Skip to main content

Posts

WANAUME WANAO PIGA PUNYETO NDANI YA NDOA : Ni kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathirika na tatizo la upigaji punyeto wa muda mrefu

  WANAUME WANAO PIGA PUNYETO   NDANI   YA   NDOA :   Kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa hukuwa wakiwa wameathirika na tatizo la kupiga punyeto kwa muda mrefu.     Sura Ya Kwanza : NILIFANYA PUNYETO KWA MUDA WA MIAKA 20 KUANZIA 2004 NIKAJA KUACHA 2024.   Kitabu hiki kinahusu masimulizi kutoka kwa wanaume wapatao arobaini ( 40) kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na visiwani ambao waliingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathiriwa na tatizo la upigaji punyeto kwa muda mrefu.   Ni kitabu chenye mafunzo mazito sana kwa wanaume na kwa jamii nzima kwa ujumla. Wewe kijana ambae bado unajihusisha na suala la upigaji punyeto, unalo jambo la kujifunza ndani ya kitabu hiki, na wewe   mwanaume ambae upo kwenye ndoa lakini bado unajihusisha na punyeto, unacho kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa. Na kwako wewe mwanaume, ambae ume kuwa addicted na masturbation, unatamani kuacha laki...
Recent posts

HUDUMA YA WAPISHI WA VYAKULA MAALUMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUMU YA KIAFYA

 Habari zenu wapendwa wateja wetu ambao mmekuwa mkitusapoti kwa miaka kumi na nne sasa. Neema Herbalist & Nutritional Food Services tunapenda kuwataarifu kwamba, sasa huduma ya wapishi wa vyakula maalumu ( Special Diet) kwa watu wenye mahitaji maalumu ya kiafya inapatikana tena.  Kama ilivyo siku zote, wapishi tulio nao wanaweza kupika vyakula maalumu vya aina zifuatazo:  1. Lishe maalumu kwa watu wenye shida ya vidonda vya tumbo.  2. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la presha na kisukari.  3. Lishe maalumu kwa watu walio kinda sana na ambao wanataka kunenepa( Kurejesha afya zao)  4. Lishe maalumu kwa wanaume wenye tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.  5. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la kiriba tumbo( kitambi) na uzito ulio pitiliza ambao wanataka kuondokana na tatizo la kitambi pamoja na kupunguza uzito.  Utaratibu wetu ni ule ule, mpishi ana toa huduma hii ya upishi eidha ofisini kwako ama nyumbani kwako.  Kama unah...

JINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA LISHE MAALUMU KWA AJILI YA KUTIBU NA KUPONYESHA KAB ISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

                                                                                 MAHITAJI:   1.    Uji Dume 2.    Dawa asili ya Jiko   Uji Dume ni nini ? Uji   Dume ni uji maalumu unao tumika pamoja na dawa asilia iitwayo Jiko. Dawa asilia iitwayo jiko kama mjuavyo   watu wengi, ni dawa ya   asili ambayo ina tibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.   Uji   Dume unatengenezwa   kwa mchanganyiko wa nafaka za aina saba pamoja na ya aina tatu. Vyote kwa pamoja husagwa kupata unga   ambao ndio hutumika kupikia uji huu ambao   hutumika pamoja na dawa asilia   ya   jiko   katika kutibu na kuponyesha kabisa tatizo la uksoefu wa nguvu za kiume.   MAANDALIZI...
  UJUE UHUSIANO KATI YA DAMU NA TATIZO LA UKOSEFU NA/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya DAMU na tatizo la ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume.   Kujua zaidi kuhusu uhusiano uliopo kati ya DAMU na tatizo la ukosefu/ama upungufu wa nguvu za kiume, tembelea :   https://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html

UHUSIANO KATI YA PUNYETO NA KUSINYAA/ KUDUMAA KWA MAUMBILE YA KIUME

  Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.   Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.   Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uz...

JINSI YA KUONDOA VINYWELEO VYA MIGUUNI, MIKONONI NA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI KWA KUTUMIA DAWA ZA MIMEA

  Kuwa na vinyweleo   vingi kwenye miguu, mikononi na sehemu mbalimbali za mwilini ni jambo linalo wakwaza watu wengi   hasahasa   wanawake.   Je wewe ni miongoni mwa watu wenye tatizo la vinyweleo vingi ? Unataka kuondoa vinyweleo vyako kwa njia za asili ? Umejaribu   njia nyingi ili kumaliza tatizo lako la vinyweleo   bila kupata mafanikio yoyote? Unataka   kupata tiba ya uhakika ya kumaliza tatizo lako? Kama jibu lako ni NDIO basi hii ni HABARI NJEMA SANA. Neema Herbalist ni duka la kuuza dawa mbalimbali za mimea.   Tunayo furaha kukufahamisha kwamba zipo dawa mbalimbali za mimea ambazo zinaondoa na kumaliza kabisa tatizola vinyweleo kwenye miguu, kwenye mikono na sehemu mbalimbali za mwili. Dawa hizo ni za mimea ya asili kabisa ( pure herbal) ambazo hazijapita kiwandani ( hazija changanywa na kemikali za viwandani) na zinaondoa na kumaliza tatizo la vinyweleo moja kwa moja.   Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba zetu za...

UHUSIANO KATI YA MSONGO WA MAWAZO NA TATIZO LA KUKONDA

        Kuna idadi kubwa ya watu ambao wana kabiliwa na tatizo la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, kuwa na uzito mdogo kupita kiasi ni jambo linalo weza kuhatarisha afya ya mhusika Kama ilivyo kwa suala la kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi, suala la kuwa na uzito mdogo kupita kiasi pia lina madhara mengi katika afya ya binadamu. MADHARA YA KUWA NA UZITO MDOGO KUPITA KIASI ( KUKONDA NA KUDHOOFU MWILI ) Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, yafuatayo ni madhara ya kiafya yanayo weza kumpata mtu mwenye tatizo la uzito mdogo kupita kiasi. 1. Kupungua na kudhoofika kwa kinga ya mwili 2. Kuwa katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa ya mifupa kwa sababu mwili hushindwa kupokea na kutengeneza virutubisho muhimu vinavyo hitajika katika kuimarisha afya ya mifupa 3. Kuwa na nywele zisizo na afya ( Kinyonyoki) 4. Kuwa na ngozi isiyo na afya 5. Kuugua mara kwa mara kutokana na kuwa na kinga...