Skip to main content

Naitwa Aziza Hassan natafuta kazi ya upishi ofisini au kwenye mgahawa

 





Jina langu naitwa Aziza Hassan, umri wangu miaka 30. Naishi Chamazi jijini Dar Es Salaam. Nimepata mafunzo kutoka NEEMA HERBALIST kuhusu jinsi ya kupika lishe maalumu kwa watu wenye mahitaji mbalimbali ya kiafya kama vile : Kitambi, uzito na unene ulio zidi, vidonda vya tumbo, Kukonda na kudhoofika mwili kupita kiasi. 


Natafuta kazi ya upishi kwenye mgahawa kwenye ofisi au kwenye hoteli. Naweza pia kufanya kazi nyumbani kwa mtu kwa makubaliano maalumu ila iwe kwa utaratibu wa kwenda na kurudi. 

............... 

Kwa wewe unae hitaji huduma ya Aziza, tuandikie kupitia barua pepe yetu ambayo ni : neemaherbalist@gmail.com.

......... 

Na kwa wewe unae hitaji dawa ya asili kwa ajili ya matatizo mbalimbali ya kiafya kama vile :


1. Tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. 


2. Tatizo la kitambi, unene na uzito ulio zidi. 


3. Tatizo la kupungua mwili na uzito kupita kiasi. 


4. Tatizo la sukari. 


5. Tatizo la vidonda vya tumbo. 


6. Tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake. 


7. Tatizo la kupoteza kumbukumbu nakadhalika. 


Wasiliana nasi kupitia namba zetu za simu :


0766  - 53 83 84 au 0693 -005 189.


Au WHATSAPP: 0745 - 433 595.

Dawa zetu zote z inakuja pamoja na lishe yake maalumu. 

Tunapatikana Chanika ( zamani tulikuwa Ubungo) 


Kwa wewe mteja wetu ulie jijini Dar Es Salaam lakini hauna nafasi ya kufika ofisini kwetu tunayo huduma ya kukuletea dawa mahali popote ulipo ndani ya Dar Es Salaam ( Delivery) 


Na kwa wewe ulie nje ya mkoa wa Dar Es Salaami, tunakutumia dawa kwa njia ya usafiri wa bus au boti kama upo Zanzibar. 



Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...