Skip to main content

Documentary : JINSI YA KUONDOA KITAMBI, MANYAMA UZEMBE, NA KUPUNGUZA UNENE NA UZITO KWA KUTUMIA DAWA ASILI YA " MKATAA KITAMBI"

 




Ni documentary inayo fundisha na kuelekeza kwa vitendo : 


1. Jinsi ya kuondoa KITAMBI na kufanya tumbo lako kuwa flat kabisa. 


2. Jinsi ya kuondoa manyama Uzembe. 


3. Jinsi ya kupunguza unene na uzito. 



Kwa kutumia :


1. Dawa ASILI ya MKATAA KITAMBI. ( Inakuwa pamoja na unga wa uji wake maalumu) 

2. Ndizi mbichi za kupikwa ( Kabla ta kupikwa, zinaandaliwa kwa utaratibu maalumu na zinapikwa kwa utaratibu maalumu) 


3. Maharage. 


4. Karanga za kukaanga. 


5. Pamoja na nazi. 



Ndani ya documentary hii, wataonekana washiriki mbalimbali wenye vitambi vilivyo pitiliza, unene na uzito mkubwa kupita kiasi,  wakiwa wanatumia dawa ASILI ya KITAMBI ( Na uji wake) pamoja na hizo ndizi mbichi za kupikwa, maharage ya kupikwa, karanga za kukaanga pamoja na nazi. 


Ndani ya siku ishirini na nane, washiriki wote kwenye documentary hii ambao wote ni wa kazi wa Dar Es Salaam, wataonekana wakiwa vitambi vyao vimeondoka na matumbo Yao kuwa flat kabisa, manyama Uzembe yote yataondoka, unene na uzito utapungua kwa kiwango cha juu Sana. 


Documentary hii itarushwa hewani kupitia account yetu ya You Tube. 


Na itaanza kurushwa tarehe 05 December 2025.

Kwa maelezo zaidi KUHUSU documentary hii, endelea kututembelea kila siku hapa hapa kwenye blogu yetu. 


Simu : WHATSAPP: 0745 - 433 595.

AU Kawaida : 0766 - 53 83 84.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...