Skip to main content

Diandra Forrest, mwanamitindo anaetumia fani ya mitindo kuielimisha jamii yake kuhusu changamoto wanazo kutana nazo albino.

Diandra Forrest
Diandra  Forest




Anafahamika  kwa  jina  la  Diandra  Forest. Mwanamitindo  kutoka  nchini  Marekani  ambae  ameonyesha  uwezo  wa  hali  ya  juu  katika  tasnia  ya  mitindo  nchini  Marekani  na  duniani  kwa  ujumla.  Fahamu  zaidi  kuhusu  maisha  ya  mwanamitindo  huyu  kupitia  maelezo  hapo  chini.  PICHA  NA  MAELEZO  KWA  HISANI  YA  MTANDAO  WA BORAPANDA.COM

============================================

Model and Actress

Diandra Forrest is an African-American model and actress. She is the first female model with albinism to be signed to a major modelling agency. Her striking beauty has caught the attention of many magazines and she has walked in numerous international fashion shows. Her passion for art and creativity has also drawn her into the world of acting.
Diandra Forrest

Early Years

I realised I had albinism at the age of nine. I grew up in a family of five children, in which only my younger brother and I had the condition. As a child, I often felt out of place.
I had neighbourhood friends who asked my older brother if I was adopted. In school, or even on the train with my mum, there would be parents, adults, who stared at my brother and me and laughed at us. I didn’t understand why.

New Found Confidence

It is not easy being a person with albinism because of the lack of understanding of what the condition is, even in the modelling industry where I have been working for the past few years.
People with albinism are looked at as something that is maybe extra-terrestrial, an odd beauty, not just a regular beauty, whatever that is. It can be fun and entertaining but it should not be a freak show.
Over the years, I have found my confidence, as a person with albinism, as just a woman, so that sort of thing does not bother me anymore.
Diandra Forrest
Diandra Forrest

Role Models

But I still hope for change: for children with albinism to know their beauty, and for their parents to instil that confidence in them.
I have always wanted to undertake a kind of ‘Big brother’, ‘Big Sister’ programme to mentor younger children with albinism, and to help their parents understand the condition and how it affects their children physically and emotionally.
Growing up, I would have loved to have someone older around who had albinism so I could see what I was going to look like when I grew up, just to motivate me, and who could understand some of the things I was going through.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA