Skip to main content

MTI WA UPUPU HUTUMIKA KATIKA TIBA YA TATIZO LA NGIRI KWA WANAUME



Ngiri  ama  hernia  ni  tatizo  linalo  wakabili  wanaume  wengi  duniani. Moja  kati  ya  dalili  kuu  za  tatizo  la  ngiri  ni  pamoja  na  kusinyaa  kwa  korodani  moja  au  zote, kusinyaa  kwa  maumbile  ya  kiume.
Kama  ilivyo  kwa  magonjwa  mengine  mengi, tatizo  la  ngiri  linaweza  kutibika  kwa  kutumia  dawa  mbalimbali  za  asili.




Ganda  la  tunda  la  upupu. Ndani  yake  zinakaa  mbegu  saba.

Ipo  miti  mingi  sana  inayo  weza  kutumika  kama  tiba  ya  tatizo la  ngiri. Katika  makala  haya, nitaelezea  kuhusu   miti kumi  ambayo imefanyiwa  utafiti  wa  kisayansi na  kuthibitika kuwa  na  uwezo  wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ngiri. Kati  ya  miti  hiyo, umo pia  mti  wa  upupu  ambao  unajulikana  sana  kwa  sifa  yake  ya  kuwasha  sana.
Miti  hiyo  ni  kama  ifuatavyo :


Upupu.


1.    MULIWANIFWENGI :  


Mti  wa  Muliwanifwengi hapa  ukiwa  umetoa  matunda. Matunda  ya  mti  huu pia  ni  dawa ambayo husaidia  kusafisha  damu.
 Hili  ni  jina  la  lugha  ya  kinyamwezi. Wanyamwezi  ni  wenyeji  wa  mkoa  wa  Tabora, ambao  unapatikana  magharibi  wa  nchi  ya  Tanzania.  Mti  huu una  uwezo mkubwa  sana  wa  kutibu  na kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ngiri.

Muliwanifwengi

Jinsi  unavyo  tumika; mgonjwa  anachukua  mizizi  anachemsha   pamoja na  maji  kisha  anatumia  kunywa  mara  tatu  kwa  siku  asubuhi  mchana  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  thelathini.
Mbali na  kutibu  tatizo  la  ngiri, mti  huu  pia  una  uwezo   wa  kutibu  ugonjwa  wa  kaswende  pamoja  na  kusafisha  mishipa  ya  damu.


Chipukizi  la  Muliwanifwengi  ambalo  bado halijakomaa

2.    MUSISIGULU :  Kama  ilivyo  kwa  mti  wa Muliwanifwengi,  jina  la  mti  wa  Msisigulu  linatokana  na  lugha  inayo  tumiwa  na  watu  kutoka  kabila  la  wanyamwezi  wa  mkoani Tabora.
Mti  huu  umefanyiwa  utafiti  wa  kisayansi  na  kuthibitika  kuwa  na  uwezo  mkubwa  wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ngiri.

Pamoja  na  ngiri, mti  wa  Musisigulu, hutibu  pia   matatizo  ya  mapafu.

Jinsi  ya  kutumia  mti  wa  Msisigulu  katika  tiba  ya  ngiri, chemsha  mizizi  yake  kwenye  kisha  tumia  kunywa mara  tatu  kwa  siku  kwa siku  thelathini.
Upupu

Shina  la  upupu  ambao  bado  haujakomaa.


3.    MUMULIMULI :   Mumulimuli ni  jina  la  kinyamwezi. Mti  huu  umethibitishwa  kisayansi  kuwa  na  uwezo  wa  kutibu  tatizo  la  ngiri, minyoo ya  tumboni, kaswende  pamoja  na  kisonono.

Jinsi ya  kutumia  mti  huu, chemsha  mizizi  yake  kisha  tumia  kunywa  mara mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  kwa  siku  thelathini.

4.    Muzegezega :   Mti  huu  pia  umefanyiwa  utafiti  wa  kina  na  kuthibitika  kuwa  na  uwezo  mkubwa wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ngiri.
Pamoja  na  kutibu  ngiri, mti  wa  Muzegezega, una  uwezo wa  kutibu pia  magonjwa  mengineyo  kama  vile ;   Kufeli  kwa  moyo, Homa  Ya  Manjano, Kikohozi, Pumu, Mkamba ( Bronchitis ), Matatizo  katika  ubongo  pamoja  na  Degedege.

5.    Kasolanhanga  au  Sawi  au  Asparagus ; Huu  ni  mmea  uliothibitika  kisayansi  kuwa  na  uwezo  mkubwa sana  wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ngiri. Katika  lugha  ya  kinyamwezi, hujulikana  kama  Kasolanhanga  au  Sawi , lakini  katika  kiingereza, hujulikana  kama  Asparagus.
Mmea  huu  ambao  ni jamii  ya  mbogamboga, mbali  na  kutibu  tatizo  la  ngiri, hutumika  pia  kama  tiba  ya  ugonjwa  wa  Gono.

Jinsi  inavyo  tumika, mgonjwa   atachemsha  mizizi  ya   mti  huu  kwenye  maji, kisha  atatumia  kunywa  asubuhi  mchana  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  thelathini.


6.    Nyanya  Chungu : Nyanya  chungu  ni  mti  wenye  faida  nyingi  sana  katika  afya  ya  mwanadamu. Karibu  kila  kiungo  kinacho  patikana  katika  mmea  wa  Nyanya  Chungu  ama  Ngogwe  hutumika  kama  tiba  kwa  mwanadamu. Kuanzia  matunda,  majani, hadi  mizizi.

Kujitibu  tatizo  la  ngiri  kwa  kutumia  mmea  wa  Nyanya  Chungu,  chukua  mizizi  yake  kisha  ichemshe  kwenye  maji , halafu  tumia  kunywa  maji hayo, mara  tatu  kwa  siku, asubuhi  na  jioni  kwa  siku  thelathini.    Tatizo lako  litapona  kabisa.


7.    Bumu  ama  Upupu ;   Bumu  ni  lugha  inayo  tumiwa  na  waluguru wenyeji  wa  mkoa  wa  Morogoro, wakimaanisha  mti  wa  Upupu.  Mti  wa  upupu  unajulikana  zaidi  kwa  sifa  yake  moja  kubwa, ambayo ni  kuwasha  sana.
Pamoja  na  kuwa  na  sifa  ya   kuwasha, mti  wa  upupu   una  faida  nyingi  sana za  kitabibu  pamoja  na  kiuchumi. Katika  makala  haya  ya  leo, nitaelezea  jinsi  mti  wa  upupu  unavyo  tumika  kama  tiba  ya  tatizo  la  ngiri.
Kutibu  tatizo  la  ngiri  kwa  kutumia  mti  wa  upupu, chukua  mizizi  au  majani  ya  mti  wa  upupu  ulio  komaa, kisha  chemsha  halafu  tumia  kunywa  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  kwa  siku  kumi  na  nne., na  tatizo  lako  litapona.  Waluguru  kutoka  mkoani  Morogoro, wanatumia  sana  mti  wa upupu  kama  tiba  ya  ngiri.  ( TAHADHARI :  WATU  WENGI  WANASHINDWA  KUTUMIA  VIZURI  MTI  VIZURI  KAMA  TIBA. HIVYO   HAUSHAURIWI  KUUTUMIA  MWENYEWE  BILA  KUPATA  USHAURI  NA  MSAADA  WA  MTAALAMU, NA  BADALA  ZINGATIA  MATUMIZI  YA  MITI  MINGINE )
Mbali  na  kutibu  ngiri, mti  wa  upupu  una uwezo pia  wa  kutibu  maradhi  ya  Parkinson Desease”

8.    Kiberuberu :  Huu  ni  mti  mwingine  ulio  fanyiwa  utafiti  na  kuthibitishwa  kitaalamu, kuwa  na  uwezo  wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ngiri.  Kiberuberu  ni  jina  la  mti  huu katika  lugha  ya  kiluguru. Katika  lugha  hiyo  hiyo  ya  kiluguru, mti  huu  hujulikana  kama  Mguhu.
Mti  huu  hutumika  kwa  mgonjwa  kuchemsha  mizizi  yake  na  kisha  kutumia  kwa  kunywa, mara  tatu  kwa  siku  kwa  siku  thelathini.

9.    Luhalamila  au  Luhambamti : Hili  ni  jina  kutoka  katika  lugha ya  Kiluguru  inayo zungumzwa  na  watu kutoka  jamii  ya  waluguru  wanao  patikana  mkoa  wa  Morogoro, nchini  Tanzania.  Mti  huu  umefanyiwa  utafiti  wa  kisayansi  na  kuthibitika  kuwa  na  uwezo wa  kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  na  nupungufu  wa  nguvu  za  kiume
Jinsi  ya  kutumia  tiba  hii, mgonjwa  anatakiwa  kuchemsha  majani  yake  yakiwa  mabichi  na  kisha  kutumia  kunywa  mara  tatu  kwa  siku, asubuhi, mchana  na  jioni  kwa  siku  thelathini.

