Skip to main content

CHANZO CHA HARUFU MBAYA YA KINYWA.

Kuna  idadi  kubwa  sana  ya  watu  wanao  sumbuliwa  na  tatizo  la  kutokwa  na  harufu  mbaya  ya  kinywa.  Hakuna  ugonjwa  unao  aibisha  na  kutweza  kama  kutokwa  na  harufu  mbaya  ya  kinywa.

bad_breathNINI  CHANZO  CHA  HARUFU  MBAYA  YA  KINYWA?

 1. Harufu  mbaya  ya  kinywa  husababishwa  na  aina  ya  bacteria  anayeishi  kwenye  tishu  ndogo kwenye sehemu  ya  mgongo  wa  kinywa ( Hususani  kwenye  sehemu  ya  nyuma  ya  ulimi ). Bacteria  huyu  ndiye  husababisha   harufu  mbaya  ya  kinywa. Bacteria  huyu  anapozaliana  na  kukomaa  hutoa  gesi  inayoitwa "Putrid  sulfur  gas" ambayo  ndio husababisha    harufu  mbaya  ya  kinywa. Kama  mtu  anayesumbuliwa  na  tatizo  hili  hatopata  tiba  sahihi  anaweza  kuendelea  kuteswa  na  tatizo  hili  kwa  sababu  hakuna  aina namna  yoyote  ya  upigaji   mswaki  ama  uoshaji  kinywa  inayoweza  kumfikia  bakteria  huyu  hata  kama  uoshaji  huo  utafanyika  kila  siku  na  utachukua  muda  mrefu  kiasi  gani.


2. Chanzo  kingine  kikuu  cha  harufu  mbaya  ya  kinywa  utumiaji  wa  kiasi  kikubwa  cha  chakula   ambacho  hubaki  tumboni  hasahasa  nyama. Chakula  chocote  kitakachokaa  ndani  ya  mfumo  wa  usagaji  wa  chakula  kwa  muda  mrefu   kitaanza  kuoza, na   siku zote  nyama  inapooza   huanza  kutoa  harufu  mbaya  ( kunuka ). Kwa  hiyo  hiki  nacho  ni  chanzo  kikubwa  cha  harufu  mbaya  ya  kinywa.

NINI  TIBA  YA  TATIZO.
 Tiba   ya  tatizo  hili  itategemeana  na  chanzo  cha  tatizo   kwa  muhusika. Kama  tatizo  linaanzia  mdomoni   kuna  tiba  yake  na  kama  tatizo  linaanzia  tumboni  basi  kuna  tiba  yake  pia.

KAMA  TATIZO  LINAANZIA  MDOMONI :  Mgonjwa  anatakiwa  kutumia  dawa  maalumu  ya  kusukutua  kinywa  kwa  muda  maalumu  ambayo  itasaidia  kuwaua  bakteria  wanao  sababisha  harufu  mbaya   ya  kinywa  pamoja  na  kufuata   diet  maalumu  ambayo  itaepusha  kuzaliana  kwa  bacteria  wapya  ndani  ya  kinywa  cha  muhusika. Neema  Herbalist   tunayo  dawa  maalumu  ya  asili  ambayo  itamsaidia  mgonjwa  anayesumbuliwa  na  tatizo  hili  kuondokana  na  tatizo  hilo.. Ni  dawa  isiyo  kuwa  na  side  effect  yoyote  kwa  mtumiaji  kwa  sababu  ni  dawa  ya  kienyeji.

KAMA  TATIZO  LINAANZIA  TUMBONI.

Kama  tatizo  linaanzia  tumboni  mgonjwa  atatakiwa  kutumia  dawa  maalumu  ambayo  itaenda  kuondoa  uchafu  wote uliooza  na  uliogandamana  tumboni  ambao  ndio  chanzo  cha   kutokwa  na  harufu  mbaya  . ya  kinywa .. Baada  ya  kutumia  dozi  hii, mgonjwa  ataweza  kuondoa  uchafu  wote  uliogandamana  tumboni  kwa  njia  ya  haja  kubwa. Pamoja  na  dozi  hii  mgonjwa  atapewa  maelekezo  ya  vyakula  na  juisi  maalumu  za  kutumia  pamoja  na  dawa  maalumu  ya  kutumia  kinywani  wakati  wa  kupiga  mswaki..

MAMBO  YA  KUZINGATIA.

Kwa  wewe  ambaye  hauna  tatizo  hili, zingatia  mambo  yafuatayo:
1.   KUWA  MAKINI  SANA  NA  AINA  YA  VYAKULA  UNAVYO  TUMIA
... Vyakula  unavyo  paswa  kuepuka  kuvitumia  ni  pamoja  na  vitunguu, vitunguu  swaumu, unywaji  wa  pombe,  vyakula  vyenye  protini  nyingi  kama  vile   samaki, Epuka  matumizi  ya  sukari, kahawa  na  baadhi  ya  aina  za  dawa  za  mswaki.

2.KUNYWA  MAJI  MENGI :
Hakikisha  unakunywa  maji  mengi  kila  siku (  Angalau  Lita  Tano  Kwa  Siku ). Kufanya  hivyo  kutakusaidia  kuosha   chembechembe  za  vyakula  ambazo  zimebaki  mdomoni  mwako.  Vilevile  kutasaidia  kuepusha  mdomo mkavu.

3. EPUKA  MATUMIZI  YA  POMBE.  Pombe  hukausha  kinywa. Kinywa  kikavu huchochea mazalio  ya  bakteria  wanao  sababisha  harufu  mbaya  ya  kinywa.

4. USIVUTE  . SIGARA:  Kama  kweli  una  nia  kumaliza  tatizo  la  kutokwa  na  harufu  mbaya  ya  kinywa  unapaswa  kuachana  na  uvutaji  wa  sigara. Uvutaji  wa  sigara  sio  tu  kwamba  uta kusababishia  harufu  mbaya  ya  kinywa  bali  pia  utakausha  kinywa  chako  na  hivyo  kusababisha  mazaliano  ya  bakteria  wasababishao  harufu  mbaya  ya  kinywa.

5.USINYWE  KAHAWA: Kahawa  ina  acid  ambayo  husababisha  kuzaliwa  kwa  bacteria  wanao  sababisha  harufu  mbaya  ya  kinywa.

6. PIGA  MSWAKI  MARA  KWA  MARA :  Piga  mswaki   walau  mara  mbili  kwa  siku. Kama  una  nafasi  piga  mswaki  kila  baada  ya  chakula.

7. HAKIKISHA  UNACHEKI  AFYA  YA  KINYWA  CHAKO  KWA  DAKTARI  WAKO  WA  MENO  MARA  KWA  MARA.

Kwa  maelezo  zaidi  wasiliana  nasi

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA