Skip to main content

KUREJESHA BIKIRA KWA TIBA ASILIA



KUREJESHA  BIKRA  KWA  TIBA  ASILIA.
Tumekuwa  tukipokea  simu  na   barua  pepe  kutoka  kwa  wanawake   mbalimbali wa  kitanzania  kutoka  ndani  na  nje  ya  Tanzania, wakiulizia  kama  tunayo  dawa  ya  asili  ya  kurejesha  bikira  kwa  wanawake. Kwa  sababu  swali  hili  limekuwa  likijirudia  sana, leo  tumeona  tulitolee  ufafanuzi  hapa. Ni kwamba,  haipo  dawa  ya  asili  inayo  weza  kurejesha  bikira  kwa  mwanamke. Dawa  zilizopo ni dawa  za  kichina, na  side  effects  zake  ni  kubwa  sana. Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu,mwanamke  anaye  tumia  dawa  za  kichina  kwa  ajili  ya  kurejesha  bikira  yake  anajiweka  katika   hatari  kubwa  sana  ya  kupatwa  na  ugonjwa  wa  kansa kutokana  na  kemikali  mbalimbali  zinazo  patikana  katika  dawa  hizo.


USHAURI  WETU :
Tunashauri  usitumie  dawa  za kichina  kwa  ajili  ya  kurejesha  bikira  kwa  sababu  madhara  yake  ni makubwa sana.

UTUMIE  DAWA  GANI?: Hakuna  dawa  ya  kurejesha  bikira, dawa  za  asili  zilizopo  ni  dawa  zinazo  fanya  kazi  ya  kuufanya  uke  kuwa  tight  sana  lakini  hauwi  bikira. Bikira  ikishatoka  haiwezi  kurudi  tena.  Dawa  hizi  zinatumika  kwa  kunywa  na  kujichua  katika  sehemu  za  siri  za  mwanamke. Mbali  na  kuufanya  uke  kuwa  tight, dawa  hizi  pia, huondoa  fangasi za  ukeni pamoja  na  harufu  mbaya  ya  ukeni. Kama  unahitaji  dawa   hizi  unaweza  kuwasiliana  na  NEEMA  HERBALIST kwa  simu  0766538384.

Comments