Skip to main content

HABARI NJEMA KWA WANAWAKE NA WANAUME WANAUME WANAOSUMBULIWA NA TATIZO LA VITAMBI.



HABARI  NJEMA  SANA  KWA  WANAWAKE  NA  WANAUME  WANAOSUMBULIWA  NA
TATIZO  LA  VITAMBI ( MATUMBO  MAKUBWA )


Utafiti  wetu  umegundua  kwamba  kuna  idadi  kubwa  sana  ya
wanawake  na  wanaume  wanao  sumbuliwa  na  tatizo  la  kuwa  na
matumbo  makubwa  kiasi  ama  vitambi  kwa  lugha  nyingine. Uchunguzi
 wetu  umetuwezesha  kubaini  kuwa  katika  watu  kumi  wanao  tembea
bararani  angalau  watatu  kati yao  wanasumbuliwa na  tatizo la
kitambi.

CHANZO  CHA  TATIZO
 Kwa  mujibu  wa  kitabu " CHANZO, ATHARI NA TIBA ASILIA  YA  TATIZO
LA  KITAMBI  NA  UNENE  KUPITA  KIASI : Orodha  Ya  Vyakula, Vinywaji
na Dawa  Asilia  Zinazotibu Tatizo  la  Kitambi  Na  Unene  Kupita

Kiasi, kilicho  tolewa  na  kituo  cha  utafiti  na  tiba  asilia  cha
 Neema  Herbalist  cha  jijini  Dar  Es  salaam   sababu  kuu  za
tatizo la  kitambi  ni  pamoja  na :

1. Ulaji  mbovu  wa  vyakula ( Ulaji usio zingatia  mlo  kamili ).
Ulaji  mbovu  wa  vyakula  unajumuisha   ulaji  wa  vyakula  vya  aina
 moja  kwa  wingi  kupita  kiasi  bila  kuzingatia  aina  nyinginezo,
mfano  ulaji  wa  vyakula  vya  mafuta  mafuta  kwa  wingi kupita
kiasi.

2.  Unywaji  wa  pombe  kupita  kiasi
3.  Kutofanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo pamoja  na  sababu  nyinginezo.

ATHARI  ZA  TATIZO  LA  KITAMBI.
Athari  za  tatizo  la  kitambi  ni  pamoja  na :
1. Kuwa  katika  hatari ya  kushambuliwa  na  magonjwa  ya  hatari
kama  vile  kisukari, moyo  na  presha.
2. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kumudu  tendo  la  ndoa (  kwa  wanaume )
3. Kupunguza   mvuto  wa  kimapenzi (  kwa  wanawake na  hata  wanaume  pia  )
4.Kupoteza  fedha  na  muda  mwingi  katika  kuhangaika  kutafuta
tiba  ya  tatizo   pamoja  na  athari  nyinginezo  lukuki.

TIBA  SAHIHI  YA  TATIZO.

Neema  Herbalist  ni  wauzaji  wa  dawa  mbalimbali  za  asili.
Tunayo  dawa  safai  ya  asili  inayo  tibu  tatizo  la  kitambi (
ama  tumbo  kubwa ) na  unene  kupita  kiasi.

Dawa  ni  ya  asili  na  haijachanganywa  na  kemikali  yoyote  hivyo
haina  " side  effect "  yoyote.

BEI  YA DAWA
:  Dawa  hii  inapatikana  kwa  shilingi  Elfu  Arobaini
Tu  za  Kitanzania ( Tshs. 40,000/=).

MUDA  WA  DOZI :  Dozi ya  dawa  hii  inatumika  kwa  muda  wa  siku
ishirini  na  moja  pekee na  inatumika  mara  moja  kwa  siku.

MUDA  WA  KUONA  MATOKEO
: Mtumiaji  wa  dawa  hii  ataona  matokeo
kamili baada  ya siku kumi  na  nne tu.
UFANISI  WA  DAWA :  Dawa  hii  ni  thabiti  na  ya uhakika,
imewasaidia  watu wengi.

MAHALI  INAPOPATIKANA
:  Ofisi  zetu  zipo  katika  eneo  la
Changayikeni  karibu  na  Chuo  Cha  Takwimu, ukiwa  Ubungo  panda
gari  za  Changayikeni,  shuka  kituo  kinaitwa  Takwimu  ukifika
hapo  wasiliana  nasi  kwa  simu  atakuja  mtu  kukuchukua  hapo  na
kukuleta  ofisini  kwetu.

MAWASILIANO  YETU
: Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba : 0767010756  au
0753644583



EWE  BABA , EWE  MAMA, USIENDELEE  KUSUMBULIWA NA  TATIZO  LA  KITAMBI
AMA/ NA  UNENE  KUPITA  KIASI  WAKATI  TIBA  ASILIA  NA RAHISI  YA
TATIZO  LAKO  INAPATIKANA.



Comments

  1. tatizo hili tunalo watu wengi sana nauliza je sisi wa mikoani kama kagera na kwingineko tutapataje dawa hii

    ReplyDelete
  2. Wasiliana nasi kwa namba zetu hapo juu tukupe maelekezo @ babyface.

    ReplyDelete
  3. Ila hiyo tiba yakuondoa kitambi kwa siku 14 lazima itakua na side effects, nnavojua unene unatakiwa kupunguzwa gradually,.
    Side effects hazisababishwi na kemikali pekee, vipi baada yakuitumia mtu ataharisha?
    Kitaalam mabadiliko yoyote yakufanywa mwilini sio vyema kufanyika kwa haraka. By the way ntafika Ofisini kwenu.

    ReplyDelete

Post a Comment