Skip to main content

Posts

KITABU! KITABU! KITABU! JINSI NDIZI MBICHI ZINAVYO TUMIKA KWENYE LISHE YA KUONDOA KITAMBI

Kitabu hiki kitatoka rasmi tarehe 05 DECEMBER mwaka huu 2025. Kinaelezea namna NDIZI MBIVU, zinavyo tumika pamoja na MAHARAGE YA KUPIKA,  KARANGA ZA KUKAANGWA, NAZI pamoja na DAWA YA ASILI IITWAYO MKATAA KITAMBI katika kuondoa KITAMBI na kufanya tumbo kuwa flat kabisa.  Kwa combination hii ya :  1. NDIZI MBICHI ZA KUPIKA 2. MAHARAGE 3. KARANGA ZA KUKAANGWA  4. NAZI  5. Na kikubwa zaidi : DAWA ASILI IITWAYO MKATAA KITAMBI,  Kiriba tumbo ( KITAMBI) ulicho nacho kitaondoka chote na kufanya tumbo lako kuwa flat kabisa ndani ya siku 28. NDIZI zinaandaliwa kwa siku moja na kesho yake ndio zinapikwa kwa kufuata utaratibu maalumu ambao ume elezewa ndani ya kitabu.  MAHARAGE yanapikwa. KARANGA zinakaangwa. Nazi inatumika kwa utaratibu maalumu pia ambao ume elezewa ndani ya kitabu chetu.  Na dawa ya MKATAA KITAMBI inakuwa pamoja na UNGA WAKE MAALUMU AMBAO UNATUMIKA KAMA UJI.  Yani kuna kuwa na dawa ya MKATAA KITAMBI  halafu pili, kuna kuwa na UNGA...
Recent posts

TATIZO LA UUME KWENDA UPANDE: CHANZO CHAKE NA TIBA YAKE

Kwa ufupi kabisa tafsiri ya kisayansi ya tatizo la uume kwenda upande ni kwamba kwenye sehemu ambayo uume umepinda kuna uvimbe.  Uvimbe huu unatokana na mafuta ambayo yameganda na kutengeneza kitu kama sponji. Matokeo yake ndio hivyo uume unapinda. Jambo hili husababisha tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume kwa mhusika.  Mwanaume mwenye tatizo uume ulio pinda hawezi kuwa na nguvu za kiume sawa sawa kwa sababu huo uvimbe huzuia damu kutiririka kwa kasi yake kwenda kwenye misuli ya uume lakini pili tatizo hili huathiri utendaji kazi wa misuli ya uume na kuifanya kuwa dhaifu kama misuli ya mtu alie athirika na masterbation.  SULUHISHO LA TATIZO LA UUME KWENDA UPANDE.  SULUHISHO la tatizo la uume kwenda upande, ni kwa mhusika kutumia dawa ambayo itaenda kuyeyusha huo uvimbe wa mafuta kwenye uume.  Kama una tatizo la uume kwenda upande na umehangaika kwa muda mrefu bila kupata suluhisho la tatizo lako, habari njema kwako ni kwamba, tunayo dawa nzuri ya asi...

Nilianza Punyeto 2004 nikaacha 2024. Na haya ndio masahibu niliyo kutana nayo kwenye mahusiano

Kisa hiki kinatoka kwenye kitabu chetu kiitwacho " WANAUME WANAO FANYA PUNYETO NDANI YA NDOA" na kina muhusu jamaa aitwae " Mashoto" ( Sio jina lake halisi)  Kisome kisa hiki kama ifuatavyo: 👇👇 Jina langu naitwa Mashoto nimezaliwa mwaka 1985. Nianze kuelezea story yangu moja kwa moja.  Kwa bahati mbaya Sana nilianza kujihusisha na ngono nikiwa bado mdogo Sana. Nadhani ilikuwa ni kwa sababu kuu mbili; Ya kwanza kwa sababu niliwahi sana kubalehe na sababu ya pili nilikuwa nina umbo kubwa ikilinganishwa na umri wangu.  Nikiwa nna miaka 15 nilionekana kama mtu mwenye miaka 18 au 20 hivi. Wasichana wa umri wangu niliwaona watoto.  Nakumbuka hadi tarehe ilikuwa tarehe 18 Novemba 2000.  Nilikuwa tayari nimeshafanya mitihani yangu ya taifa ya kidato cha pili, na hapo nilikuwa nasubiri majibu ya kuingia kidato cha tatu.  Mwanamke wa kwanza kutembea nae alikuwa Baa Medi. Kwa kumtazama alikuwa ananizidi  kama  miaka minne au mitano hivi.  Nilikua naen...

WANAUME WANAO PIGA PUNYETO NDANI YA NDOA : Ni kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathirika na tatizo la upigaji punyeto wa muda mrefu

  WANAUME WANAO PIGA PUNYETO   NDANI   YA   NDOA :   Kitabu kinacho elezea mateso mazito wanayo yapitia wanaume ambao wameingia kwenye ndoa hukuwa wakiwa wameathirika na tatizo la kupiga punyeto kwa muda mrefu.     Sura Ya Kwanza : NILIFANYA PUNYETO KWA MUDA WA MIAKA 20 KUANZIA 2004 NIKAJA KUACHA 2024.   Kitabu hiki kinahusu masimulizi kutoka kwa wanaume wapatao arobaini ( 40) kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania bara na visiwani ambao waliingia kwenye ndoa huku wakiwa tayari wameathiriwa na tatizo la upigaji punyeto kwa muda mrefu.   Ni kitabu chenye mafunzo mazito sana kwa wanaume na kwa jamii nzima kwa ujumla. Wewe kijana ambae bado unajihusisha na suala la upigaji punyeto, unalo jambo la kujifunza ndani ya kitabu hiki, na wewe   mwanaume ambae upo kwenye ndoa lakini bado unajihusisha na punyeto, unacho kitu kikubwa sana cha kujifunza hapa. Na kwako wewe mwanaume, ambae ume kuwa addicted na masturbation, unatamani kuacha laki...

JINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA LISHE MAALUMU KWA AJILI YA KUTIBU NA KUPONYESHA KAB ISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

                                                                                 MAHITAJI:   1.    Uji Dume 2.    Dawa asili ya Jiko   Uji Dume ni nini ? Uji   Dume ni uji maalumu unao tumika pamoja na dawa asilia iitwayo Jiko. Dawa asilia iitwayo jiko kama mjuavyo   watu wengi, ni dawa ya   asili ambayo ina tibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.   Uji   Dume unatengenezwa   kwa mchanganyiko wa nafaka za aina saba pamoja na ya aina tatu. Vyote kwa pamoja husagwa kupata unga   ambao ndio hutumika kupikia uji huu ambao   hutumika pamoja na dawa asilia   ya   jiko   katika kutibu na kuponyesha kabisa tatizo la uksoefu wa nguvu za kiume.   MAANDALIZI...
  UJUE UHUSIANO KATI YA DAMU NA TATIZO LA UKOSEFU NA/UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya DAMU na tatizo la ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume.   Kujua zaidi kuhusu uhusiano uliopo kati ya DAMU na tatizo la ukosefu/ama upungufu wa nguvu za kiume, tembelea :   https://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html

UHUSIANO KATI YA PUNYETO NA KUSINYAA/ KUDUMAA KWA MAUMBILE YA KIUME

  Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.   Kwa mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  huathiri  na  kuharibu  mishipa  na  misuli  ya  uume na  hivyo kusababisha  kujengeka  kwa  mafuta na  tishu  zisizo vutika  kwenye  mishipa  ya  ateri na  hivyo  kuzuia  mishipa ya  ateri  kupanuka na  kuongezeka  pamoja  na  damu  kutiririka  kwenda  kwenye  misuli  ya  uume.   Mambo  hayo  mawili yanapotokea  huathiri  uz...