Skip to main content

JINSI DAWA ZA ASILI ZA KUONGEZA UKUBWA WA MAKALIO ZINAVYO FANYA KAZI.




Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali za kitaalamu, makalio  ya  mwanadamu  yanaundwa  na  vitu  vikuu  vitatu  ambavyo  ni  ( 1 )  Misuli  ( 2 ) Tishu  na  ( 3 )  Mafuta .  Vitu  vyote  hivi  vitatu  vinafunikwa  na  ngozi.
Kwa  mantiki  hiyo  basi , ukubwa  na  shape  ya  makalio  ya  mtu  hutegemeana  na  vitu  hivyo  vitatu  nilivyo  viorodhesha  hapo  juu  yani  uwingi na  ukubwa  wa  misuli, tishu pamoja  na  uwingi wa  mafuta kwenye  makalio.
Tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zinaonyesha  kuwa mtu  anaweza  kufanya  mazoezi  maalumu  kwa  ajili  ya  kukuza  misuli  ya  kwenye  makalio.
Vile  vile  inawezekana  kwa  mtu  kula  kwa  wingi  vyakula  vyenye  mafuta  kwa  ajili ya  kuongeza  kiasi  cha  mafuta  kwenye  makalio.
Hata  hivyo  wana sayansi  wana  tahadharisha  kuwa  kula  vyakula  vyenye  mafuta  kwa  lengo la kuongeza  ukubwa  wa  makalio kunaweza  pia  kusababisha  mafuta  hayo  kwenda  katika  sehemu  zingine  za  mwili  yani  mtu  kuongezeka pia  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwilini mwake  kama  vile tumbo  na kunenepa  mwili mzima.


Jinsi    dawa  za  asili  za  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  zinavyo  fanya  kazi.
Kwa  mujibu wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi, dawa za  asili  za  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  zinafanya  kazi  kwa kukuza  misuli  ya  kwenye  makalio  na  kuongeza  kiwango  cha  mafuta kwenye  ngozi ya  ndani  ya  makalio.
 Katika  kuongeza  kiwango  cha  mafuta  kwenye  makalio, dawa  hizo  za  asili  hufyonza  mafuta  kutoka  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili na  kuyaelekeza  kwenye  makalio  na  hivyo  kumfanya  makalio  ya  mtumiaji  yaongezeke  na  kuwa  makubwa.
Kwa  kawaida  dawa  nyingi  za asili  zinazo  tumika  kwa  ajili  ya  kuongeza  ukubwa  wa  makalio  hutumika kwa  muda  wa  siku  thelathini  na  huanza  kuonyesha matokeo  baada ya  siku  kumi  na  tano.
Kwa  maoni  na  ushauri  kuhusu  tiba  mbalimbali  za  asili, fika  katika  duka  la  kuuza  dawa  za  asili  la  NEEMA  HERBALIST.  Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO PLAZA  karibu  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.
WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA  0693  005 189.
Na  kwa  elimu  zaidi  kuhusu  tiba  mbalimbali za  asili, tutembelee  kila  siku  kupitia  tovuti  yetu :

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA