Skip to main content

DAWA LISHE YA ASILI YA KUNENEPESHA NA KUONGEZA MWILI.

Image may contain: 1 person, closeup and outdoor

Je umekonda  na  kudhoofu  mwili  kutokana  na  sababu  mbalimbali  kama  vile msongo  wa  mawazo  na  kuugua  maradhi  mbalimbali kama  vile  kisukari nakadhalika ?

Image may contain: 1 person, smiling, standing

Unahitaji  kurejesha  mwili  wako  katika  hali  yake  ya  kawaida ?  Unahitaji kuongeza mwili na uzito wako ?
Image may contain: 1 person, standing, plant, outdoor and nature

Kama  jibu  lako  ni  NDIO  basi  HII  NI  HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.
Neema  Herbalist  ni  duka  la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunayo   DAWA  LISHE  YA  ASILI  ambayo inanenepa  mwili  kwa watu  walio  dhoofu  na  kukonda  kwa  sababu  mbalimbali.
Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.
Kwa  wateja  wetu  wa  jijini  DAR  ES  SALAAM  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu  tunayo  huduma  ya  HOME & OFFICE  DELIVERY 
Na  kwa  wateja  wetu  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  DAR ES  SALAAM  tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  mbalimbali  kama  vile  MABUS  au  BOTI kwa  wateja  wetu wa  ZANZIBAR.
Wasiliana  nasi  kwa  SIMU NAMBA : 0693  005 189


Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...