10.                       Luziwana :   Waluguru  wa  mkoani  Morogoro, wanautumia  sana  mti  huu  kama  tiba  ya  tatizo  la  ngiri. Mbali na  kutibu  ngiri,  mti  wa  Luziwana  hutibu  magonjwa  mengineyo  kama  vile  kuharisha  pamoja  na  maumivu  ya  tumbo.
Mgonjwa  anashauriwa  kuchemsha  mizizi  ya  mti  huu  na  kisha  kutumuia  kunywa  mara  tatu  kwa  siku  kwa  siku  thelathini.


KAMA  NILIVYO DOKEZA, HAPO  AWALI, TANZANIA TUMEBARIKIWA  KUWA  NA  MAELFU  YA  MITI  YENYE  UWEZO  WA  KUTIBU  MAGONJWA  NA  MATATIZO  MBALIMBALI  YA  KIAFYA  YANAYO MKABILI  MWANADAMU.  KATIKA  TATIZO  LA  NGIRI  PEKEE, KUNA  MAMIA  KWA  MAMIA  YA MITI  INAYO  TUMIKA  KUTIBU  TATIZO  HILO. KATIKA   MAKALA  HAYA  NIMEELEZEA  MITI  KUMI  TU.  KATIKA  MAKALA  ZA  USONI,  NITAELEZEA  PIA MITI  MINGINE, AMBAYO  INATIBU  TATIZO  LA  NGIRI.



MAKALA  HAYA  YAMELETWA  KWENU  KWA  HISANI  YA  DUKA  LA  NEEMA HERBALIST. DUKA  LINALO  UZA  DAWA  MBALIMBALI  ZA  ASILI.  TUNAPATIKANA  UBUNGO  JIJINI  DAR  ES SALAAM,  JIRANI  NA  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING, NYUMA  YA  JENGO  LA  UBUNGO  PLAZA.
Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba  0766  53 83  84.
Na  kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  tiba mbalimbali  za  asili, tutembelee  kila  siku  katika  blogu  yetu:

Upate  kujua  mambo  mbalimbali  kama  vile :

1.    JINSI  SUALA  LA  UPIGAJI PUNYETO  LINAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
2.    JINSI SUALA  LA  KITAMBI, UNENE  NA  UZIO  ULIO  ZIDI, LINAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME
3.    UHUSIANO  ULIOPO  KATI  YA  TATIZO  LA  NGUVU  ZA  KIUME  NA  MAGONJWA  MBALIMBALI  KAMA  VILE : Kisukari, Presha, Shinikizo  La  Damu, Kolestrol Mbaya  Mwilini ,  Magonjwa  Ya  Moyo, Magonjwa  Ya  Figo,  Ngiri,   Msongo  wa  Mawazo, Maumivu  Ya  Mgongo, Magonjwa  Katika  Mishipa  Ya  Kusafirishia  Damu  Mwilini  na  Hitilafu  Katika  Mfumo  wa  Usafirishaji  na  Utiririshaji  wa  Damu  mwilini.
4.    JINSI  UNAVYO  WEZA  KUONDOA  KITAMBI  NA  KULIFANYA  TUMBO  LAKO  KUWA  FLAT  KABISA  NDANI  YA  SIKU  14
5.    JINSI  UNAVYO WEZA  KUPUNGUZA  UNENE NA  UZITO MKUBWA  NDANI  YA  SIKU  THELATHINI.
6.    KWA  MTU  ULIE  KONDA  NA  KUDHOOFIKA; JINSI  UNAVYO WEZA   KUNENEPA  NA  KUREJESHA  AFYA  YAKO  NDANI  YA  SIKU  THELATHINI.
7.    JINSI UNAVYO  WEZA  KUPONA  KABISA  TATIZO LA  BAWAZIRI NDANI  YA SIKU  THELATHINI.
8.    JINSI UNAVYO  WEZA  KUTIBU  TATIZO  LA  UVIMBE  WA  TUMBONI  PAMOJA  NA  UVIMBE  WA  KWENYE  KIZAZI  NDANI  YA SIKU  THELATHINI.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA