchoropoka  kwa  mimba.
PAMOJA  NA  MAGONJWA  MENGINEYO  MENGI.
======================================================================
Makala  haya  yameletwa  kwako  na  NEEMA  HERBALIST, DUKA  LA   DAWA  MBALIMBALI  ZA  ASILI.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONA  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
Kwa  mahitaji  yao  ya  dawa  mbalimbali  za  asili, wasiliana  nasi  kwa  SIMU  NAMBA
0766  53  83  84
Na  kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee  kila  siku  katika  blogu  yetu :
Upate  kujua  mambo  mbalimbali  kama  vile :

1.    JINSI  SUALA  LA  UPIGAJI PUNYETO  LINAVYO SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
2.    JINSI SUALA  LA  KITAMBI, UNENE  NA  UZIO ULIO  ZIDI, LINAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA KIUME
3.    UHUSIANO  ULIOPO  KATI  YA  TATIZO  LA NGUVU  ZA  KIUME  NA  MAGONJWA MBALIMBALI  KAMA  VILE : Kisukari, Presha, Shinikizo  La  Damu, Kolestrol Mbaya  Mwilini , Magonjwa  Ya  Moyo, Magonjwa  Ya  Figo,  Ngiri,  Msongo  wa  Mawazo, Maumivu  Ya  Mgongo, Magonjwa  Katika  Mishipa  Ya  Kusafirishia  Damu Mwilini  na  Hitilafu  Katika  Mfumo  wa  Usafirishaji  na Utiririshaji  wa  Damu  mwilini.
4.    JINSI  UNAVYO  WEZA  KUONDOA  KITAMBI  NA KULIFANYA  TUMBO  LAKO  KUWA  FLAT KABISA  NDANI  YA  SIKU  14
5.    JINSI  UNAVYO WEZA  KUPUNGUZA  UNENE NA UZITO MKUBWA  NDANI  YA  SIKU  THELATHINI.
6.    KWA  MTU  ULIE  KONDA  NA  KUDHOOFIKA; JINSI  UNAVYO WEZA   KUNENEPA  NA KUREJESHA  AFYA  YAKO  NDANI  YA  SIKU THELATHINI.
7.    JINSI UNAVYO  WEZA  KUPONA  KABISA  TATIZO LA  BAWAZIRI NDANI  YA SIKU  THELATHINI.
8.    JINSI UNAVYO  WEZA  KUTIBU  TATIZO  LA UVIMBE  WA  TUMBONI  PAMOJA  NA  UVIMBE WA  KWENYE  KIZAZI  NDANI  YA SIKU THELATHINI.


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA