Skip to main content

KWA WATEJA WETU WALIO NJE YA TANZANIA.

Tunapenda  kuwafahamisha   wateja  wetu  walioko  nje  ya  Tanzania  hasa  wale walio  nje  ya  Afrika kuwa tunaweza  kuwatumia   dawa  zetu kwa  njia  ya  DHL au  njia  ya  posta...Kwa  wiki hii  nzima  tumekuwa tukipokea  simu  kutoka  kwa   watanzania  waliopo  nje  ya  Afrika  ambao  wanahitaji  sana  kupata  huduma  yetu.  Wengi  wanaulizia  namna  wanavyoweza  kuzipata  dawa  zetu.. Nusu  yao  tumeshawatumia  tayari  kwa  njia  zilizo  tajwa  hapo  juu, na  kwa  wale  ambao  wanataka  kujua  njia  tunazo tumia  kuwafikishia  huduma  zetu  hukohuko  walipo  ni  kama  tulivyo  onyesha  hapo  juu.  Kwa  maelezo na  maelekezo zaidi  tafadhali wasiliana  nasi  kwa :     neemaherbalist@gmail.com
ASANTE  NA  KARIBU  SANA.

Comments