Skip to main content

MZIGO MPYA UMEINGIA : DAWA SAFI SANA ZA ASILI ZINAZO TIBU MARADHI MBALIMBALI.

1.  SHABAB

Ni  dawa  ya  asili  ambayo  hutibu kwa  haraka  na kwa  uhakika  maradhi  yafuatayo :
1. Maleria  Sugu
2. Ngiri  aina  zote
3. Mingurumo  ya  tumbo.
4. Taifodi.
5. Maumivu chini  ya  kitovu.
6. Choo  kigumu.
7. Uuume  kurudi ndani.
8. Kusafisha  mkojo  wa  njano  unaouma.
9. Kuchoka upesi  katika  tendo  la  ndoa.

2.  ROJO

Hii  ni  dawa  ya  asili  inayotibu  magonjwa  yafuatayo :

1. Maumivu  yote  ya  viungo.
2.  Ganzi, miwako  ya  moto.
3.Chembe ,kiuno, mgongo.
4. Kichwa, misuli, magoti

Dawa  hii  inafanya  kazi  kwa  haraka  sana.


3. JINOBO  :

Ni  dawa  ya  asili  ambayo  huondoa  hutibu  maradhi yafuatayo :

1.  Jino  kuuma.
2. Fizi  kuvimba.
3. Harufu  mbaya  mdomoni.
4. Meno  kutoa  damu.
5.  Kuzuia  meno  kuwa  na  tundu

4.  FARAJA
Hii ni  dawa  ya  asili  ambayo  hutibu matatizo  yafuatayo :

1.  Sukari
2. Pressure


5.  FANGASIDA
Ni  dawa  ya asili  ambayo  hutibu kwa  haraka sana magonjwa  yote ya  ngozi   ( Fangasi  ya  ngozi  na  damu )...Dawa  hii  humaliza  matatizo hayo  kabisa  na  kuirejesha  ngozi  katika  hali  yake  ya  kawaida.

6. CHURURURU
Ni dawa  ya  asili  ambayo  huondoa  haraka  maradhi ya   mtoto kukojoa  kitandani na mkubwa  pia.

7. MCHOKONOA
Ni  mzizi wa  asili  ambao hutumika  kwa  njia  ya  kutafuna  kama  muwa, maji  kumeza  na  makapi  kutema. Dawa hii  hutibu  magonjwa  yafuatayo :

1. Gesi   2.  Choo  kigumu   3. Kuchelewa  kupata  choo  4.  Kutosikia njaa (  Kukosa hamu  ya  chakula  )  5. Kustarehe  ndoa kwa  muda mrefu  mpaka  kutoshana  (  kwa  wanawake  na  wanaume )

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...