Skip to main content

TIBA ASILIA YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU





Kifua kikuu ni ugonjwa Hatari sana kwa binadamu na ugonjwa ambao unaambukiza kwa njia ya hewa.

Ugonjwa  huu   ambao  huathiri  mifupa  na  mapafu  unawasumbulua  mamilioni  ya  watu  duniani.  Tanzania  ni  miongoni  mwa  nchi  zenye  idadi  kubwa  ya  watu  wanao  sumbuliwa  na  tatizo  la  kifua  kikuu.

DALILI  ZA  UGONJWA  WA  KIFUA  KIKUU : Dalili  za  ugonjwa  wa  kifua  kikuu  ni  pamoja  na


1. Kupungua uzito wa mwili.
2. kuumwa mara kwa mara.
3.Kifua (kikohozi kisichopona).
4.Kukohowa na kutoka damu.

TIBA  ASILIA  YA  UGONJWA  WA  KIFUA  KIKUU.

Chukua juisi ya Kitunguu Thaumu kikombe kimoja changanya na kijiko kimoja kikubwa kilichojaa unga wa habbat sauda kwa kiingereza inaitwa 
(Nigella sativa Seed) koroga vizuri kisha unywe kila siku kikombe kimoja Asubuhi na jioni kwa muda wa miezi miwili.  Pia mgonjwa anatakiwa ajiepushe na kazi nzito ikiwemo ya kufanya mapenzi. Na mgonjwaanatakiwa apate chakula cha kutosha na kilicho bora.

Kama  tatizo  lako  litaendelea  hata  baada  ya  kutumia  tiba  hii, basi wasiliana  nasi  kwa  simu  0766538384

Comments

  1. Msaada plz....upatikanaji wa unga wa habbat sauda

    ReplyDelete
  2. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...