Skip to main content

MKATABAWAZIRI; DAWA ASILIA INAYO TIBU MARADHI YA BAWAZIRI KWA NAMNA YA KIPEKEE

Mkomavikali; Huu ni  miongoni  mwa  mimea  michache  inayo  weza  kutumika  kama  tiba  dhidi  ya  maradhi  ya  bawaziri,


Kutokwa  na  kinyama  ama  uvimbe  kwenye sehemu  ya  haja  kubwa  ni  tatizo  linalo  wakabili mamilioni  ya watu  duniani.

Tatizo  hujulikana  kwa  Kiswahili  kama  Bwaziri,  katika  lugha  za kisukuma  na  kinyamwezi  huitwa  “Man’gondi” na  katika  lugha  ya  kiingereza  hujulikana  kama  Hemorrhoids.
Ufwambo. Moja  kati  ya  dawa  zinazo  tumika  katika  tiba  dhidi ya  maradhi ya  bawaziri. Majani  ya  luwambo  yanaweza  kutumika  kutengeneza  sukari  ya  asili, kwa  sababu  ni  matamu  kama  sukari.


AINA  ZA  BAWAZIRI : Kwa mujibu  wa  tafiti mbalimbali  za  kitaalamu, zipo  bawaziri  za  aina  mbili, bawaziri  ya  ndani  na  bawaziri  ya  nje. Kwa  kawaida  mtu  huweza  kuwa  na  moja  wapo kati  ya  aina  hizo   na  wakati  mwingine, mtu  mmoja  anaweza  kuwa  na  bawaziri  za  aina  zote  mbili  kwa  wakati  mmoja.
Ufwambo  ukiwa  umestawi  porini


NINI  HUSABABISHA  BAWAZIRI ? 

Mchicha pori

Mchicha  pori  au  Mnunganunga. Mizizi  ya  mmea  hutumika  kama  sehemu  ya  tiba  ya  maradhi  ya  bawaziri.

Mpaka   sasa  wataalamu  bado  hawaja  baini  chanzo  halisi  cha  tatizo  la  bawaziri. Hata  hivyo  tafiti  mbalimbali za  kitaalamu  zinabainisha  mambo  kadhaa  yanayo  changia  kutokea  kwa  tatizo  la  bawaziri.
Mambo  hayo  ni  pamoja  na :

i.                   Kukosa  choo  kwa  muda  mrefu
ii.                Kuharisha  kwa  muda  mrefu
iii.             Kukaa  kwenye  choo  kwa  muda  mrefu
iv.             Kukaa  kwa  muda  mrefu
v.                Unene  na  uzito  kupita  kiasi: Tafiti  mbalimbali  zina onyesha  kuwa, asilimia  kubwa  ya  watu wenye  tatizo  la  unene  na  uzito  ulio zidi, huwa  katika  hatari  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  bawaziri.

vi.             Ujauzito :  Tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu  zinaonyesha  kuwa, asilimia  kubwa  ya  wanawake  wajawazito  huwa  katika  hatari  ya  kupatwa  na  tatizo  la  bawaziri, sababu  ikiwa  ni  kuongezeka  kwa  shinikizo  ndani  ya  mfuko  wa  uzazi.

vii.          Kutofanya  mazoezi  kwa  muda  mrefu

viii.       Kutotumia  vyakula  vyenye  nyuzi nyuzi

ix.             Sababu za  kinasaba : Tafiti  zinaonyesha  kuwa, wapo  watu wanao  patwa  na  bawaziri, kwa  sababu  za  kijenetiki

NINI  DALILI  ZA  BAWAZIRI ?

Dalili  kuu  za  bawaziri  ni  pamoja  na  kutokwa  na  kinyama  ama  uvimbe  kwenye  sehemu  ya  haja  kubwa, kukosa  choo, kupatwa  maumivu makali  sana  wakati  wa  kujisaidia  au wakati  unatembea  na  wakati  mwingine  maumivu  huendelea  hata  ukiwa haupo katika  matendo  yaliyo tajwa   hapo  juu. Dalili  nyingine  ni  pamoja na  kuhara  damu  ama  kutoa  kinyesi  chenye  damu.

