Skip to main content

Naitwa Lucy Benard natafuta kazi ya kupika lishe maalumu ya kuondoa kitambi, kupunguza uzito na unene.

 




Naitwa Lucy Bernard, umri wangu miaka 26, naishi Tabata, Dar. Natafuta kazi ya kupika lishe ya kupunguza kutambi pamoja na lishe maalumu ya kupunguza unene na uzito. Nimepata mafunzo ya namna ya kupika lishe maalumu ya kuondoa kitambu, kupunguza unene na uzito kutoka NEEMA HERBALIST. 


Na weza kufanya kazi kwenye mgahawa, kwenye jiko la bar, kwenye hoteli, ofisini kwa mtu au nyumbani kwa mtu. 


Kwa wewe unae hitaji huduma ya Lucy, tuandikie kupitia barua pepe yetu ambayo ni : neemaherbalist@gmail.com.


Na kwa wewe unae hitaji dawa ya kuondoa kitambi na kufanya tumbo kuwa flat kabisa, kuondoa unene, manyama uzembe pamoja na kupunguza uzito ulio zidi. Wasiliana nasi kupitia simu zetu :


0766 53 83 84 au 0693 005 189 


Au WHATSAPP : 0745 433 595.

Dawa ya asili ya kupunguza kitambi, kuondoa manyama uzembe, kupunguza unene na uzito inakuja na lishe yake maalumu. 


Inatumika kwa muda wa siku ishirini na moja na inakuja pamoja na lishe yake maalumu. 


Tumehamia Chanika Mwisho ( Zamani tulikuwa Ubungo) 


Kwa wewe mteja watu wa jijini Dar Es Salaam usie na nafasi ya kufika Chanika, tunayo huduma ya kukuletea dawa mahali popote ulipo jijini Dar Es Salaam ( Delivery/ na kwa wewe ulie nje ya Dar Es Salaam, tunakutumia dawa kwa njia ya bus au njia ya boti kama upo Zanzibar. 

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...