Ni documentary inayo fundisha na kuelekeza kwa vitendo : 1. Jinsi ya kuondoa KITAMBI na kufanya tumbo lako kuwa flat kabisa. 2. Jinsi ya kuondoa manyama Uzembe. 3. Jinsi ya kupunguza unene na uzito. Kwa kutumia : 1. Dawa ASILI ya MKATAA KITAMBI. ( Inakuwa pamoja na unga wa uji wake maalumu) 2. Ndizi mbichi za kupikwa ( Kabla ta kupikwa, zinaandaliwa kwa utaratibu maalumu na zinapikwa kwa utaratibu maalumu) 3. Maharage. 4. Karanga za kukaanga. 5. Pamoja na nazi. Ndani ya documentary hii, wataonekana washiriki mbalimbali wenye vitambi vilivyo pitiliza, unene na uzito mkubwa kupita kiasi, wakiwa wanatumia dawa ASILI ya KITAMBI ( Na uji wake) pamoja na hizo ndizi mbichi za kupikwa, maharage ya kupikwa, karanga za kukaanga pamoja na nazi. Ndani ya siku ishirini na nane, washiriki wote kwenye documentary hii ambao wote ni wa kazi wa Dar Es Salaam, wataonekana wakiwa vitambi vyao vimeondoka na matumbo Yao kuwa flat kabisa...
Kitabu hiki kitatoka rasmi tarehe 05 DECEMBER mwaka huu 2025. Kinaelezea namna NDIZI MBIVU, zinavyo tumika pamoja na MAHARAGE YA KUPIKA, KARANGA ZA KUKAANGWA, NAZI pamoja na DAWA YA ASILI IITWAYO MKATAA KITAMBI katika kuondoa KITAMBI na kufanya tumbo kuwa flat kabisa. Kwa combination hii ya : 1. NDIZI MBICHI ZA KUPIKA 2. MAHARAGE 3. KARANGA ZA KUKAANGWA 4. NAZI 5. Na kikubwa zaidi : DAWA ASILI IITWAYO MKATAA KITAMBI, Kiriba tumbo ( KITAMBI) ulicho nacho kitaondoka chote na kufanya tumbo lako kuwa flat kabisa ndani ya siku 28. NDIZI zinaandaliwa kwa siku moja na kesho yake ndio zinapikwa kwa kufuata utaratibu maalumu ambao ume elezewa ndani ya kitabu. MAHARAGE yanapikwa. KARANGA zinakaangwa. Nazi inatumika kwa utaratibu maalumu pia ambao ume elezewa ndani ya kitabu chetu. Na dawa ya MKATAA KITAMBI inakuwa pamoja na UNGA WAKE MAALUMU AMBAO UNATUMIKA KAMA UJI. Yani kuna kuwa na dawa ya MKATAA KITAMBI halafu pili, kuna kuwa na UNGA...