Skip to main content

HABARI NJEMA KWA WANAWAKE NA WANAUME WANAUME WANAOSUMBULIWA NA TATIZO LA VITAMBI.



HABARI  NJEMA  SANA  KWA  WANAWAKE  NA  WANAUME  WANAOSUMBULIWA  NA
TATIZO  LA  VITAMBI ( MATUMBO  MAKUBWA )


Utafiti  wetu  umegundua  kwamba  kuna  idadi  kubwa  sana  ya
wanawake  na  wanaume  wanao  sumbuliwa  na  tatizo  la  kuwa  na
matumbo  makubwa  kiasi  ama  vitambi  kwa  lugha  nyingine. Uchunguzi
 wetu  umetuwezesha  kubaini  kuwa  katika  watu  kumi  wanao  tembea
bararani  angalau  watatu  kati yao  wanasumbuliwa na  tatizo la
kitambi.

CHANZO  CHA  TATIZO
 Kwa  mujibu  wa  kitabu " CHANZO, ATHARI NA TIBA ASILIA  YA  TATIZO
LA  KITAMBI  NA  UNENE  KUPITA  KIASI : Orodha  Ya  Vyakula, Vinywaji
na Dawa  Asilia  Zinazotibu Tatizo  la  Kitambi  Na  Unene  Kupita

Kiasi, kilicho  tolewa  na  kituo  cha  utafiti  na  tiba  asilia  cha
 Neema  Herbalist  cha  jijini  Dar  Es  salaam   sababu  kuu  za
tatizo la  kitambi  ni  pamoja  na :

1. Ulaji  mbovu  wa  vyakula ( Ulaji usio zingatia  mlo  kamili ).
Ulaji  mbovu  wa  vyakula  unajumuisha   ulaji  wa  vyakula  vya  aina
 moja  kwa  wingi  kupita  kiasi  bila  kuzingatia  aina  nyinginezo,
mfano  ulaji  wa  vyakula  vya  mafuta  mafuta  kwa  wingi kupita
kiasi.

2.  Unywaji  wa  pombe  kupita  kiasi
3.  Kutofanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo pamoja  na  sababu  nyinginezo.

ATHARI  ZA  TATIZO  LA  KITAMBI.
Athari  za  tatizo  la  kitambi  ni  pamoja  na :
1. Kuwa  katika  hatari ya  kushambuliwa  na  magonjwa  ya  hatari
kama  vile  kisukari, moyo  na  presha.
2. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kumudu  tendo  la  ndoa (  kwa  wanaume )
3. Kupunguza   mvuto  wa  kimapenzi (  kwa  wanawake na  hata  wanaume  pia  )
4.Kupoteza  fedha  na  muda  mwingi  katika  kuhangaika  kutafuta
tiba  ya  tatizo   pamoja  na  athari  nyinginezo  lukuki.

TIBA  SAHIHI  YA  TATIZO.

Neema  Herbalist  ni  wauzaji  wa  dawa  mbalimbali  za  asili.
Tunayo  dawa  safai  ya  asili  inayo  tibu  tatizo  la  kitambi (
ama  tumbo  kubwa ) na  unene  kupita  kiasi.

Dawa  ni  ya  asili  na  haijachanganywa  na  kemikali  yoyote  hivyo
haina  " side  effect "  yoyote.

BEI  YA DAWA
:  Dawa  hii  inapatikana  kwa  shilingi  Elfu  Arobaini
Tu  za  Kitanzania ( Tshs. 40,000/=).

MUDA  WA  DOZI :  Dozi ya  dawa  hii  inatumika  kwa  muda  wa  siku
ishirini  na  moja  pekee na  inatumika  mara  moja  kwa  siku.

MUDA  WA  KUONA  MATOKEO
: Mtumiaji  wa  dawa  hii  ataona  matokeo
kamili baada  ya siku kumi  na  nne tu.
UFANISI  WA  DAWA :  Dawa  hii  ni  thabiti  na  ya uhakika,
imewasaidia  watu wengi.

MAHALI  INAPOPATIKANA
:  Ofisi  zetu  zipo  katika  eneo  la
Changayikeni  karibu  na  Chuo  Cha  Takwimu, ukiwa  Ubungo  panda
gari  za  Changayikeni,  shuka  kituo  kinaitwa  Takwimu  ukifika
hapo  wasiliana  nasi  kwa  simu  atakuja  mtu  kukuchukua  hapo  na
kukuleta  ofisini  kwetu.

MAWASILIANO  YETU
: Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba : 0767010756  au
0753644583



EWE  BABA , EWE  MAMA, USIENDELEE  KUSUMBULIWA NA  TATIZO  LA  KITAMBI
AMA/ NA  UNENE  KUPITA  KIASI  WAKATI  TIBA  ASILIA  NA RAHISI  YA
TATIZO  LAKO  INAPATIKANA.



Comments

  1. tatizo hili tunalo watu wengi sana nauliza je sisi wa mikoani kama kagera na kwingineko tutapataje dawa hii

    ReplyDelete
  2. Wasiliana nasi kwa namba zetu hapo juu tukupe maelekezo @ babyface.

    ReplyDelete
  3. Ila hiyo tiba yakuondoa kitambi kwa siku 14 lazima itakua na side effects, nnavojua unene unatakiwa kupunguzwa gradually,.
    Side effects hazisababishwi na kemikali pekee, vipi baada yakuitumia mtu ataharisha?
    Kitaalam mabadiliko yoyote yakufanywa mwilini sio vyema kufanyika kwa haraka. By the way ntafika Ofisini kwenu.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA