Skip to main content

DONDOO ZA USAFI KWA WANAUME.



 Nimekutana  na  makala  haya  mtandaoni, nikaona  ni  vyema  ku  share  na  wasomaji  wetu.

Ni mara chache mno kukutana na mwanamke anayependa mwanaume mchafu, anayenuka jasho mwenye aleji na maji
vijana wanapenda utanashati ili wawe kivutio kwa wengine hasa wanawake, lakini kuna watanashati lakini sio wasafi, kwa nje wamependeza lakini ndani loh...majanga full fungus ukimwambia avue soksi mtagombana.

UWAPO MTANASHATI ZINGATIA PIA HAYA YA USAFI

1:MAPELE USONI, ni tatizo kwa wanaume wengi na wanafikiri ni maradhi kumbe ni uchafu
kidevu kinabeba nongo jasho na mafuta yote yanayotiririka usoni hivyo unyoapo zingatia haya
_usitumie wembe zaidi ya mara mbili
_safisha kidevu chako kwa maji ya moto kabla na baada ya kushave
_kiwembe cha kidevuni usikitumie kunyoa kwingineko
_tumia gillete au bic au brand nyingine yoyote nzuri
_safisha kidevu kila ulalapo
_kama una dalili ya mapele kidevuni, kisugue kidevu kwa mswaki laini kisha paka ndimu
_paka mafuta ya nazi

2:FUNGUS SEHEMU ZA SIRI, hii husababishwa na uchafu, unaoga mwili wote lakini huko chini unakusahau, fanya hivi kutibu tatizo
_usivae chupi mbichi au yenye unyevu
_shave at least twice a week
_usivae chupi zaidi ya mara moja
_oga kila ulalapo
_kina uogapo sugua kende na maeneo yanayozizunguka kwa kitaulo kisha suuza vema
_kausha vizuri paka mafuta ya nazi
_lala uchi au vaa bukta nyepesi kuvipa vifaa nafasi ya kupumua
_usilale bila kujiswafi ufanyapo ngono

3:FUNGUS MIGUUNI NA MIGUU KUNUKA
, hali ya TANZANIA ni ya kitropiki hivyo kuna joto mno, viatu tuvaavyo vingi ni semi leather hivyo kuifanya miguu ipumue mno
fanya hivi
_ jitahiti kuwa na pair zaidi ya moja za viatu
_usirudie soksi
_usivae soksi mbichi au nyevu
_kila uogapo jitahidi kusugua kati kati yavidole kwa kitaulo kidogo
_hakikisha unakausha miguu vizuri kabla ya kuvaa soksi
-paka mafuta ya nazi
kwa jinsi hiyo utakuwa umetatua matatizo makubwa matatu na kuokoa pesa nyingi, utaulamba kwa nje lakini pia ndani utakuwa uko njema, hata sweetie akitaka kuzama hutaona noma kupanua miguu, au ukienda kwa mama mkwe hutaona noma kuvua viatu

SOURCE  : Jamii  Forums

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA