Skip to main content

JINSI YA KUANDAA LISHE YA NDIZI KWA AJILI YA KUFANYA DIET YA KUPUNGUZA UZITO.




Tunda  la  ndizi  limekuwa  likitajwa  kama  tunda  linalopaswa  kuepukwa  na  mtu  anayetaka  kupunguza  uzito. Hata  hivyo jambo  hilo  sio  kweli.  Ukweli  wa  kustaajabisha  ni  kwamba,ndizi  ni  tunda  muhimu  sana  kwa  mtu  anayetaka  kufanya  diet  ya  kupunguza  uzito  kwa  sababu  lina  utajiri  mkubwa  sana  wa   madini  ya   Pottassium.
Madini  ya  Potassium  husaidia  kupunguza  ama  kuondoa  maji  ya  ziada  katika  mwili  wa  mwanadamu.
Vilevile  madini  haya  yana  uwezo wa  kuharakisha  mmen’ngenyo  wa  chakula  hasa  hasa  yanapotumika  pamoja  na  vyakula  vingine  vinavyo saidia  kuyeyusha  mafuta  ya  mwilini  kama   vile  spinachi  na mboga  ya  majani  iitwayo  lin.
Ndizi  moja  inaweza  kuwa  na  madini  ya  Potassium   kiasi  cha  Gramu  450  kulingana  na  ukubwa  wa  ndizi  yenyewe.
Tunda  la  ndizi  ni  chanzo  kizuri  cha  nishati  mwilini  kwa  sababu  lina   glucose, fructose  na  sucrose   ambavyo  ni  virutubisho  muhimu  katika  kuongeza  nguvu  katika  mwili  wa  mwanadamu .

Kutokana  na   virutubisho  ilivyo  navyo, tunda  la  ndizi  ni bora  sana  pale  linapokuja  suala  la kupunguza  njaa  na  hamu  ya  kula.

Hivyo  basi,  unashauriwa  kula  tunda  la  ndizi  badala  ya  kutumia  vitafunwa  ambavyo  vinaweza  kukuweka  katika  hatari  ya  kuongeza  mafuta  yasiyo  hitajika  mwilini.
Kama  nilivyo  eleza  hapo  awali, virutubisho  vinavyo  patikana  ndani  ya  tunda  la  ndizi  vitasaidia  kuharakisha  mfumo  wa  mmen’genyo  wa  chakula  katika  mwili  wako.
Tunda  la  ndizi  linasimama  kama  ingredient  muhimu  sana  katika  kutengeneza  vinywaji maalumu  kwa  kuyeyusha  mafuta  ya  mwilini.
Tengeneza  lishe  ya  ndizi  kwa  kuchanganya  na  spinachi, mbegu  za  lini, pamoja  na beri  pori  (wild  berries)

JINSI  YA  KUTENGENEZA  LISHE  YA  NDIZI  &  MBEGU  ZA  LIN  KWA  AJILI  YA  KUFANYA  DIET  YA  KUPUNGUZA  MWILI.
Mahitaji :
·         Ndizi  Moja
·         Chungwa  moja
·         Vijiko  viwili  vidogo  vya  mbegu  za  lin.
·         Vijiko  viwili  vidogo  vya  jibini.


MATAYARISHO:
Weka  mchanganyiko  wako  wote  katika  blenda  na  kuusaga  kwa  pamoja.

MATUMIZI :
Tumia  kunywa  glasi  moja  ya  mchanganyiko  wako, mara  mbili  kwa  siku  kwa  siku  ishirini  na  moja.
JINSI  YA  KUTENGENEZA  LISHE  YA  KUPUNGUZA  MWILI  KWA  KUTUMIA  MCHANGANYIKO  WA  NDIZI  & MATUNDA  PORI :
MAHITAJI :
·         Ndizi  moja
·         Kikombe  kimoja  cha  cranberries, raspberries  au  blue  berries.
·         Kijiko  kimoja  kidogo   cha  tangawizi  iliyo  sagwa
·         Kijiko  kimoja  kidogo  cha  asali
·         Nusu  kikombe  ya maji  vuguvugu.
MATAYARISHO  NA  MATUMIZI  YANAFANANA  NA  YA  HAPO  JUU.
  •  
  •  
  • JINSI  YA  KUTENGENEZA  LISHE  YA  NDIZI  YA  KUPUNGUZA  MWILI  KWA  KUTUMIA  NDIZI  NA  SPINACHI.

Mahitaji :
·         Ndizi  moja
·         Gramu  200  za  fresh  spinach
·         Nusu  kikombe  cha  mtindi
·         Nusu  kikombe  cha  ngano  iliyokobolewa
·         Kikombe  kimoja  kidogo  cha  asali.

MATAYARISHO  NA  MATUMIZI  YANAFANANA  NA  HAPO  JUU.

Makala  haya  yameandaliwa  na  NEEMA HERBALIST, wauzaji  wa  dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapatikana  jijini  Dar  Es  salaam.
Wasiliana  nasi  kwa  simu  0766538384.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA