Skip to main content

Posts

Showing posts from 2025

WANAUME WANAO PIGA PUNYETO NDANI YA NDOA : Ni kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathirika na tatizo la upigaji punyeto wa muda mrefu

  WANAUME WANAO PIGA PUNYETO   NDANI   YA   NDOA :   Kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa hukuwa wakiwa wameathirika na tatizo la kupiga punyeto kwa muda mrefu.     Sura Ya Kwanza : NILIFANYA PUNYETO KWA MUDA WA MIAKA 20 KUANZIA 2004 NIKAJA KUACHA 2024.   Kitabu hiki kinahusu masimulizi kutoka kwa wanaume wapatao arobaini ( 40) kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na visiwani ambao waliingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathiriwa na tatizo la upigaji punyeto kwa muda mrefu.   Ni kitabu chenye mafunzo mazito sana kwa wanaume na kwa jamii nzima kwa ujumla. Wewe kijana ambae bado unajihusisha na suala la upigaji punyeto, unalo jambo la kujifunza ndani ya kitabu hiki, na wewe   mwanaume ambae upo kwenye ndoa lakini bado unajihusisha na punyeto, unacho kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa. Na kwako wewe mwanaume, ambae ume kuwa addicted na masturbation, unatamani kuacha laki...

HUDUMA YA WAPISHI WA VYAKULA MAALUMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU YA KIAFYA

 Habari zenu wapendwa wateja wetu ambao mmekuwa mkitusapoti kwa miaka kumi na nne sasa. Neema Herbalist & Nutritional Food Services tunapenda kuwataarifu kwamba, sasa huduma ya wapishi wa vyakula maalumu ( Special Diet) kwa watu wenye mahitaji maalumu ya kiafya inapatikana tena.  Kama ilivyo siku zote, wapishi tulio nao wanaweza kupika vyakula maalumu vya aina zifuatazo:  1. Lishe maalumu kwa watu wenye shida ya vidonda vya tumbo.  2. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la presha na kisukari.  3. Lishe maalumu kwa watu walio kinda sana na ambao wanataka kunenepa( Kurejesha afya zao)  4. Lishe maalumu kwa wanaume wenye tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.  5. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la kiriba tumbo( kitambi) na uzito ulio pitiliza ambao wanataka kuondokana na tatizo la kitambi pamoja na kupunguza uzito.  Utaratibu wetu ni ule ule, mpishi ana toa huduma hii ya upishi eidha ofisini kwako ama nyumbani kwako.  Kama unah...