JINSI  YA  KUJIKINGA  USIPATWE  NA  BAWAZIRI :

Kujikinga  usipatwe  na  bawaziri, unashauriwa
i.                   Kujenga  tabia  ya  kuwa  unakula  vyakula vyenye  nyuzi nyuzi ( fibre) kwa wingi
ii.                kula  matunda  kwa wingi
iii.             Kunywa  maji mengi
iv.             Fanya  mazoezi  ya  mwili  mara  kwa  mara
v.                Usikae   maliwatoni kwa  muda  mrefu
vi.             Usiruhusu  unene  na  uzito  kubwa.

TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  BAWAZIRI :
Zipo  dawa   mbalimbali  za  asilia  ambazo  zina  tibu  na  kuponyesha  kabisa  maradhi  ya  bawaziri.  Baadhi  ya dawa  hizo  ni  pamoja  na Lufwambo  ama Ufwambo,  Mkomavikali, Nun’ganun’ga  au  Mchicha  Pori,  Zumanguku, Luwawa  na  Mkatabawaziri.

Kati  ya  dawa  zilizo  orodheshwa  hapo  juu, dawa  ya  Mkatabwaziri inakubalika  zaidi  kwa  sababu  kuu  mbili, kwanza  ni  ufanisi  wake  katika kutibu  maradhi  ya  bawaziri  na  pili  ni  namna inavyo  tumika  katika  tiba  ya  bawaziri.

Wakati  dawa  nyingine  za  kutibu  maradhi  ya  bawaziri, zinatumika  kwa  mgonjwa  kunywa  au  kupaka.  Mkatabawaziri  yenyewe  inatumika  kwa  namna  ya  kipekee  sana.

JINSI  MKATABAWAZIRI  INAVYO  TUMIKA  KATIKA  TIBA  YA  MARADHI  YA  BAWAZIRI.
Mgonjwa  anatumia  kunywa  halafu  anatumia  kujifukiza  mvuke  wa dawa  ya  mkatabawaziri.  Katika  kujifukiza, dawa  hii  huchemshwa  kisha  huwekwa  kwenye  ndoo halafu  mgonjwa  anakalia  juu  ya  ndoo  ili  mvuke  wa  dawa  hii  uweze  kufika  kwenye  sehemu  iliyo  athirika  ( sehemu  yenye  bawaziri ).

Zoezi  hili  hufanyika  mara  mbili  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja   mfululizo.

Ufanisi  wa  tiba  hii  ni  mkubwa  sana. Mgonjwa  huanza  kuona  mabadiliko  ndani  ya  siku  saba  na  baada  ya  siku  ishirini  na  moja  tatizo  la  bawaziri  linakuwa  limekwisha  kabisa  na  mgonjwa  anakuwa  amepona  kabisa  tatizo  la  bawaziri.

Tiba  hii  imemsaidia  na  kumponyesha  kila  alie  itumia. Kama  umesumbuliwa  na  maradhi  ya  bawaziri  kwa  muda  mrefu  na  umehanganika  kutafuta  tiba  bila  mafanikio, basi  jaribu  kutumia  tiba  ya  Mkatabawaziri, ili uweze  kuondokana  na mateso  ya  tatizo  la  bawaziri.

JINSI  DAWA  ASILIA  YA  MKATABAWAZIRI  INAVYO PATIKANA.

Kupata  dawa  ya  Mkatabawaziri, fika  katika  duka  la  NEEMA  HERBALIST.
TUNAPATIKANA UBUNGO  JIJINI  DAR  ES SALAAM,  JIRANI  NA  SHULE YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING, NYUMA  YA JENGO  LA  UBUNGO  PLAZA.
Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  0766  53 83  84.

Kwa  wateja  waliopo  jijini  Dar  Es  Salaam, ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  dukani kwetu  Ubungo, tunayo  huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( HOME & OFFICE  DELIVERY )
Kwa wateja  waliopo  mikoani , tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  mabasi  mbalimbali.

Kwa  wateja  waliopo  Zanzibar, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  boti.
Kwa  wateja  waliopo  NAIROBI na  MOMBASA , tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri wa  magari mbalimbali.
Na  kwa  wateja  waliopo  UGHAIBUNI, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  au  DHL.

Na  kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  tiba mbalimbali  za  asili, tutembelee  kila  siku  katika  blogu  yetu:



Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA