Skip to main content

JIKO: DAWA BORA YA ASILI INAYO TIBU NA KUPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU ZA ZA KIUME.

JIKO: DAWA  BORA  YA  ASILI  INAYO  TIBU  NA  KUPONYESHA  KABISA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  ZA  ZA  KIUME.





Unasumbuliwa  na  tatizo  la   UKOSEFU  na/ama  UPUNGUFU  wa  NGUVU  ZA  KIUME?.

Unahitaji tiba  ya  uhakika  itakayo  kutibu na  kukuponyesha  tatizo  lako ? Kama jibu  lako  ni NDIO  basi  hii  ni HABARI NJEMA  SANA.
Neema Herbalist & Nutritional  Foods  Clinic  ni  duka  la  linalo  uza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunapenda  kukutaarifu  kuwa  tunayo  dawa  asilia  iitwayo  JIKO.
Dawa  hii  INATIBU  na   KUPONYESHA  kabisa  tatizo  la  UKOSEFU na/ama UPUNGUFU  wa  NGUVU ZA  KIUME  ndani  ya  SIKU  THELATHINI.
Inatokana  na   mimea  iliyo  katika  orodha  ya  mimea  inayo  tambuliwa  na  SHIRIKA  LA  AFYA  DUNIANI (W.H.O) na  IMETHIBITISHWA  na  MKEMIA  MKUU  WA  SERIKALI.
Inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU (Tshs.80,000/=).
Tunapatikana  UBUNGO  Dar  Es  Salaam, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
Kwa wateja  waliopo  jijini  DAR  ES  SALAAM, ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu, tunayo  huduma  ya  kuwafikishia  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )
Kwa wateja  waliopo  mikoani, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  magari  mbalimbali.
Kwa  wateja  waliopo  Zanzibar, tunawatumia  dawa  kwa  njia usafiri  wa  boti.
Kwa  wateja  waliopo  Nairobi, tunawatumia  dawa kwa  njia  ya  basi  la  DAR  EXPRESS.
Kwa  wateja  waliopo  Mombasa, tunawatumia  dawa  kwa  njia ya  basi  la  TAHMEED.
Na  kwa  wateja  waliopo  DIASPORA  tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya POSTA  au  DHL.
Kwa mahitaji  ya  dawa  ya  JIKO ,wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  0766 53 83 84.
Kwa taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee  kila  siku  kupitia  blogu  yetu .
Na   kufahamu kuhusu  chanzo cha  tatizo  la  nguvu  za  kiume, dalili, viashiria  na  athari  zake  pamoja  na  jinsi  dawa  asilia  ya  JIKO inavyo  TIBU  na  KUPONYESHA tatizo  la  UKOSEFU  na/ama  UPUNGUFU wa NGUVU  ZA  KIUME, tembelea :

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA