Skip to main content

WANAUME WANAO PIGA PUNYETO NDANI YA NDOA : Ni kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathirika na tatizo la upigaji punyeto wa muda mrefu

 







WANAUME WANAO PIGA PUNYETO  NDANI  YA  NDOA :  Kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa hukuwa wakiwa wameathirika na tatizo la kupiga punyeto kwa muda mrefu.

 

  Sura Ya Kwanza : NILIFANYA PUNYETO KWA MUDA WA MIAKA 20 KUANZIA 2004 NIKAJA KUACHA 2024.

 

Kitabu hiki kinahusu masimulizi kutoka kwa wanaume wapatao arobaini ( 40) kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na visiwani ambao waliingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathiriwa na tatizo la upigaji punyeto kwa muda mrefu. 

Ni kitabu chenye mafunzo mazito sana kwa wanaume na kwa jamii nzima kwa ujumla. Wewe kijana ambae bado unajihusisha na suala la upigaji punyeto, unalo jambo la kujifunza ndani ya kitabu hiki, na wewe  mwanaume ambae upo kwenye ndoa lakini bado unajihusisha na punyeto, unacho kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa. Na kwako wewe mwanaume, ambae ume kuwa addicted na masturbation, unatamani kuacha lakini unashindwa, pia unacho kitu kikubwa sana  cha kujifunza ndani ya kitabu hiki.

Kikubwa zaidi, kwako wewe mwanaume ambae umeathiriwa na masturbation na unataka kurudi katika hali yako ya kawaida ili uwe na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kama wanaume wengine, pia unacho kitu kikubwa sana cha kujifunza. Ndani ya kitabu hiki , utapata faida nyingi sana.

Wahusika wa kitabu hiki, ni wanaume mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania bara na visiwani ambao walikuja kwetu kutafuta tiba ya athari za masturbation, na baada ya kupona kabisa tatizo lao, wamekubali kushare story zao ili wanaume wengine ambao bado wana struggle na tatizo la masturbation pamoja na effects zake, wapate kitu cha kujifunza na kikubwa zaidi, wapate faida kuu kabisa wanayo ihitaji ambayo si nyingine, isipokuwa uponyaji. Wapone kabisa tatizo la athari za masturbation na warejee kuwa kama wanaume wengine.

Ili kulinda faragha ( privacy) ya wateja wetu, katika masimulizi haya, hatutumii majina yao halisi, lakini pia tumebadilisha locations ( maeneo) ambako matukio yametokea, japo wengine walisema hawana tatizo na location lakini kama sisi kwa kuzingatia ethics za kazi, hatutaja location halisi. Hatutaja kabisa locations na pale tutakapo lazimika , basi tutabadilisha location.

Na ili  kukusaidia na kukurahisishia  wewe mwanaume ambae bado una struggle na tatizo la masturbation ama side effects za masturbation ama vyote kwa pamoja,   tumeamua  kuchapisha kitabu hiki kupitia hapa hapa kwenye blogu yetu ( Neema Herbalist BLOG) ili na wewe uweze kupata faida.

 

Na kwa kuanza, tuna anza na kisa cha mteja wetu mmoja ambae yeye alijihusisha na masturbation kwa muda wa miaka 20, kuanzia mwaka 2004 hadi pale alipo acha mwaka 2024. Katika hicho chote alicho fanya masturbation alikumbana na athari na madhara mengi sana ambayo yanahusiana moja kwa moja nay eye kujihusisha na masturbation. Kisa  cha mtu huyu kina mafunzo makubwa sana kwa wanaume wote ambao bado wanajihusisha na masturbation au wale ambao wamecha masturbation lakini bado wana struggle na side effects za masturbation hasa hasa wale ambao wapo ndani ya ndoa.

 

Lakini kabla ya kuanza na kisa hiki ambacho kinaunda chapter ya kwanza ya kitabu hiki, ni vema nikakukumbusha kidogo suala la uhusiano uliopo kati ya suala la punyeto na kusinyaa kwa maumbile ya kiume, kwa sababu hili ni swali ambalo tumekuwa tukiulizwa na wanaume wengi sana ambao wameathirika na masturbation. 

Ni kweli kabisa mwanaume akijihusisha na punyeto kwa muda mrefu, basi maumbile yake ni lazima yasinyae na kudumaa kama ya mtoto mdogo.


Zipo sababu kuu 2 kwanini wanaume walio jihusisha na punyeto kwa muda mrefu maumbile yao husinyaa na kuwa kama ya mtoto.

 

SABABU YA KWANZA: Tendo la kujichua linapo fanyika kwa muda mrefu huathiri na kuharibu misuli ya uume na hivyo kusababisha kujengeka kwa mafuta na tishu zisizo vutika kwenye mishipa ya ATERI.

 

 

Kujengeka kwa mafuta na tishu zisizo vutika kwenye mishipa ya ateri husababisha mambo makuu mawili. Kwanza huzuia mishipa ya ateri kupanuka na kuongezeka.

 

 

KUPANUKA NA KUONGEZEKA KWA MISHIPA YA ATERI NI JAMBO MUHIMU SANA KATIKA UKUAJI WA MAUMBILE YA KIUME. Mishipa hii inapo shindwa kupanuka na kuongezeka huathiri ukuaji wa maumbile ya kiume na hivyo kusababisha maumbile ya mhusika kudumaa.

 

 

Lakini pili, kujengeka kwa mafuta na tishu zisizo vutika ndani ya mishipa ya ateri huzuia na kuathiri kutiririka kwa damu kwenye misuli ya uume. Mambo haya mawili yanapo tokea huathiri uzalishaji wa homoni zinazo husika na kuchochea ukuaji wa maumbile ya kiume. Homoni hizi hujulikana kitaalamu kama HGH na huzalishwa kwenye ini.

 

 

Hali hii inapo tokea basi maumbile ya kiume ya mhusika husinyaa na kudumaa kiasi cha kuyafanya yaonekane kama ya mtoto mdogo.

 

 

SABABU YA PILI: Upigaji wa punyeto huathiri utendaji kazi wa ini. Na katika ini ndimo zinamo zalishwa homoni ziitwazo HGH ambazo hu husika na kufanya kazi ya kuchochea ukuaji wa maumbile ya kiume.

 

Kinacho fanya ini la mwanaume anae jihusisha na.punyeto lishindwe kuzalisha homoni za HGH ni mwili wa mhusika kukosa kiwango cha kutosha cha nishati kinacho hitajika katika uzalishaji wa homoni hizo. Nishati hii hupotea kwa wingi wakati wa tendo la upigaji punyeto.

 

 

Mwanaume anae piga punyeto hutumia nguvu, akili na nishati nyingi sana . Nishati hii ambayo inahitajika mwilini ili itumike katika kazi mbalimbali ikiwemo uzalishaji wa homoni za HGH kwenye ini inatumika kwenye tendo la upigaji punyeto na hivyo kupotea bure.

 

Kibaya zaidi ni kwamba waathirika wengi wa punyeto huanza kujihusisha na punyeto wakati wa balehe. Na ni katika kipindi hiki hiki cha balehe ndio kipindi ambacho homoni za HGH huzalishwa kwa wingi na huhitajika kwa wingi mwilini katika kufanya kazi ya kuchochea ukuaji wa maumbile ya kiume.

 

Matokeo yake ini linashindwa kufanya kazi ya kuzalisha homoni hizo kwa sababu ya kukosa kiwango cha nishati kinacho hitajika ili kuweza kuzalishwa kwa homoni hizo.

 

Kukosekana kwa homoni hizo hupelekea maumbile ya kiume ya mhusika kushindwa kuongezeka ambako huenda sambamba na kusinyaa, kulegea na kunywea ndani kiasi cha kuyafanya yaonekane kama ya mtoto.

