Skip to main content

SLIMMING JUICY YA KUKATA KITAMBI.



SLIMMING  JUICY   YA  KUKATA  TUMBO (  KITAMBI  ).





Wapendwa  wateja  wetu, tunapenda  kuwaatarifu  kuwa     tumewaletea dawa  nyingine  safi  ya  kukata  tumbo  (  kitambi )..Kama  kawaida  yetu  dawa  zetu zote   ni  za  asili  na  hazina  madhara  yoyote  kwa  mtumiaji  .Maelezo  zaidi  kuhusu  dawa  hii  yapo  kama  yanavyo  someka  hapo  chini.KARIBUNI  SANA.
NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC
 ni  wauzaji  wa  dawa
 safi  za  asili  za  kutibu  magonjwa  mbalimbali. Tunapenda
kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  sasa    tunayo  dawa  nyingine  safi
 sana  ya  kutibu  tatizo  la  kitambi.  Ni  dawa  ya  asili (  iko
processed ), ipo  katika  liquid  form, ina ladha  nzuri   na  inakata
 tumbo (  kitambi  )  ndani  ya  siku  thelathini. Ipo  katika  ujazo
mkubwa, unaweza kuendelea  kuitumia  hata  mara  baada  ya  muda  wa
dozi  kuisha, pia  dawa  hii   haina  effect  ya kukufanya  uende
chooni  mara  kwa  mara. Imewasaidia  watu  wengi  na  imetjibitishwa
kwa  matumizi  ya  binadamu.
Ewe  kaka, ewe  dada, usiendelee  kuadhirika  na  huo  ugonjwa  wa
kitambi  unao  kusumbua, wakati  tiba   yake  ipo. Wasiliana  nasi
kwa  simu

0767010756 AU 0753644583 AU 0657743183 AU 0682862744  . Kwa  maelezo
  au  fika  katika  ofisi  zetu
zilizopo  katika  eneo  la  Changanyikeni  karibu  na  Chuo  Cha
Takwimu.
KARIBUNI  SANA.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...