Skip to main content

Naitwa Imelda Kulaya ( 26) natafuta kazi ya usafi na upishi wa vyakula maalumu

 









Naitwa Imelda Kulaya,umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne, na kozi ya uhazili ( Secretary) ngazi ya cherish. Makazi yangu Msasani, Dar Es salaam. 


Natafuta kazi ya upishi na usafi, kwenda na kurudi. 


Nimepata mafunzo kutoka NEEMA HERBALIST kuhusu namna ya kuandaa na kutayarisha lishe maalumu kwa watu wenye mahitaji maalumu ya kiafya kama vile:


1. Lishe maalumu kwa watu wenye kusumbuliwa na tatizo la presha na ki sukari

2. Lishe maalumu kwa watu wenye tatizo la vidonda vya tumbo. 

3. Lishe maalumu kwa wanaume webye tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume. 


4. Lishe maalumu kwa wanawake wenye tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa. 


5. Lishe maalumu ya kuondoa kitambi 


6. Lishe maalumu ya kupunguza uzito na unene. 


Kama unahitaji huduma ya Imelda, wasiliana nasi kupitia barua pepe ( e.mail) yetu ambayo ni :

 neemaherbalist@gmail.com



Na kama unahitaji dawa ya asili pamoja na lishe yake maalumu kwa ajili ya matatizo mbalimbali ya kiafya kama vile:


1. Dawa ya asili kutibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume ( Dawa pamoja na lishe yake) 


2. Dawa ya asili kwa ajili ya tatizo la sukari 


3. Dawa ya asili kwa ajili ya tatizo la presha. 


4. Dawa ya asili kwa ajili ya kutibu tatizo la vidonda vya tumbo. 


5. Dawa ya asili kwa ajili ya kuondoa kabisa kitambi na kufanya tumbo kuwa flat. 


6. Dawa ya asili kwa ajili ya kupunguza unene na uzito ulizo zidi. 


7. Dawa ya asili kwa ajili ya kuwasaidia kunenepa watu walio konda na kudhoofika mwili kutokana na sababu mbalimbali kama vile msongo wa mawazo ( Depression) au sababu ya kuugua magonjwa mbalimbali kama vile vidonda vya tumbo na ki sukari. 


8. Dawa ya asili ya kutibu tatizo la bawaziri. 


9. Dawa ya asili ya kutibu tatizo la macho. 

10. Dawa asili ya kutibu tatizo la kukosa kumbukumbu nakadhalika


Wasiliana nasi kupitia simu namba :


0766 53 83 84 au 0693 005 189


Au WHATSAPP NUMBER : 0745 433 595.


Tumehamia Chanika Mwisho  ( Zamani tulikuwa Ubungo) 


Kwa wewe mteja wetu unaeishi ndani ya jiji la Dar Es Salaam, ambae huwezi kufika. Chanika, tunayo huduma ya kukuletea dawa mahali ulipo. 


Na wewe ulie nje ya Dar Es salaam, tunakutumia dawa kupitia mabus mbalimbali au kwa  njia ya boti kama upo visiwani Zanzibar

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...