Skip to main content

UHUSIANO KATI YA TATIZO LA SUKARI YA KUPANDA NA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME:




Moja Kati ya changamoto  wazipatazo wanaume  wengi wenye tatizo la Sukari ya Kupanda ni pamoja Na tatizo la Ukosefu wa nguvu ZA kiume.. 


NI NINI TAFSIRI YA KUWA NA TATIZO LA SUKARI YA KUPANDA: Kuwa Na tatizo la Sukari ya Kupanda tafsiri yake ni kwamba KONGOSHO zako zako zimepoteza uwezo wake wa kufanya Kazi au Kwa lugha nyepesi zimefeli.

Kazi kubwa ya KONGOSHO ni kuzalisha homoni zijulikanazo kama INSULIN.  Na Kazi ya INSULIN ni kudhibiti kiwango cha Sukari kwenye damu. Homoni za insulin zina usaidia na kuuwezesha mwili kufyonza hatimae kutumia wanga uliopo kwenye chakula Kwa ajili ya kuupa mwili nguvu.  Homoni za insulin husafirisha sukari kutoka kwenye damu kwenda kwenye seli mbalimbali za mwili Kwa ajili  ya kuupa mwili nguvu.    Kama KONGOSHO zikifeli maana yake ni kwamba zitashindwa kuzalisha insulini au zitazalisha kiwango kidogo Sana cha insulini.  Kama mwili una kiwango kidogo Sana cha insulini tafsiri yake ni kwamba seli zitashindwa kufyonza sukari kwenye damu na kuipeleka katika sehemu zingine za mwili. 
Matokeo yake mhusika atakuwa na kiwango kikubwa Sana cha Sukari kwenye damu yake..  

UHUSIANO KATI YA SUKARI YA KUPANDA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.  

Tumeshaona hapo juu nini Sababu na maana ya kuwa na tatizo la Sukari ya Kupanda Sasa tuujue uhusiano uliopo Kati ya tatizo la Sukari ya Kupanda na tatizo la nguvu za kiume. MTU mwenye tatizo la Sukari ya Kupanda maana yake ni kwamba ana kiwango kikubwa cha sukari kwenye mishipa ya damu. Kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu huathiri suala la zima la mtiririko wa damu mwilini. Mtiririko wa damu mwilini ni muhimu Sana katika nguvu za kiume Kwa Sababu ili uume wa mwanaume uweze kusimama kwanza mwanaume huyo apate wazo la kufanya tendo la ndoa. Mwanaume akishapata wazo la kufanya tendo la ndoa mishipa ya fahamu katika Ubongo hupeleka taarifa kwenye mishipa ya fahamu katika uti wa mgongo. Mishipa ya fahamu katika uti wa mgongo ikipokea taarifa hiyo hutoa ishara kwenye mishipa ya ateri na mishipa ya ateri ikipokea ishara hiyo hufunguka na kutanuka na ikishatanuka ndipo damu hutiririka kuelekea kwenye misuli ya uume na kuufanya uume kusimama. Jambo hili ni gumu Sana Kwa mtu mwenye sukari ya Kupanda Kwa Sababu kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu huathiri utiririkaji wa damu.  


PILI kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu huathiri utendaji Kazi wa mishipa ya fahamu katika  Ubongo Na kama tulivyo ona hapo juu umuhimu wa mishipa ya fahamu kwenye Ubongo katika suala zima la nguvu za kiume kwamba ili uume wa mwanaume uweze kusimama ni lazima Kwanza apate wazo la kufanya tendo la ndoa na akipata wazo Hilo mishipa ya Ubongo hunasa hilo wazo na kutuma taarifa kwenye mishipa ya fahamu katika uti wa mgongo Sasa kama mishipa ya fahamu katika Ubongo ni dhaifu maana yake haiwezi kutimiza jukumu lake hili la msingi Kwa ufasaha  matokeo taarifa huwa dhaifu na hata uume ukisimama unakuwa dhaifu pia. .. 


TATU : Kiwango cha sukari katika damu kisipo dhibitiwa mapema kinaweza kugeuka Na kuwa sumu ambayo huweza  kusababisha matatizo mengine makubwa zaidi kama vile shinikizo la damu , tatizo la Moyo na kufeli Kwa Figo matatizo ambayo ni vyanzo vingine vikuu vya tatizo la Ukosefu wa nguvu za kiume.Hali huwa mbaya Zaidi kama mwanaume husika ana matatizo mengine kama vile ngiri au ameathirika na masterbation.
 SULUHISHO: MWANAUME MWENYE TATIZO LA SUKARI YA KUPANDA ANATAKIWA KUPATA TIBA MAALUMU AMBAYO KWANZA ITATIBU NA KUDHIBITI KABISA TATIZO LA KIWANGO CHA SUKARI KWENYE DAMU LAKINI PILI ITAMTIBU NA KUMPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME.     Makala haya yametolewa na duka la kuuza Dawa za asili  la NEEMA HERBALIST. TUNAPATIKANA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM NYUMA YA JENGO LA UBUNGO PLAZA. TUNAPATIKANA KUPITIA SIMU NAMBA 0766 53 83 84.

Tutembelee pia kupitia blogu yetu: www neemaherbalist.blogspot.com




Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA