Skip to main content

Natafuta kazi ya ndani. Nina uzoefu wa miaka mitano

Jina langu naitwa Mwanaidi Juma, umri wangu ni miaka 33, kabila langu ni Mmanyema wa Ujiji, Kigoma na makazi yangu kwa hapa jijini Dar Es Salaam, yapo Chanika. 

Ninatafuta nafasi ya kazi ya ndani ya kwenda na kurudi ( Silali kwa mwajiri). 

Kazi iwe ndani ya Chanika au kama nje ya Chanika basi iwe sehemu ambayo nitakuwa napanda gari tu kufika.

Nina uzoefu wa miaka mitano katika kazi hii. 

Nimepata mafunzo maalumu kutoka NEEMA HERBALIST kuhusu jinsi ya kuandaa na kutayarisha lishe maalumu kwa watu wenye maalumu ya kiafya kama vile: Presha na Sukari, Vidonda vya Tumbo, Tatizo la ukosefu na upungufu  wa nguvu za kiume, tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, tatizo la kitambi, tatizo la unene na uzito ulizo zidi, tatizo la kupungua mwili. 


Kw hivyo, ninaweza kupika mapishi na vyakula naalumu kwa watu wenye mahitaji mbalimbali ya kiafya kama vile:

1. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la presha na sukari. 

2. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo. 

3. Lishe maalumu ya kuondoa kabisa kitambi na kufanya tumbo kuwa flat kabisa. 

4. Lishe maalumu ya kupunguza unene na uzito uliozidi. 

5. Lishe maalumu kwa watu wanaume wenye tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. 

6. Lishe maalumu kwa wanawake wenue tatizo ya kukosha ashkhi ya kufanya tendo la ndoa.

7. Lishe maalumu ya kuwasaidia kurejesha mwili ( kunenepa) watu walio pungua mwili ( walio kinda) kwa sababu mbalimbali kama vile msongo wa mawazo ( Depression) au kuugua maradhi mbalimbali kama vile vidonda vya tumbo, sukari nakadhalika. 


Kama unahitaji huduma ya Mwanaidi, tunadikie barua Pepe : neemaherbalist@gmail.com.

Na kwa wewe unae hitaji dawa mbalimnali za asili na lishe zake kwa ajili ya matatizo mbalimbali ya kiafya wasiliana nasi NEEMA HERBALIST kupitia namba zetu za simu : 

0766 53 83 84 au 0693 005 189.

AU WHATSAPP : 0745 433 595.

Tulikuwa UBUNGO Ila kwa sasa tumehamia Chanika Mwisho. 

Kwa wewe usie weza kufika ofisini kwetu, tunayo huduma ya kukuletea dawa mahali ulipo ( DELIVERY) na kwa wewe ambae upo nje ya mkoa wa Dar Es Salaam, tunakutumia dawa kwa njia ya mabus mbalimbali. 

Kwa wateja wetu wa Zanzibar, tunawatumia dawa kwa njia ya boat na kwa wateja wa nchi jirani tunawatumia dawa kwa njia mabus na kwa wale waliopo nje ya Africa tunawatumia dawa kwa  njia ya Posta au DHL

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...