Skip to main content

Hope Lucy Ruhinda; NAPENDA KUWA NA MWANAUME ASIE NIPANGIA AINA YA MAVAZI YA KUVAA

Hope  Lucy  Ruhinda;   NAPENDA   KUWA  NA   MWANAUME  ASIE NIPANGIA  AINA  YA  MAVAZI  YA  KUVAA


 Image result for kigali models images




Hope  Lucy  Ruhinda  ( 25 ) ni  mwanamitindo  anae  fanya  vizuri sana  katika  tasnia ya  urembo  nchini  Afrika.   Mwanamitindo  huyu ambaye  ni  mtanzania  kwa  mama, na  mnyarwanda  kwa  baba, kupitia  kazi  zake  za  mitindo , ameonyesha  nia  ya  kufika  mbali  katika  tasnia  ya  mitindo., huku  lengo  lake   likiwa  kufikia  level  za  kimataifa  kama   Naomi  Campbell.


Akielezea  kuhus  safari  yake  katika tasnia  ya  mitindo,  Hope  anasema 
“  Tangu  nikiwa  shule  ya  msingi, siku   zote  nilikuwa  nikitamani  sana  kuwa muimbaji, dancer  au  mwanamitindo. Lakini  kwa  kuwa  sikuwa  na  kipaji  cha  kuimba  wala  kudance,  nikaamua  kujikita  katika  mitindo
Akaongeza  “ Nilipofika  O-Level  nikaanza  kufanya  modeling  for  fun.  Hapo  nilikuwa  bado  Tanzania. Nilipo maliza  O-Level  huko  Tanzania, nilikuja  kujiunga  na  masomo  ya  A-Level  katika  shule ya  sekondari   ya  FAWE Girls’  Secondary  School  hapa  Kigali.”
Nilipo maliza  A-Level nilienda  kushiriki  Miss  Rwanda, baada  ya  kushauriwa  na  kushawishiwa  na  rafiki  zangu  wa  karibu.  Mwanzoni  nilikuwa  mgumu  kukubali  ushauri wao, lakini  baada  ya  kutafakari  kwa muda, nikaamua  kushiriki.  Kwenye  mashindano  sikufanikiwa  kuchukua  taji  la  Miss  Rwanda, Nililia  sana  siku  hiyo.  Sababu  kuu  ya  kushindwa  kwangu, walitaka  mtu anaye weza  kuzungumza  Kinyarwanda  fluent, na  mimi  sikuwa  na  uwezo  huo.

Hata  hivyo, shindano  la  Miss  Rwanda  lilinipa  exposure  kubwa  sana. Baada  ya  kuniona,   baadhi  ya  wadau  wa  masuala  ya  mitindo, walinishauri  niingie  kwenye  mitindo.
So  show  ya  Rwanda  Cultural  Fashion  ilipoanza, mwaka  2013  nilijiandikisha na  kushiriki  na kufanya  vizuri  sana.

Niliingia  kwenye  modeling  ili niweze  kublend it na  business. Nina  ndoto za  kuwa  mfanya  biashara  mkubwa, ndio  maana  ninasoma  biashara  pale University  Of  Kigali

Hope  anawashauri  wanamitindo  wafanye  kazi kwa kujituma  na  wawe  wajanja  wa  kutafuta  na  kuzitumia  fursa mbalimbali za  mitindo, kwani  modeling  ni  kazi  kubwa  yenye  fursa  nyingi sana  za  kibiashara.
Ana amini  kuwa  kujulikana  “ exposure’ ni hatua  kubwa  sana  kwa  mwanamitindo  kuweza kupata  nafasi ya  kupata  deals  na  endorsements



Pamoja  na  kwamba, ana  ndoto  za  kuwa  mfanyabishara  mkubwa, lakini  ana amini pesa  si  kila  kitu. Kwake  yeye  kuwa  na  hekima  ni  bora  kuwa  na  pesa  na  mali  nyingi. “ Maarifa  hudumu   daima  milele  lakini, pesa  na  mali  huweza  kuisha  na  kutekeketea  wakati  wowote.


Akitoa  maoni  na mtazamo wake  kuhusu  wanaume  anasema “  Wanawake hatuwezi kuishi  bila  wanaume. Vile  vile, wanaume  hawawezi  kuishi bila  wanawake. Hii ndio  sababu  Mungu  aliwaumba  Adam  na  Eva

Image result for kigali models images



Kuhusu  aina  ya  mwanaume   anaye mpenda , Hope  anasema :
“ Napenda  niwe  na  mwanaume  ambaye  hanipangii  aina  ya  mavazi  ya  kuvaa.  Pesa  na  muonekano, havina  umuhimu wowote  kwangi,  ili mradi tu ninaishi  maisha  huru  ya bila  kuwa  na  stress. “
Kuhusu  aina  ya  kifo  ambacho  atapenda afe,  Hope  anasema, “ hakuna  mtu  asie  ogopa  kufa, lakini si njambo  baya  kuomba  kifo  chema, na mimi  katika  hilo, ninamuomba  Mungu, siku yangu  ikifika  nife  nikiwa  usingizini.

Kuhusu  asicho kipenda, Hope  anasema  hapendi  uchafu,. Anachukizwa  sana  na  uchafu. Usafi  ndio  kila  kitu  kwangu, hata  nilipo kuwa  Fawe  Girls, nilipewa  cheti cha  kuwa   mwanafunzi msafi.
 Mbali na  mitindo, Hope  anajishughulisha  na  kazi  mbalimbali  za  kijamii, huku  akipenda  zaidi  kuwasaidia  watu w asio  jiweza  na  wanaoishi  katika  mazingira  magumu.
“ Huwa  ninafarijika  sana  moyoni, ninapo  ona  mtu  Fulani amelala  usingizi  mzuri  na  wa  amani, kwa  sababu  ya  msaada  nilio mpa.

