Skip to main content

JITIBU TATIZO LA KUKOJOA KWA NJIA ASILIA.

Unakabiliwa  na  changamoto ya kuwa  una  kojoa  bila  ya  kukusudia  wakati  wa  usiku  ukiwa  umelala?

Mtoto  wako  ana kabiliwa  na  tatizo  hilo ?
Kama  jibu  ni  ndio  basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako.

Mbali na  uwepo  wa  mitishamba  inayo  tibu  tatizo  la
Kukojoa  Bila  Kukusudia  ama  kujikojoloea  zipo  njia mbalimbali  zinazo  weza  kutumika  kama  tiba  ya   tatizo  la  kukojoa  bila  kukusudia.

Miongoni  mwa  njia  hizo  ni  pamoja  na  hii  ifuatayo>

 MAHITAJI :

i.                    Habbat  Sawdah Ya  Unga.
ii.                   Maganda  Ya  Mayai  Ya  Kuku  Wa  Kienyeji.
iii.                Maziwa  Fresh  Ya  N’gombe.

MAYARISHO  :
Chukua  maganda  ya  mayai  yaliyo  okwa  na  kusagwa, changanya  na  vijiko  viwili  vya  chai  vya  unga  wa  habbat  sawdah, kisha  tia  kwenye  kikombe  kimoja  cha  maziwa  fresh  ya  moto  halafu  kunywa  mara mbili kwa  siku  asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  thelathini.
Baada  ya  siku  thelathini, tatizo  la  kukojoa  bila  kukusudia  litakuwa  limeisha.

Kama  tatizo  litakuwa  bado  linaendelea  tafadhali wasiliana  nasi  kwa  namba  0766538384.

Kwa  matokeo  mazuri  zaidi, unaweza  kutumia  vyote  kwa  pamoja, yaani  dawa  hii  hapa  pamoja  na  mitishamba  inayo  husika  na  kumaliza  tatizo  la  kukojoa  bila  kukusudia.
Mungu  akubariki  sana  unapo  enda  kutumia  dawa  hii  na  ikusaidie  kuondokana  na  tatizo  lako.



Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA