Skip to main content

ORODHA YA VYAKULA VINAVYO ONDOA MUONEKANO WA UZEE KWA WANAWAKE ( ANTI-AGING FOODS )



 Taswira inaweza kujumuisha: Watu 2, watu wanatabasamu, watu wanasimama na nje
Kuna  kundi  la  watu  ambao   kimuonekano  wanaonekana  kuwa  na  umri  mkubwa  kuliko  umri  wao  halisi.. Unaweza  ukakutana  na  kijana  wa  miaka  28 lakini  kimuonekano  anaonekana  kama  ana  umri wa  miaka  arobaini.
Vivyo  hivyo  wapo  watu  ambao  wana muonekano  mchanga  kuliko  umri  wao  halisi.  Unaweza  ukakutana  na  mtu  ukiambiwa  ana  umri  wa  miaka  hamsini  na  nane  lakini  anaweza  ku pass  kama  mtu  mwenye  umri  wa  miaka  thelathini  na  nane.

Tokeo la picha la jada  pinket mother
Adrienne Banfield-Norris  katikati  mama  mzazi  wa  Jadda  Pinket. Ukiona  picha  zake  akiwa  anafanya  mazoezi  gym  au  ufukweni  unaweza  kusema  ni  mdada  wa  miaka  35  kumbe  ni  mama  wa  miaka  66.

Moja  kati  ya  sababu  zinazo  tajwa  kusababisha  baadhi ya  watu  waonekane  kuwa  na  umri  mchanga  kuliko  umri  wao  halisi  ni  pamoja  na  aina  ya  vyakula  wanavyo  tumia  pamoja  na  watu  hao  kuwa  na  utaratibu w a  kufanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo  ya  mara  kwa  mara.
Tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu  zinaonyesha  kuwa  watu wenye  utaratibu  wa  kufanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo  husalia  kuwa  na  muonekano  mchanga  kuliko  umri  wao.
Taswira inaweza kujumuisha: Mtu 1, viatu, kaptula na nje
Dada / Mama  katika  safari  ya  kupamabana  na  muonekano uzee  kwa  njia  ya  mazoezi  na  vyakula.


Miongoni  mwa  watu  maarufu   walio  katika  kundi  hili  ni   Adrienne Banfield-Norris ambae ni mama  mzazi  wa   Jada  Pinket .  Mama  huyu  amezaliwa  mwaka  1953  which  means  mwaka  huu  anatimiza  umri w a  miaka  66. Lakini  kimuonekano  anaonekana  kama  mdada  wa  miaka  arobaini  vile.
 Taswira inaweza kujumuisha: Mtu 1, kutabasamu, kusimama, kaptula, anga na nje
Katika  moja  kati  ya  mahojiano  aliyo  fanya  na  vyombo  mbalimbali  vya  habari  nchini  Marekani, mama  huyu  anasema  siri  kubwa  ya  kubaki  katika  muonekano  ujana  licha  ya  kuwa  umri  umesonga  ni  ulaji  mzuri wa  vyakula  na  kufanya  mazoezi ya  mwili  na  viungo  ya  mara  kwa  mara.  Mama  huyo  anasema  mazoezi  ya  mwili na  viungo  imekuwa ni  kama  sehemu  ya  maisha  yake.

Mambo  yanayo  weza kusababisha  mtu  aonekane  kuwa  na  muonekano  mkubwa  kuliko  umri  wake  ni  pamoja  na  ulevi sugu, uvutaji  sigara  sugu, ulaji  mbaya  wa  chakula  pamoja  na  kutofanya  mazoezi  ya  mwili  na  viungo.
Haya  ni  mambo  ambayo  yapo  chini  ya  uwezo  wa  karibu  kila  mmoja  wetu,.  Ukizingatia   kula  vyakula vizuri , kunywa  kistaarabu  na  kupunguza  au  kuacha  kabisa  utumiaji  wa  sigara  pamoja  na  kufanya  mazoezi  ya  mwili na  viungo  mara kwa  mara  basi  unaweza  kupambana  na  suala la  kuwa  na muonekano  wa  uzee  kuliko  umri  wako.

Vifuatavyo  ni baadhi   vyakula  vinavyo  tajwa  kuwa  uwezo  wa  kupambana  na  tatizo  la  kuwa  na  muonekano  wa uzee :
1.       Karanga  za  aina  zote
2.       Ufuta
3.       Maziwa  ya  mchele  au  choya
4.       Mananasi
5.       Juisi  ya  limao
6.       Juisi  ya  ndimu
7.       Matikiti  maji
8.       Machungwa
9.       Maparachichi
10.    Mbegu  za  makomamanga
11.    Mafuta  ya  Zeituni
12.    Baadhi  ya  aina  ya  uyoga  unaoliwa
13.    Viazi  vitamu
14.    Karoti
15.    Brocoli
16.    Nyanya
17.    Maharage
18.    Mtindi
19.    Manjano
20.    Spinach
21.    Jibini


Hivyo  ni  baadhi  ya  vyakula  lakini  vipo  vtakula  vya  aina  nyingi  ambavyo  vinatajwa  na  wataalamu  kuwa  na  uwezo  wa  kupambana  na  tatizo  la  kuwa  na  muonekano  wa  uzee.

Hivyo  ni  vyakula  ambavyo  vinatumika  kwa  kula, lakini  pia zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  ambazo  zinatumika  kwa  kula  pamoja  na  kupaka  kwenye  ngozi. Dawa  hizo  za  asili husaidia  kuimarisha  afya  ya  ngozi  na  kuifanya  iwe  na  muonekano  wa  ujana.

Kwa  maoni  na  ushauri  usisite  kuwasiliana  nasi  kupitia  namba  zetu  za  simu ambazo  ni  0693  005 189. Pia  unaweza  kjufika  dukani  kwetu. Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA