Skip to main content

DAWA ASILIA ZINAZO TIBU TATIZO LA KUTOKWA NA KINYAMA AMA UVIMBE KWENYE SEHEMU YA HAJA KUBWA.




Kutokwa  na  kinyama  ama  uvimbe  kwenye sehemu  ya  haja  kubwa  ni  tatizo  linalo  wakabili  maelfu ya watu  duniani.
Tatizo  hujulikana  kwa  Kiswahili  kama  Bwaziri,  katika  lugha  ya kisukuma  na  kinyamwezi  huitwa  “Man’gondi” na  katika  lugha  ya  kiingereza  hujulikana  kama  Hemorrhoids.
Mti  wa  ufwambo

Tunda  la  mti  wa  ufwambo.


AINA  ZA  BAWAZIRI : Kwa mujibu  wa  tafiti mbalimbali  za  kitaalamu, zipo  bawaziri  za  aina  mbili, bawaziri  ya  ndani  na  bawaziri  ya  nje. Kwa  kawaida  mtu  huweza  kuwa  na  moja  wapo kati  ya  aina  hizo   na  wakati  mwingine, mtu  mmoja  anaweza  kuwa  na  bawaziri  za  aina  zote  mbili  kwa  wakati  mmoja.


NINI  HUSABABISHA  BAWAZIRI ?
Ufwambo  ambao  bado  haujaivisha matunda
Ufwambo 



Mpaka   sasa  wataalamu  bado  hawaja  baini  chanzo  halisi  cha  tatizo  la  bawaziri. Hata  hivyo  tafiti  mbalimbali za  kitaalamu  zinabainisha  mambo  kadhaa  yanayo  changia  kutokea  kwa  tatizo  la  bawaziri.
Mambo  hayo  ni  pamoja  na :
i.                   Kukosa  choo  kwa  muda  mrefu
ii.                Kuharisha  kwa  muda  mrefu
iii.             Kukaa  kwenye  choo  kwa  muda  mrefu
iv.             Kukaa  kwa  muda  mrefu
v.                Unene  na  uzito  kupita  kiasi: Tafiti  mbalimbali  zina onyesha  kuwa, asilimia  kubwa  ya  watu wenye  tatizo  la  unene  na  uzito  ulio zidi, huwa  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  bawaziri
vi.             Ujauzito :  Tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu  zinaonyesha  kuwa, asilimia  kubwa  ya  wanawake  wajawazito  huwa  katika  hatari  ya  kupatwa  na  tatizo  la  bawaziri, sababu  ikiwa  ni  kuongezeka  kwa  shinikizo  ndani  ya  mfuko  wa  uzazi.
vii.          Kutofanya  mazoezi  kwa  muda  mrefu
viii.       Kutotumia  vyakula  vyenye  nyuzi nyuzi
ix.             Sababu za  kinasaba : Tafiti  zinaonyesha  kuwa, wapo  watu wanao  patwa  na  bawaziri, kwa  sababu  za  kijenetiki

NINI  DALILI  ZA  BAWAZIRI ?
Dalili  kuu  za  bawaziri  ni  pamoja  na  kutokwa  na  kinyama  ama  uvimbe  kwenye  sehemu  ya  haja  kubwa, kukosa  choo, kupatwa  maumivu makali  sana  wakati  wa  kujisaidia  au wakati  unatembea  na  wakati  mwingine  maumivu  huendelea  hata  ukiwa haupo katika  matendo  niliyo  yataja  hapo  juu. Dalili  nyingine  ni  pamoja na  kuhara  damu  ama  kutoa  kinyesi  chenye  damu.

JINSI  YA  KUJIKINGA  USIPATWE  NA  BAWAZIRI :
Kujikinga  usipatwe  na  bawaziri, unashauriwa
i.                   Kujenga  tabia  ya  kuwa  unakula  vyakula vyenye  nyuzi nyuzi ( fibre) kwa wingi
ii.                kula  matunda  kwa wingi
iii.             Kunywa  maji mengi
iv.             Fanya  mazoezi  ya  mwili  mara  kwa  mara
v.                Usikae   maliwatoni kwa  muda  mrefu
vi.             Usiruhusu  unene  na  uzito  kubwa.

TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  BAWAZIRI :
Zipo  tiba  mbalimbali  za  asilia  ambazo  zina  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la bawaziri
Baadhi  ya  tiba  hizo  ni  kama  ifuatavyo :
i.                   MKATABAWAZIRI : Ni tiba  ya  asili  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la bawaziri ndani  ya  siku  ishirini  na  moja. Mbali  na  kutibu  bawaziri, MKATABAWAZIRI  inatibu  pia, tatizo  la kukosa  choo  (  constipation ) , kusafisha  tumbo na  kuondoa  koletsrol mbaya  mwilini.

ii.                LUFAMBO  ama  UFWAMBO :   Huu  ni  mti  unato  tumika  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  bawaziri. Mti  huu  hutoa  matunda  yenye  rangi mbili, nyekundu  na  nyeusi.
Jinsi  ya  kutumia  ufwambo  katika  tiba  ya  bawaziri, chemsha  mizizi na / au majani  yake kasha  tumia  kunywa  asubuhi  mchana  na  jioni  kwa  siku  thelathini.  Shida  yako  itapona.  Mti  wa  ufwambo, mbali na  kutibu  tatizo  la  bawaziri,. Unatibu  pia  tatizo  la  kuharisha kusikokoma.


Mkomavikali

iii.             MKOMAVIKALI : Huu  ni  mti mwingine  ulio fanyiwa  utafiti  na  kuthibitishwa  kitaalamu  kuwa  na  uwezo  wa  kutibu  tatizo la  bawaziri.  Jinsi  ya  kutumia  mti  huu, chukua  mizizi yake   kasha  chemsha  halafu mpe mgonjwa  anywe  mara  tatu  kwa  siku  asubuhi  mcxhana  na  jioni, unaweza  pia  kuikausha  na  kuisaga  na  kasha  kuchemsha  unga unga  wake  na  kuutumia  kwa  kunywa.


Mnunganunga

iv.             NUN’GANU’NGA : Huu  ni  mti  mwingine  unato tibu  tatizo  la  bawaziri. Mbali na  kutibu  bawaziri, mti  huu  unatibu  pia tatizo  la ngiri,  maumivu  ya  tumbo  pamoja  na  minyoo  ya  tumboni.   Sehemu  ya  mti  huu  inayo  tumika  kama  tiba  ya  magonjwa  ni mizizi  pamoja  na  majani  yake.

Zomanguku  ( Mchicha Pori )

v.                ZUMANGUKU : Huu  ni mti mwingine  ambao  umethibitishwa  kuwa  na  uwezo  wa  kutibu  tatizo  la  bawaziri. Jinsi  ya  kutumia  mti  huu  kama  tiba, chemsha  majani  yake  kishe mpe  mgonjwa  anywe  mara  tatu kwa  siku  kwa  siku  thelathini.


vi.             LUWAWA :  Luwawa  hutibu   tatizo  la  bawaziri  kwa mgonjwa  kuchemsha  majani  yake  ni  kasha  kutumia  kwa  kunywa  mara  tatu kwa  siku, kwa  siku  thelathini.
HIYO  NI  BAADHI  YA  MITI  INAYO  TIBU  NA  KUPONYESHA  KABISA  TATIZO  LA  BAWAZIRI. ENDELEA  KUTEMBELEA  :   www.neemaherbalist.com    KILA  SIKU  ILI  UPAT  KUFAHAMU  KUHUSU   MITI  INAYO  TIBU  MAGOINJWA  MBALIMBALI  YANAYO  MSUMBUA  MWANADAMU.



MAKALA  HAYA  YAMELETWA  KWENU  KWA  HISANI YA  DUKA  LA  NEEMA HERBALIST. DUKA  LINALO  UZA DAWA  MBALIMBALI  ZA  ASILI.  TUNAPATIKANA UBUNGO  JIJINI  DAR  ES SALAAM,  JIRANI  NA  SHULE YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING, NYUMA  YA JENGO  LA  UBUNGO  PLAZA.
Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  0766  53 83  84.

Na  kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  tiba mbalimbali  za  asili, tutembelee  kila  siku  katika  blogu  yetu:

Upate  kujua  mambo  mbalimbali  kama  vile :

1.    JINSI  SUALA  LA  UPIGAJI PUNYETO  LINAVYO SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
2.    JINSI SUALA  LA  KITAMBI, UNENE  NA  UZIO ULIO  ZIDI, LINAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA KIUME
3.    UHUSIANO  ULIOPO  KATI  YA  TATIZO  LA NGUVU  ZA  KIUME  NA  MAGONJWA MBALIMBALI  KAMA  VILE : Kisukari, Presha, Shinikizo  La  Damu, Kolestrol Mbaya  Mwilini , Magonjwa  Ya  Moyo, Magonjwa  Ya  Figo,  Ngiri,  Msongo  wa  Mawazo, Maumivu  Ya  Mgongo, Magonjwa  Katika  Mishipa  Ya  Kusafirishia  Damu Mwilini  na  Hitilafu  Katika  Mfumo  wa  Usafirishaji  na Utiririshaji  wa  Damu  mwilini.
4.    JINSI  UNAVYO  WEZA  KUONDOA  KITAMBI  NA KULIFANYA  TUMBO  LAKO  KUWA  FLAT KABISA  NDANI  YA  SIKU  14
5.    JINSI  UNAVYO WEZA  KUPUNGUZA  UNENE NA UZITO MKUBWA  NDANI  YA  SIKU  THELATHINI.
6.    KWA  MTU  ULIE  KONDA  NA  KUDHOOFIKA; JINSI  UNAVYO WEZA   KUNENEPA  NA KUREJESHA  AFYA  YAKO  NDANI  YA  SIKU THELATHINI.
7.    JINSI UNAVYO  WEZA  KUPONA  KABISA  TATIZO LA  BAWAZIRI NDANI  YA SIKU  THELATHINI.
8.    JINSI UNAVYO  WEZA  KUTIBU  TATIZO  LA UVIMBE  WA  TUMBONI  PAMOJA  NA  UVIMBE WA  KWENYE  KIZAZI  NDANI  YA SIKU THELATHINI.


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA