Skip to main content

HII NDIO SABABU KWANINI KAMA HAUNA KIPIMO CHA KUPIMIA SUKARI ( BLOOD TEST KIT ) BASI UNASHAURIWA USITUMIE BAADHI YA DAWA Z A ASILI ZINAZO TIBU TATIZO LA SUKARI YA KUPANDA.

Image result for bitter gourd juice  image
Tango  Chungu  au  Kalera  ni  moja  kati  ya  mimea yenye  uwezo  wa  kutibu sukari  ya  kupanda. Mmea  huu  upo  katika  kundi  la  mimea  inayo  tibu  sukari ya  kupanda  kwa  muda  mrefu.   Mmea  huu  huweza  kushusha  sukari  ya  kupanda   ndani  ya  mwezi  mmoja  hadi  miezi  mitatu  kulingana  na kiwango  cha  sukari  kwenye  damu  ya mhusika.  Matumizi  yake  kunywa  glasi mbili  za  juisi  ya  kalera  asubuhi  na  glasi  moja  na  usiku  tumia  glasi moja. Fanya hivyo  kwa  muda  wa  wiki moja  kisha  nenda  kapime  sukari  yako. Kupata  glasi  moja  ya  juisi  ya  kalera  unatakiwa  uwe  na kalera  mbili. Na  unashauria  utumie  "Juicer" na  sio  " Blender " Ukitumia  Juicer  unapata  pure  juice  tofauti  na  ukitumia blender.

Sukari  ( Ya Kupanda )   ni  tatizo  linalo  wasumbua  na  kuwatesa  mamilioni  ya  watu  duniani. 


Habari  njema  ni  kwamba  zipo   dawa  mbalimbali  za  asili  ambazo  zina  uwezo  mzuri tu  wa kushusha  sukari  iliyo  panda sambamba  na  kudhibiti  kiwango  cha  sukari  kwenye  damu  kwa  ufanisi  mkubwa.
Kati  ya  dawa  hizo  zipo  zinazo  shusha  sukari  taratibu  na  zipo  zinazo  shusha  sukari  kwa  haraka  sana.


Mada  yangu  ya  leo  inahusu  dawa  za  asili  ambazo  zinashusha  sukari  kwa  haraka  sana  na  tahadhari  ya  kuchukua  kwa  mtu  anae  taka  kutumia  dawa  hizo.

Mtu mwenye  tatizo  la  sukari  ya  kupanda  anapokuwa  anatumia  dawa  za  asili kwa  ajili ya  kutibu tatizo  lake  anatakiwa  kujua  aina  ya  dawa  anazo  tumia.
 Anatakiwa  kujua  kama  dawa  anayo  tumia   inashusha  sukari  kwa  taratibu  au  inashusha  kwa  haraka.


Kwa  dawa  za  asili  zinazo  shusha  sukari  kwa  taratibu  mhusika  anaweza  kuwa  anatumia  dawa  usiku  na  mchana  na  kwenda  kupima  sukari  kila  baada  ya  wiki  ili  kujua  sukari yake  imepungua  kwa  kiasi  gani. 

Hizi  hazina  risk sana  kwa  sababu  zinashusha  sukari kwa  taratibu. Mhusika  kulingana  na  kiwango  cha  sukari  alicho  nacho  anaweza  kutumia  dawa  zilizopo  katika  kundi  hili kwa  muda  wa  kuanzia  mwezi  mmoja  hadi  miezi  mitatu  kulingana  na  dawa  husika.

Lakini  kwa  dawa  zinazo  shusha  sukari  kwa haraka, mhusika  anatakiwa  kuwa  karibu sana  na  kipimo  cha  sukari  ( Blood Sugar   Test  Kit )
Hii  ni  kwa  sababu  mhusika  anatakiwa  kuwa  anapima  sukari  yake  kila  siku.   Yani akitumia  dawa  usiku  basi  asubuhi  atatakiwa  kupima  sukari  yake  ili  kujua  imeshuka  kwa  kiwango  gani  na  akitumia  asubuhi  anatakiwa  kupima  tena  usiku  ili  kujua  sukari  imeshuka  kwa  kiwango  gani.


Kwa  sababu  asipo  fanya  hivyo  sukari  inaweza  kushuka  sana   ( below  normal ) jambo  linalo weza  kumsababishia  madhara makubwa  kwa  sababu  sukari  below  normal  ni  hatari  sana  kwa  mhusika.


Asubuhi   kabla  haujala  chakula  sukari  inatakiwa  kuwa  4  na  baada  ya  kula  chakula  inatakiwa  isizidi  7.  Sasa  akitumia  dawa  zikashusha  sana  sukari  yake  ni risk  kubwa  sana  kwake  kwa  sababu  sukari ikiwa  chini  ni  hatari  sana.
Lakini  akiwa  na  kipimo  cha  sukari ni  rahisi  kwake kujua  sukari  imefikia  kiwango  gani jambo  ambalo  litamuepusha  na  kuendelea  kutumia  dawa  ya  kushusha  sukari  wakati  sukari  yake  tayari  imekuwa  normal.
Ndio  maana  tunasema  mtu  anae tumia  dawa za  asili  kwa  ajili  ya  kushusha  sukari  anatakiwa  ajue  dawa  anazo  tumia  zipo  kwenye  kundi  gani.



Je  ni  zile  zinazo  shusha taratibu  au zile  zinazo  shusha  kwa  haraka sana ?
Kama  anatumia   dawa  zinazo  shusha  kwa  haraka  sana  basi  anatakiwa  kuwa na  kifaa  cha  kupima  sukari ( Blood Sugar  Test  Kit )  ili awe  anapima  sukari  kila  siku  kujua  sukari  yake  imeshuka  kwa  kiwango   gani . 


Na  kama  hana  au  hawezi  kupata  kipimo  cha  sukari  basi  anatakiwa  kuwa  anaenda  clinic  kila  siku  kwa  ajili  ya  kupima  sukari  yake  kujua  imefikia  ngapi .
Kwa  ushauri  na  kujua  aina  ya  dawa  za  asili  za  sukari  ambazo  zinashusha  sukari  kwa  haraka  pamoja  na  zile  ambazo  zinashusha  sukari  kwa  taratibu, wasiliana  na  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  kwa  namba  0693  005 189.
Tutembelee  kwenye  tovuti yetu : www.neemaherbalist.blogspot.com



Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA