Skip to main content

JIPATIE VYAKULA –LISHE MAALUMU KWA MATATIZO MBALIMBALI YA KIAFYA.






Je  unasumbuliwa  na  tatizo  au  matatizo  ya  kiafya ? unahitaji  vyakula-lishe  maalumu  kwa  tatizo  lako  la  kiafya? Kama  jibu  ni  ndio  basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako.

Neema  Herbalist  &  Nutritional  Foods  Clinic  ni  kituo  cha  tiba  asilia  na  vyakula-lishe. Tunapenda  kuwafahamisha  wateja  wetu  kuwa  sasa  tunatoa  huduma  ya  vyakula-lishe  ( Nutritional  Foods )  maalumu  kwa   watu  wanao  sumbuliwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  kama  vile :
i.                            Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.
ii.                         Tatizo  la  Presha  na  Kisukari.
iii.                     Vidonda  Vya  Tumbo.
iv.                   Tatizo  la  Pumu.
v.                      Lishe  maalumu  ya  kuondoa  mafuta  ya  mwilini, kupunguza  uzito  na  kuondoa  vitambi.
vi.                   Lishe  maalumu  kwa  wanawake  wajawazito  na  watoto.
vii.               Lishe  maalumu  kwa  wazee
viii.            Nakadhalika.

Huduma  hii  inapatikana  katika  kituo  chetu  kilichopo  katika  eneo  la  Changanyikeni  karibu  na  Chuo  Cha  Takwimu  mbele  ya  Chuo  Kikuu  Cha  Dar  Es  salaam.
Muda  wa  kazi  ni  saa  tatu  kamili  asubuhi  hadi  saa  moja  kamili  jioni  kwa  siku  za  kazi  yaani  ( Jumatatu  hadi  Ijumaa  ).
Jumamosi  ni  saa  tatu  kamili  asubuhi  hadi  saa  nane  kamili  mchana.
Jumapili   tunafungua  kwa  appointment.
Lishe  ni  tiba, usiendelee  kuteseka  bure, onana  nasi  leo, upate  suluhisho  la  tatizo  linalo  kukabili.

Kwa  maelezo  zaidi, wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  0766538384.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...