 

SULUHISHO : Mwanaume alie athirika na masturbation anatakiwa kupatiwa dawa ya asili ambayo itamtibu na kumponyesha kabisa athari zote alizo zipata kwa kufanya masturbation. Suala hili tumesha lielezea kwa kina sana  kwenye makala zetu zilizo pita, na ambazo zote zinapatikana hapa hapa kwenye blogu yetu.

 

 

Sasa turudi kwenye kisa cha huyu ndugu yetu ambae alifanya punyeto kwa muda wa miaka 20 kuanzia mwaka 2004 hadi mwaka 2024. Ndani ya miaka hiyo ishirini, aliingia pia katika mahusiano na wanawake wengine, na kama hiyo haitoshi, aliingia katika ndoa pia, ambayo hata hivyo haikuchukua muda, ilikufa huku sababu kuu ikiwa ni yeye kuathiriwa na tatizo la masturbation. Ndani ya kitabu hiki, tumembatiza jina “ Mandevu”  Safari ya Bwana Mandevu kwenye mahusiano yake ndani ya hiyo miaka 20, ina mafunzo mengi sana mazito kwa wanaume wote hususani wale ambao bado wanajihusisha na masturbation au wale ambao bado wana struggle na masturbation , hasa hasa wale ambao wapo kwenye ndoa lakini bado wanafanya masturbation.

 

Muda si mrefu kuanzia leo, tuna post hapa hapa, bloguni kuhusu story ya  Bwana  Mandevu. Kaa mkao wa kula, tembelea kila siku blogu hii, na waalike na wenzako pia..  Sio tu story ya Bwana Mandevu, lakini pia tuta post na story za wanaume wengine thelathini na tisa ( 39) ambao visa vya maisha yao kwenye suala zima la namna punyeto ilivyo waathiri kwenye ndoa na mahusiano yao na wanawake kwa ujumla, vimechapishwa ndani ya kitabu hiki.

 

Na kwako wewe  mwanaume ambae umeathirika na punyeto, upo ndani ya ndoa, bado una struggle na punyeto ukiwa ndani ya ndoa, bado una struggle na athari za punyeto, na unataka  kupona kabisa tatizo lako, wasiliana nasi kupitia namba zetu za simu  kama ifuatavyo :

KAWAIDA : 0766- 53 983 84 AU  0693 -005 189

AU

WHATSAPP : 0745 -433 595.

 

Tutakupatia dawa ya asili ambayo itakutibu na kukuponyesha kabisa na utarudi katika uanaume wako. Dawa hii ni ya asili kabisa na inatibu kabisa tatizo la nguvu za kiume ndani ya siku thelathini, na  matokeo unaanza kuyaona siku ya saba. Dawa hii itakuja kwako pamoja na lishe yake maalumu ambayo utaitumia pamoja na dawa yako.

 

Gharama ya dawa hii ni ile ile ya siku zote,  SHILINGI ELFU THEMANINI TASLIMU ( Tshs.80,000/=)

 

Tunapatikana Chanika Mwisho  jijini Dar Es Salaam ( Zamani tulikuwa Ubungo, now tumehamia Chanika )

 

Kwa wewe mteja wetu ambae upo jijini Dar Es Salaam,  lakini hauna nafasi ya kufika ofisini kwetu Chanika, tunayo huduma ya kukuletea dawa ( HOME & OFFICE DELIVERY) mahali popote ulipo ndani ya jiji la Dar Es Salaam. 

Kwa wewe ambae upo nje ya mkoa wa Dar Es Salaam,tunakutumia dawa kupitia usafiri wa bus au boti kama upo Zanzibar.

 

 

Tembelea kila siku Neema Herbalist Blog upate kujifunza masuala mbalimbali kuhusu afya yako.

 

 

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...