MAKALA  HAYA  YAMELETWA  KWETU  NA  NEEMA  HERBALIST  BLOG, KWA  UDHAMINI  MKUBWA  WA   NEEMA  HERBALIST &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC, WAUZAJI  WA  DAWA MBALIMBALI  ZA  ASILI  KAMA  VILE : 

1.                             Dawa  asilia ya  kuunganisha  mifupa, pingili  na kukomaza mifupa.
2.                             Dawa  asilia ya kuondoa  maumivu ya  misuli, kurekebisha  mishipa  na  misuli
3.                             Dawa  asilia  kwa  wagonjwa wa  kiharusi (Kupooza)
4.                             Dawa  asilia ya  kutibu  majeraha
5.                             Dawa  asilia  ya  kutibu  vidonda ndugu
6.                             Dawa asilia  ya  kuondoa  uchovu na  kuwashwa
7.                             Dawa  asilia  ya  kuondoa mafuta  kwenye damu ( kolestrol /lehemu)
8.                             Dawa  asilia  ya  kutibu tatizo  la  nyongo
9.                             Dawa  asilia  ya  kutibu  gauti
10.                        Dawa  asilia  ya  uzazi  wa  mpango
11.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  Goita
12.                        Dawa asilia ya  kutibu  tatizo  la  change  la watoto wachanga.
13.                        Dawa  asilia  ya kutibu  vidonda  vya  tumbo
14.                        Dawa  asilia  ya  kutibu mzio     ( Allergy)
15.                        Dawa asilia  ya  kutibu  tatizo  la  degedege  kwa watoto  wenye  umri  wa  kati  ya  miezi  6  hadi  tisa.
16.                        Dawa asilia  ya  kurutubisha  mayai  ya  uzazi  na  kuzibua  mirija  ya  uzazi  kwa  wanawake.
17.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  utasa  kwa  wanaume.
18.                        Dawa  asilia  ya  kusaidia  kugeuza  mtoto  aliye  kaa  vibaya  tumboni ( Mfano: Katanguliza mikono, makalio n.k )
19.                        Dawa  asilia  ya kupunguza  kitambi, uzito  na  unene  uliozidi.
20.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  vinyama  vya  puani.
21.                        Dawa asilia  ya  kutibu  tatizo  la  bawaziri.
22.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  uchungu  wa  pili  baada  ya  kujifungua.
23.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  majeraha ya moto  pamoja na  makovu yatokanayo  na  moyo.
24.                        Dawa  asilia  ya  kutiu  tatizo  la  kwikwi
25.                        Dawa asilia  ya  kutibu  tatizo  la  kutokwa  na  harufu  mbaya  kinywani
26.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  kutoa harufu  mbaya mwilini
27.                        Dawa  asilia  ya  kusaidia  kunenepesha  mtu  aliye  dhoofu  mwili
28.                        Dawa  asilia ya kutibu  tatizo  la  uvimbe  wa  tumboni  ( FIBROID )
29.                        Dawa  asilia  ya  kisukari
30.                        Dawa  asilia  kwa  watu  wenye  tatizo  la  moyo, presha  ya  kupanda, presha ya  kushuka, moyo  kupanuka  na  matundu  kwenye moyo.
31.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  U.T.I, kaswende, kisonono sugu  na  Taifodi.
32.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  magonjwa  mbalimbali ya  ngozi
33.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo la  kubanwa mkojo na  maumivu  kwenye  njia  ya  mkojo
34.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  kujikojolea
35.                        Dawa  asilia  ya  kusafisha  figo  na  kibofu  cha  mkojo
36.                        Dawa  asilia  ya  kuondoa  sumu  mwilini
37.                        Dawa asilia  ya  kuondoa  maumivu  ya  hedhi
38.                        Dawa  asilia  za  kuondoa  sumu  ya  nyoka, na  nge.
39.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  pumu
40.                        Dawa  asilia  ya  kuyeyusha uvimbe  kwenye  lango  la  uzazi.
41.                        Dawa asilia ya kutibu  malaria  sugu
42.                        Dawa  asilia  ya kutibu  tatizo  la  upara  
43.                        Dawa  asilia ya  kutibu  tatizo la  kikohozi sugu  na  kimeo.
44.                        Dawa  asilia  ya  kutibu  tatizo  la  ngiri
45.                        Mawe  kwenye  figo
46.                        Kukosa  choo
47.                        Kukosa  hamu  ya  kula
48.                        Chango  la  kike
49.                        Kutanua  nyonga ( Kuzaa  bila  kupasuliwa )
50.                        Nguvu za  kiume
51.                        Hamu  ya tendo  la  ndoa  kwa  wanawake.
52.                        Mtoto kuchelewa  kutembea

DAWA   ZOTE  HIZI  NI  ZA  ASILIA KABISA  NA  HAZINA   KEMIKALI ZA  VIWANDANI.
Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR ES  SALAAM, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING, nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO PLAZA.
Kwa  wateja  waliopo  Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu, watapelekewa  dawa  mahali  popote  walipo.
Kwa  wateja  waliopo  mikoani, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi.
Kwa wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  boti.
Kwa wateja  waliopo Mombasa, watatumiwa  dawa  kupitia  basi  la  TAHMEED.
Kwa  wateja waliopo  jijini  Nairobi, watatumiwa  dawa  kupitia  basi  la  DAR  EXRESS.
Na kwa  wateja  waliopo  ughaibuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia ya  POSTA  au  DHL.
WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA:
0766 – 53 83  84.
Kwa  taarifa  zaidi  kuhusu huduma zetu, tutembelee  kila  siku, kupitia :



Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA