Skip to main content

NEW SLIMMING HERBAL PRODUCT IS ON STORE NOW.

DAWA  MPYA  YA  ASILI   YA  KUKATA  KITAMBI   
"  THE  NEW   SLIMMING  HERBAL   PRODUCT "


Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic
  ni  wauzaji  wa  dawa  mbalimbali  za  asilia.  Tunapenda  kuwatangazia  wateja  weta  wetu   wapendwa  sasa  tunayo   dawa  mpya  safi  na  ya  asili  ya  kukata  kitambi.  Ni  dawa  ya  asili  kabisa " pure  herbal "  isiyokuwa  na  " side  effect" . Imesindikwa  kwa  asali  na  mafuta  ya  nyonyo  meupe  " castle oil " ..  Haijachanganywa  na  kemikali  yoyote  na  inaondoa  kabisa  tatizo  la  kitambi  ndani  ya  siku  ishirini  na  moja  ( 21 ). Matokeo  yake  unaanza  kuyaona  ndani  ya  siku  kumi  na  nne  tu.  Tupo   katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU.  Bei  yake  ni  SHILINGI  ELFU  AROBAINI ( Tsh. 40,000/=)

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  : 
0766538384

Tunafanya  Delivery  pia.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...