Skip to main content

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA







Mti  wa  Mkomamanga  ni  mti  wenye  faida  nyingi  sana  katika  afya  ya  mwanadamu.
Mti  huu  una  virutubisho –afya   mbalimbali  ambavyo  ni  muhimu  katika  afya  ya  mwanadamu.


 
Virutubisho  hivyo  vinapatikana  kwenye  magome, majani, mbegu, maganda  ya  matunda, juisi  ya  matunda  pamoja  na kwenye  maua  ya  mti  wa  mkomamanga.
Zifuatazo  ni  faida  muhimu  za  mti  wa  mkomamanga :

1.          Maganda  ya  tunda  la  mkomamanga  yakichemshwa   hutoa  juisi   ambayo  hutumika  kama  dawa  ya  kufunga  kuhara.
2.          Majani  ya  mkomamanga  hutumika  kutibu  hali  ya  tumbo  kujaa  gesi  na  kudhibiti  tindikali  (acid)  tumboni.
3.          Majani   ya  mkomangana  hutumika  pia  katika  kutibu  tatizo  la  kuhara  damu  na  kutibu  maambukizi  ya  bacteria  katika  kibofu  cha  mkojo.
4.          Rojo  ya  mbegu  za  mkomamanga  ikichanganywa  na  maziwa  fresh, hutumika  kutibu  tatizo  la  mawe  kwenye  figo.
5.          Fukuto  ya  komamanga  husaidia  kutibu  minyoo  aina  ya  tegu  pamoja  na  uvimbe  wa  wengu.
6.          Komamanga     husaidia  katika  kutibu  tatizo  la  vidonda  vya  tumbo.
7.          Komamanga  pia  ni  mahiri  katika  kutibu  magonjwa  ya  kusendeka  ( magonjwa  ya  muda  mrefu  ), kama  vile  saratani  ya  tezi  dume,saratani  mbalimbali, kisukari, baridi  yabisi  na  uvimbe  katika   maungio   ya  vidole ( gout )
8.          Komamanga  husaidia  kuondoa  sumu  mwilini
9.          Husaidia  katika  kupambana  na  tatizo  la  uzito  mwilini
10.     Husaidia  kuua  virusi  vya  aina  mbalimbali  mwilini

ANZA  LEO, KUTUMIA  TUNDA  LA  MTI  WA MAKOMANGA  KWA  AJILI  YA  KUTIBU  AMA  KUJIKINGA  NA  MAGONJWA  MBALIMBALI.
Imeandaliwa  na  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC.
Simu  :  0766  538384

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA