Skip to main content

DAWA ASILIA INAYO SAIDIA KUSHUSHA SUKARI ILIYOPANDA.


Neema  Herbalist    &  Nutrtional  Foods  Clinic
Je ! Sukari  yako  ipo  juu ? Unatafuta tiba  asilia  ya  kushusha  sukari ?
Kama jibu  lako  ni NDIO basi  hii  ni HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.
Ipo tiba  asilia  inayo  saidia  kushusha  sukari iliyo  panda.

JINSI  INAVYO  TUMIKA :  Dawa  hii  huchemshwa  na  kuachwa  ipoe  kabisa  kisha  mhusika  anatumia  kunywa  nusu  glasi  yenye ujazo wa  milimita mia mbili  na  hamsini ( 250 mills ) .

Asubuhi  atakunywa  nusu  glasi  na  usiku  atakunywa  nusu  glasi. Atafanya  hivyo  kwa  muda  wa  wiki mbili  hadi  tatu.

BAADA  YA  KUMALIZA  DOZI : Baada ya  kumaliza  dozi  mhusika anashauriwa  kwenda  hospitali  kupima  ili  kuona  sukari  yake  imepungua  kwa  kiasi  gani na  kupata  ushauri  wa  kitaalamu  kutoka  kwa  Daktari.

Tiba  hii  pia  inasaidia  kuimarisha  afya  ya  mwili  kwa  ujumla.
N.B : Tiba hii  haiwafai  watu wenye  sukari  ya  kushuka  ama  sukari  iliyo  chini  kwa  sababu inashusha  sana  sukari mwilini.

Kwa  watu wenye  sukari  ya kushuka  ambao  wanatafuta  tiba  ya  kupandisha  sukari, bado  hatujapata  dawa  ya  uhakika  inayo  weza  kusaidia  kupadisha  sukari.

Jaribu  kutumia  tiba  hii  uone  namna inavyo weza  kukusaidia  kudhibiti  kiwango  cha sukari kwenye  damu.

Kwa wewe  ambae  sukari  yako  ipo  juu  na  unataka  kutumia  tiba  asilia  ya kushusha  sukari  yako, jaribu  kutumia  tiba  hii  ili  badae  uweze  kutoa  ushuhuda wa  namna  tiba  hii  ilivyo  kusaidia.

Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma ya jengo  la  UBUNGO PLAZA.


Wasiliana nasi kwa  simu  namba  0766 53 83 84.

Kwa  Makala  mbalimbali kuhusu  tiba  asilia  za  magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  yanayo  msumbua  mwanadamu, tutembelee  kila  siku  kupitia  blogu yetu : wwww.neemaherbalist.blogspot.com  

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...