Skip to main content

Posts

Showing posts from 2025

Nilianza Punyeto 2004 nikaacha 2024. Na haya ndio masahibu niliyo kutana nayo kwenye mahusiano

Kisa hiki kinatoka kwenye kitabu chetu kiitwacho " WANAUME WANAO FANYA PUNYETO NDANI YA NDOA" na kina muhusu jamaa aitwae " Mashoto" ( Sio jina lake halisi)  Kisome kisa hiki kama ifuatavyo: 👇👇 Jina langu naitwa Mashoto nimezaliwa mwaka 1985. Nianze kuelezea story yangu moja kwa moja.  Kwa bahati mbaya Sana nilianza kujihusisha na ngono nikiwa bado mdogo Sana. Nadhani ilikuwa ni kwa sababu kuu mbili; Ya kwanza kwa sababu niliwahi sana kubalehe na sababu ya pili nilikuwa nina umbo kubwa ikilinganishwa na umri wangu.  Nikiwa nna miaka 15 nilionekana kama mtu mwenye miaka 18 au 20 hivi. Wasichana wa umri wangu niliwaona watoto.  Nakumbuka hadi tarehe ilikuwa tarehe 18 Novemba 2000.  Nilikuwa tayari nimeshafanya mitihani yangu ya taifa ya kidato cha pili, na hapo nilikuwa nasubiri majibu ya kuingia kidato cha tatu.  Mwanamke wa kwanza kutembea nae alikuwa Baa Medi. Kwa kumtazama alikuwa ananizidi  kama  miaka minne au mitano hivi.  Nilikua naen...

WANAUME WANAO PIGA PUNYETO NDANI YA NDOA : Ni kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathirika na tatizo la upigaji punyeto wa muda mrefu

  WANAUME WANAO PIGA PUNYETO   NDANI   YA   NDOA :   Kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa hukuwa wakiwa wameathirika na tatizo la kupiga punyeto kwa muda mrefu.     Sura Ya Kwanza : NILIFANYA PUNYETO KWA MUDA WA MIAKA 20 KUANZIA 2004 NIKAJA KUACHA 2024.   Kitabu hiki kinahusu masimulizi kutoka kwa wanaume wapatao arobaini ( 40) kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na visiwani ambao waliingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathiriwa na tatizo la upigaji punyeto kwa muda mrefu.   Ni kitabu chenye mafunzo mazito sana kwa wanaume na kwa jamii nzima kwa ujumla. Wewe kijana ambae bado unajihusisha na suala la upigaji punyeto, unalo jambo la kujifunza ndani ya kitabu hiki, na wewe   mwanaume ambae upo kwenye ndoa lakini bado unajihusisha na punyeto, unacho kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa. Na kwako wewe mwanaume, ambae ume kuwa addicted na masturbation, unatamani kuacha laki...