Skip to main content

KITABU! KITABU! KITABU! JINSI NDIZI MBICHI ZINAVYO TUMIKA KWENYE LISHE YA KUONDOA KITAMBI



Kitabu hiki kitatoka rasmi tarehe 05 DECEMBER mwaka huu 2025. Kinaelezea namna NDIZI MBIVU, zinavyo tumika pamoja na MAHARAGE YA KUPIKA,  KARANGA ZA KUKAANGWA, NAZI pamoja na DAWA YA ASILI IITWAYO MKATAA KITAMBI katika kuondoa KITAMBI na kufanya tumbo kuwa flat kabisa. 


Kwa combination hii ya : 


1. NDIZI MBICHI ZA KUPIKA

2. MAHARAGE

3. KARANGA ZA KUKAANGWA 

4. NAZI 


5. Na kikubwa zaidi : DAWA ASILI IITWAYO MKATAA KITAMBI,  Kiriba tumbo ( KITAMBI) ulicho nacho kitaondoka chote na kufanya tumbo lako kuwa flat kabisa ndani ya siku 28.


NDIZI zinaandaliwa kwa siku moja na kesho yake ndio zinapikwa kwa kufuata utaratibu maalumu ambao ume elezewa ndani ya kitabu. 


MAHARAGE yanapikwa. KARANGA zinakaangwa. Nazi inatumika kwa utaratibu maalumu pia ambao ume elezewa ndani ya kitabu chetu. 

Na dawa ya MKATAA KITAMBI inakuwa pamoja na UNGA WAKE MAALUMU AMBAO UNATUMIKA KAMA UJI. 


Yani kuna kuwa na dawa ya MKATAA KITAMBI  halafu pili, kuna kuwa na UNGA MAALUMU WA UJI ambao unatumika pamoja na dawa ya MKATAA KITAMBI pamoja na hizo NDIZI. 


Dozi hii inatumika kwa utaratibu wa aina mbili kwa pamoja.


 Zoezi namba moja la matumizi ya dawa hii linafanyika mara moja tu kwa wiki kila wiki kwa wiki nne mfululizo. 


Kwa maana ya kwamba, wiki ya kwanza linafanyika mara moja, wiki ya pili linafanyika mara moja, wiki ya tatu linafanyika mara moja na wiki ya nne linafanyika mara moja. 

Zoezi namba mbili linafanyika mara moja kwa siku kila siku kwa muda wa siku 21 mfululizo. 


Kwa dozi hii, KITAMBI chako kitaondoka na tumbo lako litakuwa flat kabisa bdani ya hizo siku ishirini na nane, lehemu mbaya ( Bad Cholesterol) itaondoka, sumu  itatoka mwilini, nyama uzembe zitaondoka na hautoitwa tena mnene.


Dawa hii ya MKATAA KITAMBI ni ya ASILI kabisa ambayo haina kemikali yoyote ya viwandani. Imetoka porini moja kwa moja, ikakaushwa juani na kusagwa mashineni. 


Na UNGA wa uji huu wa MKATAA KITAMBI umekuwa blended kwa kutumia dawa hii ya mkataa KITAMBI pamoja na nafaka mbali mbali. 

Dawa hii ya MKATAA KITAMBI inauzwa SHILINGI ELFU HAMSINI TU na inakuja pamoja na UNGA wa uji wake. 

Kwa mahitaji  ya dawa yako ya MKATAA KITAMBI pamoja na UNGA wake, unaweza kufika kwetu. 





Tunapatikana Chanika Mwisho jijini Dar Es Salaam ( Zamani tulikuwa Ubungo and now tumehamia Chanika Mwisho) 


Kama huna nafasi ya kuja ofisini kwetu Chanika Mwisho, tunayo huduma ya kukuletea dawa ofisini kwako au nyumbani kwako ( HOME & OFFICE DELIVERY)  popote pale ulipo ndani ya jiji la Dar Es Salaam. 


Na kwako wewe ambae upo Zanzibar, tuna kutumia dawa kwa njia ya boat. 


Na kwako wewe ulie nje ya mkoa wa Dar Es Salaam, tuna kutumia dawa kwa njia ya bus. 

Na kwako wewe ulie Mombasa au Nairobi, tuna kutumia dawa kwa njia ya bus. 


Namba zetu za Simu ni : 0766 - 53 83 84 


Au WHATSAPP: 0745 - 433 595.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...